engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,149
- 1,441
usisahau pia kwamba mnyama alikiona cha mtema kuni kwa Red sea, lakini leo yanga wamekuja kidedea dhidi ya haohao Red c, Yanga hoyeeeeeeee!Berko, Nurdin hoyeeee!
Nasikia wahabesh wanatushambulia balaaa wadau leteni newz
Hapana....Mpira so far uko 50:50.......Wote wanashambuliana na Thank God Yanga leo wametulia sana kwenye kiungo...Juma Seif Kijiko ni mchezaji mzuri sana....Pia uwepo wa Jerry Tegete unaleta uhai wa mashambulizi kule mbeleHuyu kipa wa St. George Mganda Odonkara Robert ni mzuri sana,anawasaidia sanaNasikia wahabesh wanatushambulia balaaa wadau leteni newz
Tupeni list jaman
Hapana....Mpira so far uko 50:50.......Wote wanashambuliana na Thank God Yanga leo wametulia sana kwenye kiungo...Juma Seif Kijiko ni mchezaji mzuri sana....Pia uwepo wa Jerry Tegete unaleta uhai wa mashambulizi kule mbeleHuyu kipa wa St. George Mganda Odonkara Robert ni mzuri sana,anawasaidia sana
Nurdin & Chacha hawajatulia - Mpaka sasa St. George wanacheza vizuri zaidi : dk 40 na 0-0
Balatanda, Nsajigwa anacheza nafasi ipi leo? Naona yupo defensive mid-field!
Beko, Nsajigwa, Joshua, Chacha, Canavaro, Nurdin, Kijiko, Mwape, Tegete, Kigi Makassi...