Cecil Mwambe ashindwa vibaya uchaguzi Kanda ya Kusini

Makapi yadhibitiwe kwa ili nipo na chadema 100% sio kufanya uchaguzi leo mwakani mtu anaunga mkono juhudi ili halikubaliki hata kidogo makapi yachujwe yote.

Vipi walioshinda hawataunga mkono juhudi? Mimi naona wanajiongezea tu thamani, wote ni hao hao! Wasakatonge.
 
Bahati nziuri natumia akili kufikiri situmii utumbo kuniambia nisubiri 2020 nikudhani natumia utumbo kuwaza kama ww nani kakwambia 2020 kuna uchaguzi
utaelewa baada ya uchaguzi wa 2020 kwamba aliyeiua CHADEMA ni Mbowe na alifanya hivyo mwaka 2015 makusudi Kabisa.
Ninamashaka pia kama huyu Mbowe sio Mrema namba 2.
Uzuri wa waTanzania kufikiri huwa tunaahirisha na tunasahau haraka.
 

Mkuu uko sahihi, eti mtu anataka kushinda tu, akishindwa anataka abembelezwe kwa kitisho eti atahamia ccm. Mtu wa hivyo awahi huko ccm haraka sana bila kubembelezwa.
 
Wakati mwingine ujitahidi kuficha ujinga wako walau ubakie na heshima kidogo. Subiria baba yako apigwe risasi halafu wewe kacheke na ndugai.
 
Nawapongeza walioshinda lkn Zaidi kwa Kaka angu Mario Milinga kuwa mweka hazina
 
Ndugu yangu tindo, usijitoe akiri , Mimi ninakanuni moja mtu yeyote anayekataliwa na ccm jua yuko vizuri sana kichwani .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…