Cedric Kaze vipi boss mbona Yanga imepunguza kukaba kitimu na kwa nguvu?

Cedric Kaze vipi boss mbona Yanga imepunguza kukaba kitimu na kwa nguvu?

Moshi25

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2022
Posts
2,555
Reaction score
4,118
Cedric Kaze nakukubali sana Mwalimu unajua sana kukaba mashabiki lia lia tunajua kuwa Yanga haifungiki sasa msimu huu mbona naona kama Yanga haiko imara sana pasi si nyingi kama mwaka jana, uwezo wa timu kumiliki mpira na kupasua katikati kwenda mbele kushambulia umepungua, mabeki wanarudisha sana mipira nyuma viungo wanachelewa kuchukua mpira na huo sio mpira wa Yanga, inatakiwa timu irudishe mpira wake wa kulazimisha kwenda mbele kushambulia kwa nguvu na kasi bila kuchoka kwa dakika 120 au mazoezi ya kukimbia na kukaba umeyapunguza ?

Timu yetu kwasasa haikabi kitimu, kitaalamu na kwa nguvu kama msimu ulioisha na tunafungwa magoli mepesi hasa kona na faulo mabeki wanajichanganya sana, umakini wa kujilinda umeshuka kama goli la Sakho lilituudhi sana hadi tukapasua TV na kuacha kuangalia mechi maana ni goli jepesi sana mabeki wote waliangalia mpira unakotoka na kuwasahau kabisa washambuliaji wa Simba na pia Diarra kapunguza umakini wa kucheza krosi hayo yasijirudie rekebisha hiyo bado mapema wachezaji wakipoteza mpira timu nzima ishirikiane wote kukaba tena kwa nguvu hadi wachukue mpira wao hicho ndo kilitupa makombe yote msimu uliopita!!

Ligi ya msimu huu ni ngumu sana kuliko msimu ulioisha wachezaji wa Yanga wajitume mara bilioni mbili bila hivyo kombe tutalirudisha Kolokoloni msimbazi

To go to the top ni kazi ngumu sana ambayo Yanga imeweza ila kubaki on top ni kazi ngumu zaidi

Daima mbele nyuma mwiko
 
Kaze unamlaumu bure.

yeye yuko pale kama mkalimani tu .

Maaana nabi anaongea kifaransa tu

Kaze anaongea kirundi,kiha,kiswahili na kifaransa

Hawezi hata kupiga danadana mbili

Kazi yake ni kufikisha ujumbe kati ya kocha na wachezaji tu .mwisho wa mwezi anakinga dola 3500 zake saafi
 
Cedric Kaze nakukubali sana Mwalimu unajua sana kukaba Yanga haifungiki sasa msimu huu mbona naona kama Yanga haikabi kitimu, kitaalamu na kwa nguvu na tunafungwa magoli mepesi hasa kona na faulo mabeki wanajichanganya, goli la Sakho ni jepesi mabeki wote waliangalia mpira unakotoka na kuwasahau washambuliaji wa Simba na pia Diarra kapunguza umakini wa kucheza krosi hayo yasijirudie rekebisha hiyo bado mapema wachezaji wakipoteza mpira timu nzima ishirikiane wote kukaba tena kwa nguvu hadi wachukue mpira hicho ndo kilitupa makombe yote msimu uliopita!!
Goli la sakho no offside. Period.
 
Kaze unamlaumu bure.

yeye yuko pale kama mkalimani tu .

Maaana nabi anaongea kifaransa tu

Kaze anaongea kirundi,kiha,kiswahili na kifaransa

Hawezi hata kupiga danadana mbili

Kazi yake ni kufikisha ujumbe kati ya kocha na wachezaji tu .mwisho wa mwezi anakinga dola 3500 zake saafi
Pamoja kua hajui kupiga danadana hamjawahi kumfunga na aliwapiga Zanzibar
 
Cedric Kaze nakukubali sana Mwalimu unajua sana kukaba Yanga haifungiki sasa msimu huu mbona naona kama Yanga haikabi kitimu, kitaalamu na kwa nguvu na tunafungwa magoli mepesi hasa kona na faulo mabeki wanajichanganya, goli la Sakho ni jepesi mabeki wote waliangalia mpira unakotoka na kuwasahau washambuliaji wa Simba na pia Diarra kapunguza umakini wa kucheza krosi hayo yasijirudie rekebisha hiyo bado mapema wachezaji wakipoteza mpira timu nzima ishirikiane wote kukaba tena kwa nguvu hadi wachukue mpira hicho ndo kilitupa makombe yote msimu uliopita!!
Muhimu ni point 3! Ingawa kuna baadhi ya maelezo yako yana ukweli ndani yake. Beki wa pembeni wanapanda sana kiasi cha kuacha uchochoro kule nyuma. Na huu udhaifu umeshaonekana kwenye mechi kadhaa za ligi, na pia kwenye ile fainali ya kombe la shitikisho la Azam msimu uliopita.

Beki wa kati akiwemo Mwamnyeto, wamekuwa wakiicost timu mara kadhaa kutokana na makosa ya kiuchezaji.

