CDC Africa: Vipimo vya Corona Virus vinavyotumika Tanzania vinafanya kazi vizuri

CDC Africa: Vipimo vya Corona Virus vinavyotumika Tanzania vinafanya kazi vizuri

... zingatieni utaalamu acheni kujitoa ufahamu. Anyway, tusubiri ile tume ya maprofesa tuone itakuja na ripoti ya aina gani.

Kwa mbaali naanza kuona ripoti ikichanwachanwa vipande tena kimya kimya.
Sasa hivi nawaona wamebeba yale masufuria makubwaaaa, wanachochea kuni kupika takwimu kwa ajili ya ripoti yao. Mungu atujalie tu uzima na upatikanaji wa popcorn

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama viko sahihi, mapapai yaliyipimwa yaliambukizwa Covid 19. Hii in kwa kuwa vilitambua viashiria vya vivid 19 kupitia sample iliyopelewa. Kipimo hakitambua sample Bali vinatambua kuwepo au kutokuwepo maambukizi yaani +ve au -be.
 
It can be true that generally the tests are working well, but how far sure is the learned CDC Director that the tests in Tanzania, in particular, are working well? Scientist never give blind responses. What scientific steps has the honourable Director taken to disapprove the Tanzania President's sampling results?
 
Nkengasong sio beberu huyo ni mkikuyu wa Kenya.
Nkengasong si jina la kikuyu, ata sio mkenya. toeni kenya kwa midomo yenu, akili duni.
Mnakuaga na ufala sana, smh
Heri ata muondoke EAC endeni hio SADC yenu, kama hamtalamba matako ya Kenya, lambeni ya SA, chiet, eitherway lazima mlambe.....nchi kubwa, akili duni
 
Watu ambacho hatujui Ni kuwa ile machine ya PCR haiko tu kwa kupima corona, ipogo kabla ya corona haijaja

Testing kit za korona na reagent zake ndizo zilizokuja baada ya ujio wa corona.
Na shida kubwa zaidi yaweza kuwa reagent kama si wapimaji wenyewe... ikiwa kiwango cha typhoid mwilini kinapimwa kwa maamuzi ya mpimaji... sijui kama na corona hawaamui wenyewe!!?
 
Ataachaje kuvitetea ikiwa ndio yeye aliyevipokea toka kwa Jack Ma na kuvigawa kwa nchi walizokubaliana. Ningeshangaa Kama angeviponda. Ingawaje hoja ya JPM ilikuwa ni replication... pia kulikuwa na marais wanaotaka Ile mikopo nafuu kusaidia kuendesha mambo... Kigezo ilikuwa kuonyesha tatizo ni kubwa... So we need to open our eyes.. having light is not enough to let us see.
 
Find the facts.Learn who Bill Gates and Anthony Fauci are.Get to know especially what their carriers entail,you will discover that what I have said is true.They are extremely evil people.

Watch this video and see the lunacy they want to do to the world,utagundua kwamba these are truly evil people,and remember that this is only a tip in the iceberg.




I am sure you will also love to watch the following video.




And for the WHO and the African CDC,they are funded mostly by the Gates and Melinda Foundation,so if this is the case,the rest is History.


Corberttreports and the likes never feature in my reading/reference materials. Just like Fox News.
 
Corberttreports and the likes never feature in my reading/reference materials. Just like Fox News.
Did you mean covert reports?If that is what you mean,that is where the truth is,you better read them.
 
Nkengasong si jina la kikuyu, ata sio mkenya. toeni kenya kwa midomo yenu, akili duni.
Mnakuaga na ufala sana, smh
Heri ata muondoke EAC endeni hio SADC yenu, kama hamtalamba matako ya Kenya, lambeni ya SA, chiet, eitherway lazima mlambe.....nchi kubwa, akili duni
Kwa unavyoiona SADC inaweza kutu accommodate na hizi akili zetu kweli
 
Kama viko sahihi, mapapai yaliyipimwa yaliambukizwa Covid 19. Hii in kwa kuwa vilitambua viashiria vya vivid 19 kupitia sample iliyopelewa. Kipimo hakitambua sample Bali vinatambua kuwepo au kutokuwepo maambukizi yaani +ve au -be.
Mkuu jamaa pale alipiga porojo tu ili kudiscourange zoezi la upimaji,hakuna mapapai wala oil chafu iliyopimwa
 
Mkuu, kwani wenye nia mbaya na sisi ilikuwa ni watengenezaji au waliotoa msaada? Nilisikia akilaumiwa mtoa msaada. Na kama ni hivo, point yako haina maana yoyote!

