Huyu Mwinyi Kazimoto ni hatari aisee!
Usiishi kwa historiaSam Timbe ana historia nzuri na hili kombe,hata kama timu yake inacheza vibaya ,huwa anabeba kombe
Weka imani kwa bankaKutoka kwa Kazimoto ni pigo kwa simba!
Mechi zote Yanga ilizocheza ktk mashindano haya hakuna hata moja iliyoonekana inacheza kwa kutuliaYanga bado hawajatulia mpaka dakika hii...