#COVID19 CDC imeshauri watu kuachana na chanjo ya J&J kwani inasababisha kuganda kwa damu kwenye ubongo, watumie Moderna ama Pfizer

#COVID19 CDC imeshauri watu kuachana na chanjo ya J&J kwani inasababisha kuganda kwa damu kwenye ubongo, watumie Moderna ama Pfizer

Pfizer ni kama GSM anataka kukabankila kona😆
 
Hizi chanjo huko tunakoelekea naona zitafeli zote, mara waseme inahitajika booster, mara hiyo J & J tuliyoifakamia mwanzoni waseme inasababisha damu kuganda kwenye ubongo, nani ataziamini hizo zilizobaki?

Dalili zote zinaonesha Corona tutaishi nayo na maisha yataendelea, wenye bahati mbaya ndio watakaokufa.
Sio wenye bahati mbaya ila ni kawaida kwa watu kufa kwa magonjwa, hakuna ugonjw usioua ila kwanini korona inaimbwa sana
 
Lakini statits ni hivi. Hakuna uhakika wa 100% damu kuganda wote 50 ni kwasababu ya chanjo. Hivyo bado data za vifo ni ndogo sana

1. Waliochanjwa marekani 15 M
2. Damu kuganda 50
3. Vifo 9
Kachanje wewe. Data zako kaa nazo
 
Na hapo ukiona wanashauri hivyo kwamba J&J haifai ujue data halisi ni mbaya sana.

Hawa jamaa wamejipanga kuanzia boardroom hadi newsroom maana habari pekee zinazoruhusiwa kwenda public ni zile za pro-vaccination tu. Hata wakati huu ambapo zaidi ya asilimia 70 wamechanja lakini corona wanapata, simulizi yao inabaki vile vile kama ilivyoamriwa na walioshikilia remote: chanjo ndio mwarobaini wa corona, wasiochanja ni mara nane zaidi ya waliochanja linapokuja swala la corona, dunia itakuwa salama iwapo wote tutachanjwa.

So tunapoona habari hizi chache zisizokuwa favorable kwa chanjo ujue ukweli uliopo nyuma ya pazia ni hatari zaidi.
 
Taasisi ya kudhibiti magonjwa ya Marekani, CDC imeshauri watu kupata chanjo za Pfizer ama Moderna kuliko J&J.

CDC imefikia uamuzi huo baada ya kushauriwa na wataalamu wa afya kwamba hizo chanjo ni salama zaidi kuliko J&J.

Sababu kubwa ya kupendekeza hivyo ni kwamba J&J inasababisha matatizo ya kuganda kwa damu kwenye ubongo hivyo watu waiepuke kadri inavyowezekana.

CDC wamesema kama mtu atataka mwenyewe kwa sababu zake mwenyewe chanjo ya J&J basi apewe ila zaidi watu watumie hizo chanjo mbili za Moderna na Pfizer.

Yupo wapi yule mjambiani na kijambi* chake
 
Watu watapigwa booster mpk akili ziwakae sawa,wakija kushtuka baadhi ya viungo vya asili havifanyi kazi tena,wote wanageuka kua wanawake tu.

hio corona mnayoiimba kila siku sisi huku katavi hatujui hataa ni nini? Cjui virus vya Omicron,mara kirusi cha mega hatujui, nyie huko mnaojifanya mmeendelea chanjeni tu.

Sisi tunaendelea na kilimo cha mihogo na matikiti huku, tunaijenga katavi yetu,ingawaje mnatubania kwenye pembejeo ila tutatoboa tu.
Unaizungumzia katavi ipi? Njoo kesho hospital hapa nikupeleke kwa wagonjwa wa uviko
 
JJ inasababisha kuganda kwa damu
Alaf eti atakaye taka anaweza akachanja duuh ss kwann wasiitoe kabisa kama madhara yake yanajulikana 🤨🤨🤨
 
ndio maana siku hz za karbuni,Kuna watu hasa wa pale mjengoni ,siwaelewi elewi,kumbe tatzo nahs ndo hili ,ugandaji umeshaanza tayari!
 
Unaizungumzia katavi ipi? Njoo kesho hospital hapa nikupeleke kwa wagonjwa wa uviko
Hao wagonjwa ambao wanaumwa magonjwa mengine alafu nyie mnawageuza eti ni uviko ili kutengeneza takwimu,mtaani hakuna hicho kitu kabisa na wala raia hatujui kama kuna huo ugonjwa.

Acheni ujanja ujanja na kutukuza magonjwa yakutengenezwa na bado kuna series kibao za virusi hawajaachia
 
Na ndio maana hii kitu inatakiwa iwe ni hiyari. Tayari ianonyesha muelekeo usio mzuri kama hizi taarifa/data ni reliable.
 
Sisi wengine huwa hatuamini kila habari ya mitandaoni maana nyingi ni fake news, umemsikia nani aliyechanjwa hapa Tanzania ameganda damu ??? Acheni kutisha watu, Mimi nasubiri ije na booster jab nikachanje tena,
Wapo mkuu, mimi nawajua kama wawili walikua vizuri, ila ndani ya wiki tuu baada ya kuchanja wakaondoka
 
Endelea kujipa moyo ,Kama ulichanja j&j andaa akili,mwili na roho yako

Hizi ndiyo data za hao hao waliotoa Habari. Tatizo ukieleza kitu toa picha kamili. Na Vilevile damu kuganda inatokea muda mfupi baada ya chanjo yaani huwezi damu haiwezi kuganda baada ya miezi mitatu 😂.
 
Uwe
Sisi wengine huwa hatuamini kila habari ya mitandaoni maana nyingi ni fake news, umemsikia nani aliyechanjwa hapa Tanzania ameganda damu ??? Acheni kutisha watu, Mimi nasubiri ije na booster jab nikachanje tena,
Unasoma sources za habari, sio kila habari ya mtandaoni ni fake news.

Hii sio fake news, jiandae kuganda ubongo.

Waliotengeneza chanjo washasema haifai wewe unajifariji eti fake news, tulia subiri tu damu igande.
 
Unaizungumzia katavi ipi? Njoo kesho hospital hapa nikupeleke kwa wagonjwa wa uviko
Hapo sasa !! Ndio maana huwa naamini habari nyingi sana hivi sasa ni fake news !! Kumbe huyo hata Hospital ya Katavi hajafika !! Duh ! Hatari kabisa !
 
Uwe

Unasoma sources za habari, sio kila habari ya mtandaoni ni fake news.

Hii sio fake news, jiandae kuganda ubongo.

Waliotengeneza chanjo washasema haifai wewe unajifariji eti fake news, tulia subiri tu damu igande.
Nasoma sourse za habari nyingi sana na nnafanya observations sana tu ndio maana naamini chanjo hizi hazina madhara makubwa kama wanavyodai wenye kueneza fake news !!
 
Ndio maana nimekuwa slow sana kufanya maamuzi baada ya kuchoma J&J
Duh kwa hiyo wanatusaidiaje.... Maana sisi tunawategemea wao... Wasitufanyie hivyo

Huu ndio unyama sasa
Mkuu, umenigusa, hata mimi nimeifeel hiyo hali sana. Na baadhi ya project zangu haziendi vizuri !
 
Back
Top Bottom