#COVID19 CDC imeshauri watu kuachana na chanjo ya J&J kwani inasababisha kuganda kwa damu kwenye ubongo, watumie Moderna ama Pfizer

#COVID19 CDC imeshauri watu kuachana na chanjo ya J&J kwani inasababisha kuganda kwa damu kwenye ubongo, watumie Moderna ama Pfizer

Sasa ikiwa kwa Rais,Makamu na Waziri mkuu huoni siyo rare tena?
Kwahiyo hao watu wamepata hayo matatizo!
Naomba uthibitisho,kwenye watu mil 1 waliochanjwa ni wangapi wamepata hayo matatizo!
 
Fungua link usome,usiishie kusoma maneno ya mleta mada ambayo yeye ndiye ametafsiri!
Ingekuwa hivyo unavyoamini basi wangeshauri watu wasichanje kabisa hiyo J&J!
Ila wamesema watu wasi-opt sana!
Mkuu, hapo tu kusema watu wasi opt sana ndio kuna shida, kwa nini waseme watu wasi opt?

Wameshauri watu wachanje kwa kutaka wao, yaani risk iko transferred kwa anaetaka, ukitaka kumu utapewa maana umetaka mwenyewe.

Hilo halihitaji uwe genius ama uwe na degree kuliona.

 
Hizi chanjo huko tunakoelekea naona zitafeli zote, mara waseme inahitajika booster, mara hiyo J & J tuliyoifakamia mwanzoni waseme inasababisha damu kuganda kwenye ubongo, nani ataziamini hizo zilizobaki?

Dalili zote zinaonesha Corona tutaishi nayo na maisha yataendelea, wenye bahati mbaya ndio watakaokufa.
Tangu mwanzo wa corona walishasema kwamba asilimia 80 ya watakao ipata corona watapona bila kujua kama waliugua corona, na katika asilimia 20 iliyobaki asilimia 15 watatibiwa na watapona ila wale asilimia 5 ndo wanaweza wakawa mahututi na baadhi yao wakafa , na hasa hasa watakaokuwa na magonjwa mengine sugu. That's it !
 
Yalisemwa sana na watu na mukawabeza Hadi kufikia kutunishiana misuri,Sasa yamewafika wapi na Johnson yenu?mumewasababishia watu magonjwa ya ajabu
Sio kweli, asilimia ya wale wanaoweza kuganda damu ni wachache sana tena sana, musiwatishe watu,
 
Endelea kujipa moyo ,Kama ulichanja j&j andaa akili,mwili na roho yako
Wewe ndugu unajidanganya kwamba IPO dawa hapa duniani ambayo haina side effect ??, jibu ni kwamba dawa zote zina side effect bandugu nendeni mkachanje !
 
Kwa hiyo tuliochanja je inakuaje kuaje damu ikiganda nan anawajibika
Walichanjwa wote ni MAFALA, we unajazishwa fomu kuwa serikali haitahusika na yatakayokukuta na unasaini na kupigwa chanjo!??.. mmepigiwa sana kelele bado mkajifanya wabishi.. Sasa endeleeni kutega sikio
 
Wewe ndugu unajidanganya kwamba IPO dawa hapa duniani ambayo haina side effect ??, jibu ni kwamba dawa zote zina side effect bandugu nendeni mkachanje !
Kashawishi ukoo wako wote mkachanjwe chanjo za majaribio, wengine tulishasema toka mwanzo hata utuwekee bunduki shingoni hatuchanji ng'ooo
 
Walichanjwa wote ni MAFALA, we unajazishwa fomu kuwa serikali haitahusika na yatakayokukuta na unasaini na kupigwa chanjo!??.. mmepigiwa sana kelele bado mkajifanya wabishi.. Sasa endeleeni kutega sikio
Duh natoa wosia sasa tukifa waliokua wanashadadia wawajibike.
 
Walichanjwa wote ni MAFALA, we unajazishwa fomu kuwa serikali haitahusika na yatakayokukuta na unasaini na kupigwa chanjo!??.. mmepigiwa sana kelele bado mkajifanya wabishi.. Sasa endeleeni kutega sikio
Sisi wengine huwa hatuamini kila habari ya mitandaoni maana nyingi ni fake news, umemsikia nani aliyechanjwa hapa Tanzania ameganda damu ??? Acheni kutisha watu, Mimi nasubiri ije na booster jab nikachanje tena,
 
Tangu mwanzo wa corona walishasema kwamba asilimia 80 ya watakao ipata corona watapona bila kujua kama waliugua corona, na katika asilimia 20 iliyobaki asilimia 15 watatibiwa na watapona ila wale asilimia 5 ndo wanaweza wakawa mahututi na baadhi yao wakafa , na hasa hasa watakaokuwa na magonjwa mengine sugu. That's it !
Wengi tumesimamia hapo Mkuu, wanaohitaji kuchanjwa waendelee tu.
 
Back
Top Bottom