Sijakuelewa...Yanga wazawadiwa bao, E.M wamejifunga dk ya 6.
Nashukuru umejisalimisha mapemaJambo mie ni msimbazi, lakini kwa leo nawatakia kila la kheri yanga......
masuke heshima yako mkuu.vp kuna dalili ya mabingwa kushinda na pia utupe line up ya YANGAAnatoka Tegete anaingia Keneth Asamoah