Celebrities wa Tanzania waliobadili dini na kuwa Waislam

Kei ni kei bwana kamatia msambwanda πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Kei ni kei bwana kamatia msambwanda πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Quran ina kitu gani cha kumsilimisha mtu!? Labda wapumbavu tu ndo watavutiwa na kitabu hiki chenye stori zinazoonyesha wazi ni za kutunga.
Subiri nasi tunasubiri ,punde tutakuja kujua nani alikuwa kwenye njia iliyoongoka!


Maisha yetu ni miaka michache sana wengi wetu tutakuwa tumeshafariki mara baada ya miaka 50/60 ijayo.

Amini unachokiamini nami naamini ninachokiamini...tukishaondoka hapa duniani tutaenda ukweli
 
wengine wamefata wanawake ila dini ya haki ni uislamu wenyewe hauna mchezo,hauna atakae kupiga kushoto umgeuzie kulia huo ni unafiki.
 
Baada ya kukosa hoja ikatengenezwa hoja,kama kusema ukifika mwezi wa ramadhani bucha za kitimoto zinapotea,hizo ni hoja MUFILISI
Y
 
Jakaya mrisho kikwete

Mthilamu kwenda kuwa mukirisito.
 
Upo sahihi
 
Mwijaku ambaye baba yake mzazi ni Sheikh Mkubwa huko Kigoma lini alikuwa mkristo, au jina la Burton linakusumbua kama la Sunday Manara.!!:
 
Kumbe P Funk alibadili dini

Hapo najua Barnaba ni kama Ben Pol tu...kiki

Na hapo wengi ukifuatilia sababu ya kubadili ni kei πŸ€¦β€β™€οΈ
Ka Barnaba ni kajinga sana.
 
Tumuombe Mungu atujalie na atuoneshe ipi ni dini yenye haki mimi nashukuru Mungu alinionyesha na mpk sasa nimebadili dini takribani miezi nane mimi pamoja na mke wangu wengi hatusome wala kujifunza dini za wengine tunasikiliziz maneno ya vijiweni kuwa normal ht km ww ni mkristo jaribu kutamni kujua wanaojifunza wengine pengine utaona baadhi ya mambo yakukupendeza ss binadamu sio wajinga kbs hiv hujiuliz mtu mzima kuamua kubadili na sio mmoja kunani hp fany tafiti pengine Mungu atakuonyeah kilicho bora zaid maan hii dunia ukweli mwingi wa mazuri umefichwa na maslai ya wafu fulani na mambo ya kishetani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…