Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,480
- 4,775
Yanga ili waendelee kwenda QF inabidi waifunge Bunamwaya mechi ya mwisho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio leo tu,hata game na El Mereikh......Kwa kweli leo Yanga hawakuwa vizuri kabisa!
Ndala kabahatisha 2.
Wadau wa soka la bongo naomba tufahamishane, ni timu ngapi na utaratibu gani utatumika kupata 8 za robo fainali toka makundi 3 yaliyopo ya Kagame Cup?
Red sea na Vatal'O mpira umeisha na Redsea kuibuka mshindi kwa gori 1-0Leo vipi matoke wakuu...