Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Hivi vigari vinavyo depreciate value with each passing year mtu aliyesoma na kuelewa asset ni nini na liability ni nini hawezi kuvisema kama jambo la msingi.
Labda kama kakulia kwenye shida na habari za Range Rover ni za ajabu.
ume get angry au ume get inspired?
You got jokes.
Tanzanians hyperventilate over non issues.
Tell me he has a crib up in Malibu like a Nguema, then you will have my attention.
Hivi vigari vinavyo depreciate value with each passing year mtu aliyesoma na kuelewa asset ni nini na liability ni nini hawezi kuvisema kama jambo la msingi.
Labda kama kakulia kwenye shida na habari za Range Rover ni za ajabu.
Halafu huko mliko Si kuna Uhuru sana wa kuchagua?
sasa Alberto kachagua hayo mabenz na marange kuu kuu (per ngabu),kwanini usiheshimu tu machaguo yake !!
NB.Nijibu kwa kiswahili!!
Mie naenjoy life yangu baba. Siwezi kuwa inspired na mtu hana hata apartments za maana. Kuna mchaga mmoja ananiinspaya balaa manake ana nyumba kama 7 za kupanga zenye akili. Ana ghorofa moja pia ina apartments 6.
One nice toy or two zinanitosha kwa mobility tu.
labda anazo!! Wewe kuwa inspayadi tu!!
mwenyewe hapa Chenge ,Ruge na Seth wananiinspaya kinoma!!
madili yao yanaanzia sifuri 8 hivi!!
chenge is mai rolu modo
aisee!! kumbe range takataka?
huku Namtumbo ukiwa nayo hiyo polisi wanaweza kukusindikiza uendako?
ila Mkuu Tuache masikhara!! yaani hiyo ndinga ni takataka huku bongo au hadi huko kwenu Mbele?
Hahaha eti nijibu kwa kiswahili. Nimecheka hadi machozi.
Hehehe i can turn my mourning into a hearty laugh.
Huyo wanaemuongelea anaweza akapost kitanda anacholalia. Sijui ana udugu na mayweather? If you are able to laugh at everything including yourself, maisha yanakuwa matamu haswaa.
Happy holidays rafiki
Nilitaka kuinunua hiyo, backin 2014.Nilivyoona habari za kunichanganyia wahindi wa TATA na injini za Ford explorer nikaona hata kumnunulia mchumba zawadi itakuwa kashfa.
cc Nyani Ngabu
Kama mtu kweli unataka ku floss huwezi piga picha ya benzi ya macho ya paka.
Like, seriously?
Halafu hizo ni gari za kawaida sana.
Halafu wewe...
Yeye anamiliki sijui vidude gani hivyo vya chini mie nina private jet range 3.
At the age of 27.
Sasa hatuwezi kuonana yeye anatembea chini mimi juu..
Sema hivyo videm vyake ninavyowapa lift ndo wananiambia.
Halafu huko mliko Si kuna Uhuru sana wa kuchagua?
sasa Alberto kachagua hayo mabenz na marange kuu kuu (per ngabu),kwanini usiheshimu tu machaguo yake !!
NB.Nijibu kwa kiswahili!!
msando simkubali kihivyo ila baada ya kupitia huu uzi nimegundua kawakomesha wengi hadi humu ndani...watu wamepanic!
msando simkubali kihivyo ila baada ya kupitia huu uzi nimegundua kawakomesha wengi hadi humu ndani...watu wamepanic!
The folly of this flirtatious flossing is flatfooted by the fraudulent facade of freewheeling fortune on a finagled fame.
The folly of this flirtatious flossing is flatfooted by the fraudulent facade of freewheeling fortune on a finagled fame.