CEO Barbra na wenzako hapo Simba SC ni kweli mna deal kubwa zaidi ya Azam TV?

CEO Barbra na wenzako hapo Simba SC ni kweli mna deal kubwa zaidi ya Azam TV?

Nafikiri Simba wanaona aibu.timu imenunuliwa kwa 20bil.bado ni ahadi tu.na mnunuzi amewahisema 20 bil unafungua benk na kufanya biashara. Akimaanisha ataitoa kimaandishi lakini si kuitoa
Sasa ni aibu anakuja mtu anataka kuweka mshiko zaidi ya 20bil.kwa miaka michache tu.wanaona si tumpe timu tu.
 
unadhani hii ndo deal ya kwanza hizi teams kulipwa na azam sema hii ni kubwa kuliko zote..mwaka 2017 manji alikataa milioni 100 kuonyeshwa yanga tv kwa mwaka pale azam, simba walichukua...safari hii simba anajaribu kulinda contents angalau hela za you tube (pengine) wakae nazo au clips ziendelee kuonekana huko maana kwa yanga wame surrender kila kitu kwa azam tv..na wakimalizan an ahawa wanataka kuiongeza mbeya city kama wakibaki ligi kuuu
Duuh, kwanini Mbeya City na sio Namungo, Biashara au KMC ?
Naona kwa sasa timu hizo nilizotaja zina hype kuliko hao wana "koma kumwanya"
 
Habari ni kwamba mlikataa kulipwa hela sawa na utopolo (hapo nawaunga mkono kabisaaa) lakini milioni 200 kwa mwezi ni nyingi sana inaweza kutumika hata kuongeza mishahara ya wachezaji na technical benchi au hata kuanza kuelekezwa kujenga majukwaa uwanjani kule Bunju.

sababu ya pili ni kwamba inasemekana mliwaambia kwamba mnataka kuazisha chanel yenu (mbali na simba tv inayoruka azam) na hiyo channel itaonekana Kusini na Mashariki mwa Afrika. Ya kweli hayo jameni? Maana nimeguna kidogo, platform yenu ya kurushia itakuwa ipi?dtsv? au mtalipia satellite kabisa?

Au mnaona aibu kwamba ita suprass deals nyingi zilizoko hapo klabuni na kuzi dwarf kabisa?

NB: Angalizo usiniite mshabiki wa utopolo tutaibuana

UPDATE nimeona hizi tweets mahala kumbe tangu last month watu wanajadili hizi habari,nimeona simba walipopishana na azam, ni kuktaaa contents zao za you tube kuchukuliwa na azam,kuwa na uhuru wa creativity kwa kuwa na studio yao.

View attachment 1846335View attachment 1846336View attachment 1846337
Huwezi fananisha Simba na Yanga, SImba ni brand kubwa kuliko Utopolo....kama ni dili basi Simba inabidi wapate zaidi ya hili dili la Utopolo.
 
Kuna mambo hayaingii akilini, yani simba sc wanagoma kusaini hili dili sababu ya contents za youtube!!!.
 
Nafikiri Simba wanaona aibu.timu imenunuliwa kwa 20bil.bado ni ahadi tu.na mnunuzi amewahisema 20 bil unafungua benk na kufanya biashara. Akimaanisha ataitoa kimaandishi lakini si kuitoa
Sasa ni aibu anakuja mtu anataka kuweka mshiko zaidi ya 20bil.kwa miaka michache tu.wanaona si tumpe timu tu.
Hujui kuwa sikuzote thamani ya team inatakiwa kuwa ndogo kuliko inachoingiza, Ili biashara ifanikiwe?? Jadilini haya mambo kisomi acheni kutanguliza upumbavu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom