Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
We ulisikia wapi?Hapana..Kuna kama months ago taarifa zilienezwa sanaa kwamba amefariki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ulisikia wapi?Hapana..Kuna kama months ago taarifa zilienezwa sanaa kwamba amefariki
Ndo kosa lqngu mkuu..ila hata hapa nahc zilikuwepoMtu mzima kabisa unakaa kuamin habar zahuko fb... Ukipata rumors ingia net mwenyew uangalie
Tatizo umetoka bariadi leo.Ndo kosa lqngu mkuu..ila hata hapa nahc zilikuwepo
Case closed 🔐Huku kwetu ni umasikini tu ila hakuna asiyependa raha.
Hahaha hamnaa mkuuTatizo umetoka bariadi leo
Nilikuwa sijaona huu ujumbe BS.Long time,
Mzima sana natumaini unaendelea vizuri na maisha
Najua, binadamu tumekuwa busy sana siku hizi, kwa jinsi Dunia inavyotupelekaNilikuwa sijaona huu ujumbe BS.
Yea kitambo kidogo imekuwa…[emoji4]huku Tunaendelea vyema sana ni namshukuru Mungu ni mwema kila wakati.
Habari ya huko upande mwingine mwa dunia ndugu yangu