lukindo
JF-Expert Member
- Mar 20, 2010
- 8,466
- 9,038
Hii ndio vicious cycle na ni bora zaidi ikakuathiri materially na sio mentally!chaguzi nyingi sana CHADEMA imeshindwa, huo ni udhaifu wa Mbowe
Ukiiuliza awamu ya tano wanakwambia matatizo yalisababishwa na JK, ukiwauliza awamu ya JK wanasema matatizo yalisababishwa na Mkapa, ukiwauliza watu wa awamu ya tatu wanasema yalisababishwa na Rukhsa na ukiwauliza wa Mzee Mwinyi watasema matatizo yalisababishwa na Mwalimu! Na ukienda kwa wale wa Mwalimu wanakwambia matatizo tuliletewa na mkoloni!
Miaka zaidi ya 60 hakujatookea kizazi cha kukubali makosa na kuamua kwenda mbele badala ya kulia lia na kulaumu. Mpaka unashindwa kuona kuwa sheria za uchaguzi ziko wazi lakini zimevurugwa kwa makusudi. Kushindwa kukubali 'hesabu' hii ya darasa la pili hakika huwezi kwenda sekondari!