Ww ni m1 kati ya mbumbumbu la nyakati hizi,ww unafikiri akitoa ni kwa faida ya nani? Iyo ilikuwa nafasi ya kujiongezea credit kwao pia lakin mjinga kama ww huwez kuona kama hiyo ni fursaMasikini wa fikra ni shida sana. Jaribu kuupiga vita ujinga uliojaa kichwani mwako kisha urudi kufuta uzi huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kipindi Lowasa anajitengeneza mazingira ya kugombea urais alikuwa anamwaga pesa kama mchanga. Sijui kapotelea wapi safari hii
Mo kashatoa ngap mpaka sasa? Na anatengeneza kila kitu sanitizer na sabuni lakini hajatoa
Sent using Jamii Forums mobile app
JidanganyeHao ni walalahoi bado wapo kwenye ngazi ya utafutaji mfano wote uliowataja wanazidiwa uchumi na masanja mkandamizaji
Kwa hiyo unataka Diamond na Samata wakitoa wa kwambie wewe?
Ila ccm kwa kukuza mafisadi hawajamboUnatoa kitu ili upate kitu ndio tafsiri ya alichokuwa anakifanya, kwa sasa haitaji kitu ndio maana kapotea
Ila ccm kwa kukuza mafisadi hawajambo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pia mabilionea wa Qnet, Aim global na forever living tunawategemea kwenye hili janga
[emoji31][emoji31][emoji31][emoji31][emoji31][emoji57][emoji57][emoji16] naona unawaita wanasisiem wakija usikimbie me sio mwanasiasa
Tuanze na wewe,Basi angalau hata wachange kama jamii ya wasanii waanzishe mfuko maalumu ili wasaidie jamii ktk kipindi hiki wauite hata Bongo stars charity Fund...wajichange change hela kwa pamoja kwa umoja wao watoe kama jamii mmoja mmoja wataumia maana tunajua wazi hawana hela..wàmchagur hata Majizoo and then tofaut zote kwenye industry kuanzia bongo movies,bongo fleva,singeli,wacheza ngoma n.k wawe kitu kimoja hakika jamii itawakumbuka sana Bahati mbaya sidhan kama hilo wazo watalifanyia kazi