#COVID19 CDC imeshauri watu kuachana na chanjo ya J&J kwani inasababisha kuganda kwa damu kwenye ubongo, watumie Moderna ama Pfizer

#COVID19 CDC imeshauri watu kuachana na chanjo ya J&J kwani inasababisha kuganda kwa damu kwenye ubongo, watumie Moderna ama Pfizer

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,017
Reaction score
19,506
Taasisi ya kudhibiti magonjwa ya Marekani, CDC imeshauri watu kupata chanjo za Pfizer ama Moderna kuliko J&J.

CDC imefikia uamuzi huo baada ya kushauriwa na wataalamu wa afya kwamba hizo chanjo ni salama zaidi kuliko J&J.

Sababu kubwa ya kupendekeza hivyo ni kwamba J&J inasababisha matatizo ya kuganda kwa damu kwenye ubongo hivyo watu waiepuke kadri inavyowezekana.

CDC wamesema kama mtu atataka mwenyewe kwa sababu zake mwenyewe chanjo ya J&J basi apewe ila zaidi watu watumie hizo chanjo mbili za Moderna na Pfizer.

 
Taasisi ya kudhibiti magonjwa ya Marekani, CDC imeshauri watu kupata chanjo za Pfizer ama Moderna kuliko J&J.

CDC imefikia uamuzi huo baada ya kushauriwa na wataalamu wa afya kwamba hizo chanjo ni salama zaidi kuliko J&J...
Watu watapigwa booster mpk akili ziwakae sawa,wakija kushtuka baadhi ya viungo vya asili havifanyi kazi tena,wote wanageuka kua wanawake tu.

hio corona mnayoiimba kila siku sisi huku katavi hatujui hataa ni nini? Cjui virusi vya Omicron,mara kirusi cha omega eti kimekutwa huko Congo hatujui, nyie huko mnaojifanya mmeendelea chanjeni tu.

Sisi tunaendelea na kilimo cha mihogo na matikiti huku tunapiga kazi tu kama alivotuasa magufuli wetu, tunaijenga katavi yetu,ingawaje mnatubania kwenye pembejeo ila tutatoboa tu.
 
Taasisi ya kudhibiti magonjwa ya Marekani, CDC imeshauri watu kupata chanjo za Pfizer ama Moderna kuliko J&J.

CDC imefikia uamuzi huo baada ya kushauriwa na wataalamu wa afya kwamba hizo chanjo ni salama zaidi kuliko J&J...
Huwezi kuwa dalali wa beberu mmoja hivi amayetengeneza hizo chanjo kweli?
 
Hizi chanjo huko tunakoelekea naona zitafeli zote, mara waseme inahitajika booster, mara hiyo J & J tuliyoifakamia mwanzoni waseme inasababisha damu kuganda kwenye ubongo, nani ataziamini hizo zilizobaki?

Dalili zote zinaonesha Corona tutaishi nayo na maisha yataendelea, wenye bahati mbaya ndio watakaokufa.
 
Hizi chanjo huko tunakoelekea naona zitafeli zote, mara waseme inahitajika booster, mara hiyo J & J tuliyoifakamia mwanzoni waseme inasababisha damu kuganda kwenye ubongo, nani ataziamini hizo zilizobaki?

Dalili zote zinaonesha Corona tutaishi nayo na maisha yataendelea, wenye bahati mbaya ndio watakaokufa.
Usiseme wenye bahati mbaya ndo watakakufa nayo bali waliopangiwa kufa nayo. Kwani hata UKIMWI kuna watu wanapiga kavu hawajawahi kutumia kinga toka wazaliwe lakini mpaka leo wanadunda hawana shida yoyote, ila kuna wengine akijaribu hata mara moja tu imoo.
 
Usiseme wenye bahati mbaya ndo watakakufa nayo bali waliopangiwa kufa nayo. Kwani hata UKIMWI kuna watu wanapiga kavu hawajawahi kutumia kinga toka wazaliwe lakini mpaka leo wanadunda hawana shida yoyote, ila kuna wengine akijaribu hata mara moja tu imoo.
Ndio bahati mbaya hiyo, kwanini wewe upangiwe mwenzio asipangiwe!.
 
Taasisi ya kudhibiti magonjwa ya Marekani, CDC imeshauri watu kupata chanjo za Pfizer ama Moderna kuliko J&J.

CDC imefikia uamuzi huo baada ya kushauriwa na wataalamu wa afya kwamba hizo chanjo ni salama zaidi kuliko J&J.

Sababu kubwa ya kupendekeza hivyo ni kwamba J&J inasababisha matatizo ya kuganda kwa damu kwenye ubongo hivyo watu waiepuke kadri inavyowezekana.

CDC wamesema kama mtu atataka mwenyewe kwa sababu zake mwenyewe chanjo ya J&J basi apewe ila zaidi watu watumie hizo chanjo mbili za Moderna na Pfizer.


Lakini statits ni hivi. Hakuna uhakika wa 100% damu kuganda wote 50 ni kwasababu ya chanjo. Hivyo bado data za vifo ni ndogo sana

1. Waliochanjwa marekani 15 M
2. Damu kuganda 50
3. Vifo 9
 
Hizi chanjo huko tunakoelekea naona zitafeli zote, mara waseme inahitajika booster, mara hiyo J & J tuliyoifakamia mwanzoni waseme inasababisha damu kuganda kwenye ubongo, nani ataziamini hizo zilizobaki?

Dalili zote zinaonesha Corona tutaishi nayo na maisha yataendelea, wenye bahati mbaya ndio watakaokufa.
R. I. P. JPM
 
Hizi chanjo huko tunakoelekea naona zitafeli zote, mara waseme inahitajika booster, mara hiyo J & J tuliyoifakamia mwanzoni waseme inasababisha damu kuganda kwenye ubongo, nani ataziamini hizo zilizobaki?

Dalili zote zinaonesha Corona tutaishi nayo na maisha yataendelea, wenye bahati mbaya ndio watakaokufa.
Mashaka mnayatoa wapi wakati mwanzo mlikuwa mnamshambulia mwenda zake?
Kuleni busta mpaka akili ziwakae sawa.
 
Back
Top Bottom