Celebrities wa Tanzania waliobadili dini na kuwa Waislam

Huyo Jeff Dennis atakuwa GAY. Sijaona akiwa na demu au familia INSTA plus ukimwangalia jinsi alivyo, he looks effeminate
 
Wanaobaili dini mara nyingi utakuta wana migogoro na baba mzazi ya tokea utototoni, aidha baba is dead beat au mahusiano siyo mazuri. In many cases hawa watu utakuta hawakuwa na strong father figure kwenye malezi
 
Ok vyovyote vile lakini P Funk hapo mwanzo alikuwa anaitwa Paul na mshua wake alikuwa ni Mkristo hata nyumba ilikuwa ya kikristo, ukubwani huko akaona hawezi kuendelea na ukristo akahamia rasmi uislamu,
Unaongea dizaini kama ulikuwa nao nyumba Moja au akili mwake[emoji1787]
 
Nimeshtushwa sana na Balnaba si huyu amefunga ndoa hivi karibuni kanisani ikawa gumzo hivi karibuni??
Nimeshtushwa pia na Classmates wangu Bob wangwe UDSM 2013..
Mnachanganya hapa Kuna Bob Wangwe na DEDAN Wangwe

Huyu DEDAN Ndio alietwiti kule X kwanmba alibadili dini Sina hakika kama na Bob Wangwe nae alifanys hivyo
 
Kwa hiyo kama walibadili dini unataka na sisi tubadili au wakibadili hao hiyo dini inakuwa ni bora sana?

Watu wa hizi dini za uislamu na ukristo mnakuwaga wapuuzi sana.

Infact ni dini mbili za kijinga sana.

Bora hata dini za ubudha au shinto, ama dini za asili za kiafrika.

Huu ukristo na uislamu ni takataka sana.
 
DINI YA HAKI INAWATISHA WATU......

UKIBADILI DINI UNAUAWA....!!!
UKIHOJI NI KUFURU........
KUTUKANA NA KUDHALILISHA DINI ZA WENGINE NI SAWA......ILA DINI YAO IKIDHIAKIWA WANACHUKUA MAPANGA....
*****************
NISAIDIENI MAJIBU
Huko kimejaa UNAFIQ MTUPU

Nina demu wangu muislamu ila anakula Noah kama Hana akili nzuri.

Nikimuuliza anadai hawezi acha sema anakula mafichoni[emoji2]
 
Na utafiti unaonesha jamii nyingi za zenye utamaduni wa hio dini wanafukuana sana sewage system.

Pwani yote ya hii nchi ndio mishe zao.

Zanzibar na Tanga hakukamitiki

Tanga wanaita Tuzi.

Kuna story Moja humu JF ya jamaa anahadithia jamii Fulani huko Tanga kabila kubwa tu. Wana kautamaduni kao la kulana ndugu ndugu siku ndoa ikifungwa.

Hadi Sewage system wanakulana. Inaitwa Sunna ya Mtume.
 
Kumbe P Funk alibadili dini

Hapo najua Barnaba ni kama Ben Pol tu...kiki

Na hapo wengi ukifuatilia sababu ya kubadili ni kei 🤦‍♀️
Anabadili dini ila hamna impact yoyote ya yeye kubadili, anaishi style ileile ya zamani.

Hao kina Barnaba na msodoki wote bado wana rasta zao, P funck matattoo kibao anayo.

Badili dini sio kwa kichocheo toka nje bali nafsi yako ikiri takwa hilo.
 
Wanaobaili dini mara nyingi utakuta wana migogoro na baba mzazi ya tokea utototoni, aidha baba is dead beat au mahusiano siyo mazuri. In many cases hawa watu utakuta hawakuwa na strong father figure kwenye malezi
Tuelezee mkuu nimependa sana hii analysis
 
Tuelezee mkuu nimependa sana hii analysis
Kubadili dini ni ngumu kwa mtu wa kawaida aliyepata malezi mema ya baba na mama. Ni maamuzi ambayo yanahitaji ujasiri mkubwa. Haswa kwa mwanaume. Utakuta hilo li gayJeff Dennis kama baba yake angali hai, hataki hata kuliona. Halafu utagundua majina ya ukoo ya baba mzazi hawatumii karibia wote
 
Na wote hawa wamechanganikiwa, wameacha kuabudu mizimu yao (DNA yao) na kuabudu DNA za watu wengine kabisa, mnabaki kushangaa kwanini Waafrika tumelaanika kwa kususa mizimu yetu na kuabudu mizimu ya Kiarab na Kiyahudi/Kizungu.
 
Mwenyewe hapo ulipo unatamani kuwa mwarabu na ulivyo jeusi.
 
Hayo yapo ila kuna wengine especially ulaya na marekani wengi wao wanapendezwa na mfumo wa maisha wa kiislamu , kama huyu muandishi wa habari wa southafrica yeye kapenda unyenyekekevu wa waislamu kwa mola wao
Mwenyewe hapo unatamani basi kuwa mwarabu
 
Quran ina kitu gani cha kumsilimisha mtu!? Labda wapumbavu tu ndo watavutiwa na kitabu hiki chenye stori zinazoonyesha wazi ni za kutunga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…