engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,149
- 1,441
usisahau pia kwamba mnyama alikiona cha mtema kuni kwa Red sea, lakini leo yanga wamekuja kidedea dhidi ya haohao Red c, Yanga hoyeeeeeeee!Berko, Nurdin hoyeeee!
ila leo tarehe 8July Yanga inaweza aga mashindano,labda refa aibebe kama walivyopanga kuzibeba timu za Tanzania