Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀, Umeongea point, Ukiwa na hela mambo kama haya huwezi kufuatilia kabisa, mleta thread hana tofaut na wale wanaokaa vibarazani kupiga soga.Mtu kaakaa kabisa kaanza kufuatilia huyu dini gani na alikuwa dini ipi kabla. Akaja hapa akaanza kuandika😄.
Hebu tutafute hela Ndugu wananji
Wengi wao hapo sababu ni kuoa au kuolewa, KATAA NDOA NJOONI MSEME NENO WALAHI!!1. Mzize - Mchezaji wa Yanga
Ukristo kwenda uislam
View attachment 2940056
2. P Funk - Producer
Ukristo kwenda uislam
View attachment 2940057
3 Shomari Kapombe - Mchezaji wa mpira
Uislam kwenda Ukristo
View attachment 2940099
4. Barnaba - Msanii wa Muziki
Ukristo kwenda uislam
View attachment 2940058
5. Mwijaku - journalist infuencer
Ukristo kwenda uislam
View attachment 2940059
6. Young killer - Msanii wa muziki
Ukristo kwenda uislam
View attachment 2940060
7. Jeff Dennis - Twitter Influencer
Ukristo kwenda uislam
View attachment 2940071
Ni sawa kwa 100%. Mtu akimbaka binti yako utamwachia ambake pia kwa nyuma?So jino kwa jino kwako ni sawa?
Na deal za pesa, waislam hawakupi deal kama wewe ni mkristo, mfano stand za mabasi, zaman wamiliki wengi wa mabasi walikuwa waislam ,basi vijana wengi walilazimika kubadili dini ili wapate Ile kuuza tiketi tu, na wengine wakawa Wana majina mawili, stand ni Hussein mtaani ni sanctus na kanisan anaenda, Akina GSM,Mo ,bakhalesa Wana nguvu sana kwenye imani za ndugu zetu masikini,Na hapo wengi ukifuatilia sababu ya kubadili ni kei 🤦♀️
siyo Joblesi ni Jobless. Ni kwa nini hampendi kwenda shule ninyie?Wewe kweli KILAZA
Gazeti lote hili, utakuwa joblesi wewe
Hahahaha kwanini unadanganya kuwa wewe ni mkristo wakati kuna siku kibao tushabishana kuhusu dini?halafu masjid haram mbona wanaswali huku wamechanganyika wanaume na wanawake?mimi ni mkristo safi ila wiki hii naenda kusilimu niwe muislimu ibada ya kuchanganyika na wanawake ibada ya kwaya imenichosha hata mungu kachoka
Kama maunda alikuwa muislamu mbona alizikwa kikristo?Hata Mwijaku hawajawahi kuwa mkristu. Hilo jina Burton Mwemba huenda alinunua kwa ajili ya shule kwamba alifeli primary then akanunua jina ili asome seco.
Shomary Kapombe hajabadilisha dini ila baba ake muislamu mamake mkristu na yeye ni mtoto wa mama.
However P.Funky alifunga ndoa ya kiislamu.
Wengine walio badili dini no pamoja na Julius Mtatiro.
Hillary David (.zembwela na yeye nahisi kasilimu)
Marehemu Maunda Zorro na yeye alitoka.kwenye ukristu kwenda kwenye uislamu.
N.b: kubadili dini ni upuuzi to kwa sababu haikubadilishii chochote zaidi ya kutoa dhambi zako kwenye dini yako na kuzihamishia kwenye dini nyingine
This just shows that I was right all along on everything about your "Kilazaness" promaxsiyo Joblesi ni Jobless. Ni kwa nini hampendi kwenda shule ninyie?
Sikulaumu kutokana na ufinyu wako wa elimu. Ungejua kwanza maana ya majini basi tungeweza kuzungumza kidogo .Majini yanayoendekezwa kwenye uislamu sio Malaika
Ukristo unaamini kuwa kuna Mungu na Malaika tu mtu akiamini kuna malaika na majini wa mwenyezi Mungu mchawi na Mshirikina huyo
Majini kwenye Ukristo ni wafuasi wa shetani na viongozi wa wachawi hatuyakubali
Malaika ndio viongozi watiifu kwa Mungu tu sio majini kama waislamu nsemavyo ohhh kuna majini mazuri .Ukristo hakuna jini zuri yote mashetani tu hatuna mpango wa kuwa na ushirika na jini iwe ibada au.popote
Majini ndio wasimamia uchawi na ulozi duniani hakuna jini zuri wala baya kwenye ukristo yote mabaya mapepo mashetani watoto wa shetani
Wakristo tunaamini kwa malaika tu kuwa ndio wako vizuri hatuamini kwenye majini
Majini yote kwa wakristo yanaitwa mapepo hakuna cha jini zuri wala baya kwenye ukristo yote mapepo y kuzimu toka kwa shetani mlaaniwa
Ukristo unaamini malaika tu sio majini mnayosali nayo hadi misikitini kuwa ohh kuna majini maxuri kila ijumaa au muda wa swala yanakuwepo na wauslamu kuswali nao
Ukristo hiyo haipo tukisali marufuku jini kuweko kanisani na tunakemea jini usikanyage tunaposali shetani wewe hatutaki uwepo wako tunaposali
Misikitini mnayaruhusu kwenye ibada zenu ila ibada za Kikristo hatutaki majini kanisani yaweko ibadani kwenye ibada zetu
Tunahitaji malaika wawepo sio majini kama nyie mnayosali nayo kila swala misikitini
P hajawahi kubadili dini, bali mama muislam akamwita Khalfan na baba mkristo ndio akamwita sijui nani,
Umemsahau bosi wao Joseph Kusaga.1. Mzize - Mchezaji wa Yanga
Ukristo kwenda uislam
View attachment 2940056
2. P Funk - Producer
Ukristo kwenda uislam
View attachment 2940057
3 Shomari Kapombe - Mchezaji wa mpira
Uislam kwenda Ukristo
View attachment 2940099
4. Barnaba - Msanii wa Muziki
Ukristo kwenda uislam
View attachment 2940058
5. Mwijaku - journalist infuencer
Ukristo kwenda uislam
View attachment 2940059
6. Young killer - Msanii wa muziki
Ukristo kwenda uislam
View attachment 2940060
7. Jeff Dennis - Twitter Influencer
Ukristo kwenda uislam
View attachment 2940071
Nashangaa tu kwa nini huwa hampendi shule?This just shows that I was right all along on everything about your "Kilazaness" promax
Kwa hiyo umepatia kuandika joblesi 😁
Nashangaa tu kwa nini huwa hampendi shule?

Unataka tukasomee ujinga kama uliosomea wewe?Nashangaa tu kwa nini huwa hampendi shule?
Aka safishe Ubongo amekuwa brainwashed.Unataka tukasomee ujinga kama uliosomea wewe?
Ni uzinzi tu umechangia1. Mzize - Mchezaji wa Yanga
Ukristo kwenda uislam
View attachment 2940056
2. P Funk - Producer
Ukristo kwenda uislam
View attachment 2940057
3 Shomari Kapombe - Mchezaji wa mpira
Uislam kwenda Ukristo
View attachment 2940099
4. Barnaba - Msanii wa Muziki
Ukristo kwenda uislam
View attachment 2940058
5. Mwijaku - journalist infuencer
Ukristo kwenda uislam
View attachment 2940059
6. Young killer - Msanii wa muziki
Ukristo kwenda uislam
View attachment 2940060
7. Jeff Dennis - Twitter Influencer
Ukristo kwenda uislam
View attachment 2940071