Umesema hapo juu kwamba “Na kama ni hivyo, point yako haina maana yoyote!”. Sasa kama huo ndio msimamo, ina maana mtoa msaada na ‘manufacturer’ wa ‘testing kits’ ni kitu kimoja au lao ni moja. Kama hawa wawili lao siyo moja, huyo mtaalam wa CDC hana ‘both technical and moral authorities’ kutetea kifaa ambacho hajui kimetengenezwa vipi, tena kwa lugha ya utetezi isiyo ya kitaalam. Kama bado huelewi point yangu basi haitakuwa rahisi kuelewana maana huenda tunazungumzia vitu viwili tofauti vya msingi.
 
Mkuu jamaa pale alipiga porojo tu ili kudiscourange zoezi la upimaji,hakuna mapapai wala oil chafu iliyopimwa
Kweli 'hujijui'. Usibishe bila kutafakari. Kuwepo kwenye papai sio ajabu. Kama mtu anaweza kuambukizwa kwa kushika au kugusa kitu (meza, kitasa n.k.) kilichoguswa au kushikwa na muathirika hilo linawezekana. Mbuzi au anaweza kuwa na maambukizi. Kama awali ilielezwa kuwa asili ya corona huko China ni popo, mnyama yeyote anaweza kuwa nayo. Ni suala LA mantiki ( logic) tu.
 
Kweli 'hujijui'. Usibishe bila kutafakari. Kuwepo kwenye papai sio ajabu. Kama mtu anaweza kuambukizwa kwa kushika au kugusa kitu (meza, kitasa n.k.) kilichoguswa au kushikwa na muathirika hilo linawezekana. Mbuzi au anaweza kuwa na maambukizi. Kama awali ilielezwa kuwa asili ya corona huko China ni popo, mnyama yeyote anaweza kuwa nayo. Ni suala LA mantiki ( logic) tu.
Wewe poyoyo,kugusa kitasa au meza au sharti lako au kitu kingine chochote kile hakufanyi uambukizwe corona.Mdudu wa corona anaingia kwenye mwili wa binadamu kupitia sebemu kuu tatu.1.mdomo 2.pua 3 macho. Kama hujagusa hivyo vitu kwa kutumia mdomo,macho au pua basi huwezi ambukizwa corona.kama unegusa hivyo vitu kisha ukanawa mikono kwa sabuni au sanitizer kabla hujashika mdomo wako,jicho au pua basi upo salama.Hata hivyo post yako inanifanya nielewe kuwa hata hujui kwa nini tunashauri kunawa mikono Mara kwa Mara au kutumia sanitizer.Pole sana
 
Wewe poyoyo,kugusa kitasa au meza au sharti lako au kitu kingine chochote kile hakufanyi uambukizwe corona.Mdudu wa corona anaingia kwenye mwili wa binadamu kupitia sebemu kuu tatu.1.mdomo 2.pua 3 macho. Kama hujagusa hivyo vitu kwa kutumia mdomo,macho au pua basi huwezi ambukizwa corona.kama unegusa hivyo vitu kisha ukanawa mikono kwa sabuni au sanitizer kabla hujashika mdomo wako,jicho au pua basi upo salama.Hata hivyo post yako inanifanya nielewe kuwa hata hujui kwa nini tunashauri kunawa mikono Mara kwa Mara au kutumia sanitizer.Pole sana
Kama unaelewa sana matusi ya nini. Hao wataalamu wanaotoa maelekezo nao wanatoa kwa kupapasa. Aina ya ugonjwa na mashambulizi yake ni mambo mageni. Mwenyewe unajiita hujijui. Pole yako.
 
Back
Top Bottom