Ni kweli golikipa Diarra ana mapungufu kwenye kucheza mipira ya juu. Na kiukweli kama ningekuwa mimi ndiyo Profesa Nabi, ningeanza kumuamini Mshery! Kiukweli dogo ana sifa zote za kuwa golikipa namba 1 kwa sasa ukimlinganisha na Diarra.

Anyway, haya ni maoni yangu tu.
 
Haina mashiko hiyo, jana man city karuhusu goli 3 nae beki mbovu?
Muhimu tuna fowadi ya kutisha, ukifunga 1 unapigwa 2, ukifunga 3 unapigwa 5
 
Cedric Kaze nakukubali sana Mwalimu unajua sana kukaba mashabiki lia lia tunajua kuwa Yanga haifungiki sasa msimu huu mbona naona kama Yanga haiko imara sana pasi si nyingi kama mwaka jana, uwezo wa timu kumiliki mpira na kupasua katikati kwenda kushambulia umepungua, wanarudisha sana mipira nyuma na huo sio mpira wa Yanga inatakiwa timu irudishe mpira wake wa kulazimisha kwenda mbele kushambulia kwa nguvu na kasi , timu yetu kwasasa haikabi kitimu, kitaalamu na kwa nguvu kama msimu ulioisha na tunafungwa magoli mepesi hasa kona na faulo mabeki wanajichanganya sana, umakini wa kujilinda umeshuka kama goli la Sakho lilituudhi sana hadi tukapasua TV na kuacha kuangalia mechi maana ni goli jepesi sana mabeki wote waliangalia mpira unakotoka na kuwasahau kabisa washambuliaji wa Simba na pia Diarra kapunguza umakini wa kucheza krosi hayo yasijirudie rekebisha hiyo bado mapema wachezaji wakipoteza mpira timu nzima ishirikiane wote kukaba tena kwa nguvu hadi wachukue mpira wao hicho ndo kilitupa makombe yote msimu uliopita!!

Ligi ya msimu huu ni ngumu sana kuliko msimu ulioisha wachezaji wa Yanga wajitume mara bilioni mbili bila hivyo kombe tutalirudisha Kolokoloni msimbazi

To go to the top ni kazi ngumu sana ambayo Yanga imeweza ila kubaki on top ni kazi ngumu zaidi

Daima mbele nyuma mwiko
Tulia,subira yavuta kheri
 
Mechi na polisi zimetumwa pasi 86 halafu unasema humu upigaji pasi umepungua
 
Cedric Kaze nakukubali sana Mwalimu unajua sana kukaba mashabiki lia lia tunajua kuwa Yanga haifungiki sasa msimu huu mbona naona kama Yanga haiko imara sana pasi si nyingi kama mwaka jana, uwezo wa timu kumiliki mpira na kupasua katikati kwenda kushambulia umepungua, wanarudisha sana mipira nyuma na huo sio mpira wa Yanga inatakiwa timu irudishe mpira wake wa kulazimisha kwenda mbele kushambulia kwa nguvu na kasi bila kuchoka kwa dakika 120 au mazoezi ya kukimbia na kukaba umeyapunguza ? timu yetu kwasasa haikabi kitimu, kitaalamu na kwa nguvu kama msimu ulioisha na tunafungwa magoli mepesi hasa kona na faulo mabeki wanajichanganya sana, umakini wa kujilinda umeshuka kama goli la Sakho lilituudhi sana hadi tukapasua TV na kuacha kuangalia mechi maana ni goli jepesi sana mabeki wote waliangalia mpira unakotoka na kuwasahau kabisa washambuliaji wa Simba na pia Diarra kapunguza umakini wa kucheza krosi hayo yasijirudie rekebisha hiyo bado mapema wachezaji wakipoteza mpira timu nzima ishirikiane wote kukaba tena kwa nguvu hadi wachukue mpira wao hicho ndo kilitupa makombe yote msimu uliopita!!

Ligi ya msimu huu ni ngumu sana kuliko msimu ulioisha wachezaji wa Yanga wajitume mara bilioni mbili bila hivyo kombe tutalirudisha Kolokoloni msimbazi

To go to the top ni kazi ngumu sana ambayo Yanga imeweza ila kubaki on top ni kazi ngumu zaidi

Daima mbele nyuma mwiko
Sisi malengo yetu ni kuifunga Simba tu na tumeshafanikiwa hayo mengine siyo muhimu kwetu.
 
Utopolo naona mnaanza kujielewa. Mihamala na kelele za malalamiko ndizo ziliwasaidia msimu uliyopita
 
Kaze unamlaumu bure.

yeye yuko pale kama mkalimani tu .

Maaana nabi anaongea kifaransa tu

Kaze anaongea kirundi,kiha,kiswahili na kifaransa

Hawezi hata kupiga danadana mbili

Kazi yake ni kufikisha ujumbe kati ya kocha na wachezaji tu .mwisho wa mwezi anakinga dola 3500 zake saafi
Umasikini unakutesa sana wewe KOLO
 
Back
Top Bottom