Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Hivi vigari vinavyo depreciate value with each passing year mtu aliyesoma na kuelewa asset ni nini na liability ni nini hawezi kuvisema kama jambo la msingi.
Labda kama kakulia kwenye shida na habari za Range Rover ni za ajabu.
Usikute kati ya Wabongo 100 ni mmoja tu ajuaye hilo.
Na baadhi ya hayo magari resale value yake ni ndogo sana.