😆😆😆Mkuu, umenigusa, hata mimi nimeifeel hiyo hali sana. Na baadhi ya project zangu haziendi vizuri !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆😆Mkuu, umenigusa, hata mimi nimeifeel hiyo hali sana. Na baadhi ya project zangu haziendi vizuri !
Hao waliotuaminisha mwanzo kwa statistics kuwa J&J ni salama ndio sasa wanatuaminisha Tena kuwa sio salama. Akili kichwani.Lakini statits ni hivi. Hakuna uhakika wa 100% damu kuganda wote 50 ni kwasababu ya chanjo. Hivyo bado data za vifo ni ndogo sana
1. Waliochanjwa marekani 15 M
2. Damu kuganda 50
3. Vifo 9
Hao waliotuaminisha mwanzo kwa statistics kuwa J&J ni salama ndio sasa wanatuaminisha Tena kuwa sio salama. Akili kichwani.
Yani wewe unashangilia kitu ilimradi kina favor upande wako. Unajuaje kama hiyo ya katavi ni habari ya kuaminika?Hapo sasa !! Ndio maana huwa naamini habari nyingi sana hivi sasa ni fake news !! Kumbe huyo hata Hospital ya Katavi hajafika !! Duh ! Hatari kabisa !
Wazungu hata kama tunawachukia lakini wao sio wajinga kiasi hicho eti watoe chanjo ambayo hawana uhakika nayo tena wanawapa na RAIA wao, nakataa never on earth hawawezi wakafanya ujinga huo !!Hizo chanjo bado zipo kwenye majaribio, kwahiyo tegemeeni kusikia taarifa mpya siku baada ya siku.
Wala usiwe na wasiwasi hakuna shida yeyote, Mimi nimechanja na ndugu zangu wengi tu wamechanja tena wa umri tofauti tangu ilipoingia hiyo chanjo hakuna shida yeyote tuliyopata wala kusikia tatizo lolote kutoka kwa watu wengine waliochanja, MTU anaweza akafa kwa matatizo mengine lakini watu wakazusha eti kafa kwa sababu ya chanjo, USIAMINI FAKE NEWS ! WANASEMAGA LIES SPREAD FASTER THAN THE TRUTH !!Oohooo......Sasa Mimi mbona ndo nimechanja JJ Leo siku ya 4!?
Taasisi ya kudhibiti magonjwa ya Marekani, CDC imeshauri watu kupata chanjo za Pfizer ama Moderna kuliko J&J.
CDC imefikia uamuzi huo baada ya kushauriwa na wataalamu wa afya kwamba hizo chanjo ni salama zaidi kuliko J&J.
Sababu kubwa ya kupendekeza hivyo ni kwamba J&J inasababisha matatizo ya kuganda kwa damu kwenye ubongo hivyo watu waiepuke kadri inavyowezekana.
CDC wamesema kama mtu atataka mwenyewe kwa sababu zake mwenyewe chanjo ya J&J basi apewe ila zaidi watu watumie hizo chanjo mbili za Moderna na Pfizer.
![]()
Everything to know about Johnson & Johnson's COVID vaccine
A booster shot means a second shot for those who got J&J, but people living in San Francisco can get a third.www.cnet.com
Shukrani!Wala usiwe na wasiwasi hakuna shida yeyote, Mimi nimechanja na ndugu zangu wengi tu wamechanja tena wa umri tofauti tangu ilipoingia hiyo chanjo hakuna shida yeyote tuliyopata wala kusikia tatizo lolote kutoka kwa watu wengine waliochanja, MTU anaweza akafa kwa matatizo mengine lakini watu wakazusha eti kafa kwa sababu ya chanjo, USIAMINI FAKE NEWS ! WANASEMAGA LIES SPREAD FASTER THAN THE TRUTH !!
Acha uongo hakujawahi kua na supply ndogo ya chanjo Marekani, wadanganye watu wengine huko wajinga.Haya mambo yalikuwepo na wala si mapya. Chanjo iliruhusiwa na haya yakiwa yanafahamika. Kilichotolewa ni preference/uchaguzi/upendeleo kulingana na uwepo wa chanjo nyingi kwa sasa Marekani kulingana na hapo mwanzo supply ya chanjo ilikuwa ndogo.
Kama ingelikuwa ni shida kama inavyoshadadiwa basi ingeondolewa sokoni. Na haitakuwa dawa ya kwanza kuondolewa sokoni. Tatizo ni siasa kuingizwa kwenye science bila kujua jinsi mambo yanavyoendeshwa siku zote.
Soma history of drugs withdrawn from the market na usome what is the reason for post market surveillance. Mnawapa wtu mihemuko bila sababu za msingi.
View attachment 2049318
Masuala ya dawa kusababisha kuganda damu kama side effects yapo siku nyigi na nyingine unakunywa kimya kimya na wakati mwingine huitaji kunywa dawa ili kusababisha tatizo la damu kuganda.
Jisomee haya mambo hapa chini yalivyo na mchango wa kusababisha damu kuganda:
1: Unaposafiri kwenye ndege
2: Unapopata ajali na kuvunjika mfupa
3: Unapopata tatizo la presha/BP
4: Unapokuwa na tatizo la sukari/DM
5: Unapoumwa la kulala kitandani muda mrefu
6: Unapofanyiwa upasuaji wowote
7: Matumizi ya dawa za uzazi wa mpango
8: Matumizi ya dawa za maumivu
9:...........................👇
Acha uongo hakujawahi kua na supply ndogo ya chanjo Marekani, wadanganye watu wengine huko wajinga.
Hiyo uliyo choma ni feki au imeexpire maana chanjo nyingi zili expire kabla ya wakati kwa sababu ya matunzo yakeShukrani!
Siku nimetoka Kuchanja, nikawahi kurudi nyumbani....
Nikaanza kusubiri kuumwa kichwa, mapigo ya moyo kwenda mbio, Uchovu Kama ambavyo nilisoma post kadhaa za watu waliosema wamechanja..,
But Sikusikia kichwa kuuma, Wala Uchovu, sikuhisi shida yoyote mpaka sasa!
Sio kweli takwimu zakoLakini statits ni hivi. Hakuna uhakika wa 100% damu kuganda wote 50 ni kwasababu ya chanjo. Hivyo bado data za vifo ni ndogo sana
1. Waliochanjwa marekani 15 M
2. Damu kuganda 50
3. Vifo 9
In due time,utaelewa maana ya rare cases!Tunabishana kuhusu rare cases
Kuna Bibi Ana betri kwenye moyo wake, tangu amechomwa chanjo ya JJ. Anaisi kidonda kwenye moyo wake na maumivu pia.Sisi wengine huwa hatuamini kila habari ya mitandaoni maana nyingi ni fake news, umemsikia nani aliyechanjwa hapa Tanzania ameganda damu ??? Acheni kutisha watu, Mimi nasubiri ije na booster jab nikachanje tena,
Umejuaje Kama ili expire?Hiyo uliyo choma ni feki au imeexpire maana chanjo nyingi zili expire kabla ya wakati kwa sababu ya matunzo yake