CEO wa mtandao wa Telegram, Pavel Durov akamatwa katika uwanja wa ndege nchini Ufaransa

CEO wa mtandao wa Telegram, Pavel Durov akamatwa katika uwanja wa ndege nchini Ufaransa

huyu ceo ni tapeli tu. Ana degree ya philosophy ajui anything about programming.

iko hivi ni brother wake ndo kila kitu. yeye ndo katengeneza kila kitu. sema huyudogo ndo ana nyota ya biashara na looks nzuri.

brother wake aliye andika code yupo amechill kimya. he is never in the spot light. yeye ndo kaandika source code ya telegram. inshort huyu wa France ni useless playboy
Telegram hata Urusi penyewe walishindwa kuudukua na kucompromise ili serikali itumie kama surveillance tool Kwa raia wake , se kwa mataifa mengine , hata France huko , yaani hii dunia kwa sasa naona uelekeo ni kuwa na serikali za kidikteta zinazofanya mass surveillance Kwa raia na kudukua mawasiliano yao .
 
Telegram hata Urusi penyewe walishindwa kuudukua na kucompromise ili serikali itumie kama surveillance tool Kwa raia wake , se kwa mataifa mengine , hata France huko , yaani hii dunia kwa sasa naona uelekeo ni kuwa na serikali za kidikteta zinazofanya mass surveillance Kwa raia na kudukua mawasiliano yao .
that's known ila huyu ceo ni tapeli tu
. he is not the creator of the source code. hata coding ajui. he is the face of telegram, ana penda flashy life style na jela atakaa maana he is useless.
anaye jua source code. ni kaka yake sio huyo tapeli. his brother is happy married and low key. not a travel person kabisa.

I think aim ni kaka yake sio huyu mjinga mjinga. awezi wa saidia chochote.
 
Daah mdogo, only 30s.....wakati huku kwetu umri huu ni wapiga nyeto tu.
yeye ajui kitu. kaka yake ndo katengeneza kila kitu. dogo kazi yake kuuza tu bidhaa.

kaka yake ana gold Olympic medal ya mathematics. top 5 world programmers.

huyu ceo amesoma philosophy in short ni kilaza. sema ana good looks he can sell stuffs. ila ajui kitu

Na atafungwa his human trafficking and other cases ni kweli. sema ni mtu useless ata source code ya telegram aijui. ni waste of resources kuongea nae. issue ni kaka yake ambaye asafiri and no one knows yupo wapi. ni genius he can bring telegram down.
 
that's known ila huyu ceo ni tapeli tu
. he is not the creator of the source code. hata coding ajui. he is the face of telegram, ana penda flashy life style na jela atakaa maana he is useless.
anaye jua source code. ni kaka yake sio huyo tapeli. his brother is happy married and low key. not a travel person kabisa.

I think aim ni kaka yake sio huyu mjinga mjinga. awezi wa saidia chochote.
Usimwite mjinga bhana kakukosea nini?
 
yeye ajui kitu. kaka yake ndo katengeneza kila kitu. dogo kazi yake kuuza tu bidhaa.

kaka yake ana gold Olympic medal ya mathematics. top 5 world programmers.

huyu ceo amesoma philosophy in short ni kilaza. sema ana good looks he can sell stuffs. ila ajui kitu

Na atafungwa his human trafficking and other cases ni kweli. sema ni mtu useless ata source code ya telegram aijui. ni waste of resources kuongea nae. issue ni kaka yake ambaye asafiri and no one knows yupo wapi. ni genius he can bring telegram down.
Kuuza nayo ni kipaji au kukubalika na jamii ni kipaji sio kila mtu anacho.
 
Nimeongea na mtu leo for almost "2 hours na madakika" tena yuko mamtoni..., sikuona wala kuhisi shida yoyote... Nafkiri siku za mbeleni watakuwa tayari washapandikiza mambo yao kupata wanayoyahitaji.

Kama jamaa yuko chini ya ulinzi hawezi kukaza, jeuri hiyo sidhani kama atakuwa nayo.
Hawa watu wa hizi platform Huwa Wana misimamo sana si uliona yule wa wiki leaks assange, au yule mdukuzi alikimbilia Russia Snowden Huwa hawatoi passcode labda wamuue.
 
Jamaa ni Mrusi ila kuna kipindi Russia walimwomba awape taarifa muhimu kuhusu matukio ya kigaidi akamtusi Putin kwa middle finger

Acha akamatwe aliisaliti Russia akadhani nchi za Ulaya watamtetea

Anakula nyundo 20 ngome
Wakati anakamatwa tayari alikua kwenye mazungumzo na Putin kuhusu kurudi Russia. Na ndio unaona serikali ya Urusi imesema aachiwe mara Moja.
 
yeye ajui kitu. kaka yake ndo katengeneza kila kitu. dogo kazi yake kuuza tu bidhaa.

kaka yake ana gold Olympic medal ya mathematics. top 5 world programmers.

huyu ceo amesoma philosophy in short ni kilaza. sema ana good looks he can sell stuffs. ila ajui kitu

Na atafungwa his human trafficking and other cases ni kweli. sema ni mtu useless ata source code ya telegram aijui. ni waste of resources kuongea nae. issue ni kaka yake ambaye asafiri and no one knows yupo wapi. ni genius he can bring telegram down.
Anaitwa Nikolai Durov
 
Back
Top Bottom