simba ina wazee angalia umri wa kila mchezaji hapoKwa aina ya timu waliyonayo Simba mwaka huu na lundo la wazee Simba ikitolewa wala haidawi kitu, hatua waliyofika inaridhisha tatizo la Tanzania au Africa Mashariki hatuna uwezo wa kuvunja benki kusajili wachezaji wenye quality za kuchukuwa haya makombe ya Africa.
Tujitahidi kwenye scouting kama alivyopatikana Luis kabla hawajamuona timu kubwa zenye pesa.
Ni kweli Watanzania tunahitaji furaha lakini inafika wakati kwenye mpira nje ya mambo yote qualities ndio inamuuwa mshindi.
Mr utopolo nani asiyejua suala la hotel siku hizi siyo la mwenyeji simba walitoa ushauri sababu wasi stuck kwenye traffic, habari zako za south africa usinitolee mifano sijawahi kufika huko na wala sitamaniKuna vitu mnachekesha sana, yani uwashauri kufikia hotel za Kariakoo wakati Ramada ni beach front hotel?
Simba ilitakiwa kuwafanyia traffic arrangements tu na hizo huduma zipo zinalipiwa hukai foleni popote.
Hotel watakayofikia Simba Johannesburg umbali wake kwenda uwanja wa FNB Soweto umbali wake haupungui umbali wa kutoka Dar kwenda Mlandizi, sasa kutoka mbezi beach kwenda uwanja wa Mkapa kuna umbali gani? Hazizidi kilometers 35.
Je nyinyi mtakubali mkiambiwa mfikie Soweto au Mayfair au Laanglagte ili muwe karibu na uwanja wa FNB? Na mkiambiwa mfikie Downtown Hillbrow au Holiday in President street mtakubali?
Kwa vyovyote vile Simba ni lazima itafikia uzunguzi Sandton city au Rose bank na ni mbali kwenda uwanjani lakini miundombinu inaruhusu kuna barabara kibao za kutumia siyo kama Dar mnategemea barabara moja tu kutoka Mbezi beach kwenye Mkapa stadium.
Josh Onyango yuko wapi? Kagere? Bocco?
Soma zile tweets chini ya ile picha.Wapi Robert kasema yanga ni bora?
Unadhani ni wewe peke yako unayejua English? unajiona special sana kwenye uzi wangu nimesema kuna waliokubalina naye,wale wa kaizer chiefs na pirates na wako waliompinga mbona iko wazi hiyoHili ndio jibu la swali nililouliza?
Uzuri ni kuwa nimequote reply ya kiswahili hapakuwa na kiingereza kwamba sijaelewa kilichoandikwa.
soma vizuri au huoni wewe?Josh Onyango yuko wapi? Kagere? Bocco?
Ramada kuna umbali gani?Mr utopolo nani asiyejua suala la hotel siku hizi siyo la mwenyeji simba walitoa ushauri sababu wasi stuck kwenye traffic, habari zako za south africa usinitolee mifano sijawahi kufika huko na wala sitamani
Simba ilitoa ushauri wakaukataa na basi la simba plus mini van walikataa , sasa siku wanenda mazoezini waka stuck kwenye traffic jam kwanini wlaiiilamikia simba yaani utoke Ramda kote huko unatarajia nini?
Na kocha wao lini amewahi kua msemaji wa Simba scSoma baadhi ya comments kama unaelewa Kiingereza. Kuna moja inasema Yanga ni timu bora kwa Tanzania na Simba ni overrated.Kuna nyingine inamponda kwa kuzungumzia mambo ya Orlando Pirates, wakijiuliza ni lini kawa msemaji wao.
Huo ni umri wa kazi. Naona mzee Wawa kazaliwa 1990.
mwamkie kabisa wawa ni babako ujueHuo ni umri wa kazi. Naona mzee Wawa kazaliwa 1990.
Niangalizie Josh Onyango na Bocco nicheke.😄😄Huo ni umri wa kazi. Naona mzee Wawa kazaliwa 1990.
Umeniquote vibaya mkuu sio mimi....Unadhani ni wewe peke yako unayejua English? unajiona special sana kwenye uzi wangu nimesema kuna waliokubalina naye,wale wa kaizer chiefs na pirates na wako waliompinga mbona iko wazi hiyo
Hakuna aliposema yeye binafsi ni watu ndio wamesema....Soma zile tweets chini ya ile picha.
Sipati picha, tuongoje tu baada ya filimbi ya mwisho J'2 inshaallah.kwa haya makeke halafu ndio tutinge nusu. sijui tutapatanaje humu JF. Nchi nzima itasimama wiki nzima
hahaha hii ndo JF bana kila mtu mtu huku yeye ndo mjuaji, wapuuze tuUmeniquote vibaya mkuu sio mimi....
Nami pia nimekuwa muhanga wa kuambiwa sijui ngeli.
Ukiingia kwenye twitter handle ya Robert Marawa jamaa wanalalamika kwa nini kampa nafasi ya kupangua malalamiko yale....kaharibu kabisa yale madai wamebaki kumsifi auzuri sasa na english yakeukisikia mind game ndio hii. well done barbara
[emoji28][emoji22]Marawa sio kabisa yule anaweza kumla kimaskhara C.E.O.Nimepita twitter kule sasa comments nyingi zinasifia uzuri wa CEO siyo hata point ya msingi tena ya hiyo interview , jamani wanamuuliza Marawa hajachukua namba na huyo jamaa ni malaya kwelikweli sema hapo South africa huwa anagonga wale wakali wakali tu kama Pearl Thusi