Kweli uwanja unahamasisha, wimbo wa taifa unapigwa sasa na brass band!Uwanja unahamasisha kwa supporters wote wa simba na yanga.Ligi yetu ya ndani TFF waiboreshe ili iwe na hamasa kwa timu zote shiriki kama ilivyo leo kwenye kagame cup
Kanuni zinasemaje kuhusu nyimbo za taifa?team zipo uwanjani tayari kwa mpambano.Wimbo wa Taifa unaimbwa na Band ya police.imekuwaje tena wimbo?
yanga tafuna mnyama huyoooo
haha St ivuga upooo si unaona mlivyoanza kwa papara lzm tuwakojolee viwili leo hahahaanaona unamchuza mwenzako sio?