Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aweza kwenda jela 20yrs.Hata mimi jana Telegram imenisumbua. Pavel amekamatwa kwa makosa ya Telegram kuchapisha maudhui yanakokinzana na haki za binadamu na makosa ya jinai. Telegram hamna regulation hata wauza madawa wapo, sexual traffickers wapo.
Sidhani kama ni makosa makubwa sana kwake, angekamatwa kwao Urusi ndio ana kesi kubwa ila cha ajabu serikali ya Urusi inaitumia sana Telegram maana raia hawaziamini sana source rasmi za serikali.
😆😆washindane kwenye nini sasa?
😂😂😂kuna muda kama anakuja hivi halafu ghafla anapotea.Namfuatilia huyo jamaa muda mrefu michango yake humu..., naona kama kalewa hivi 😂
nimelala nae hapa.. uwe mvumilivu nikimaliza haja zangu utampataDah, chimbo la wana la kuopolea cha fasta.
Ndo maana toka muda najaribu kuingia nimtafute fetty kishuzi wa group la mahaba mahabani nachemka.
Ni kweli bro... Mashoga wamekuja kutetea kundi lao linaitwa "Pamoko LGBTQ" liko telegramHii thread imeingiliwa tayari , huwezi kuelewa kama hauna D mbili..
Haina makombo hiyo bwashee.nimelala nae hapa.. uwe mvumilivu nikimaliza haja zangu utampata
Waswahili bana 😂😂😂 sasa WHO CARES?!huyu ceo ni tapeli tu. Ana degree ya philosophy ajui anything about programming.
iko hivi ni brother wake ndo kila kitu. yeye ndo katengeneza kila kitu. sema huyudogo ndo ana nyota ya biashara na looks nzuri.
brother wake aliye andika code yupo amechill kimya. he is never in the spot light. yeye ndo kaandika source code ya telegram. inshort huyu wa France ni useless playboy
Kesho kuna Meme coin yake moja inaingia sokoni inaitwa DOGS sasa sijui itatoa maokoto kiasi gani na hili sekeseke la kukamatwa kwake sijui lita athiri price?huyu ceo ni tapeli tu. Ana degree ya philosophy ajui anything about programming.
iko hivi ni brother wake ndo kila kitu. yeye ndo katengeneza kila kitu. sema huyudogo ndo ana nyota ya biashara na looks nzuri.
brother wake aliye andika code yupo amechill kimya. he is never in the spot light. yeye ndo kaandika source code ya telegram. inshort huyu wa France ni useless playboy
We si unanikazia pia 😅Endelea kuringa but links huzipati jf hahaa
Lete ushahidi wakuonesha kwamba Nikolai ndie aliyeandika code za telegram.huyu ceo ni tapeli tu. Ana degree ya philosophy ajui anything about programming.
iko hivi ni brother wake ndo kila kitu. yeye ndo katengeneza kila kitu. sema huyudogo ndo ana nyota ya biashara na looks nzuri.
brother wake aliye andika code yupo amechill kimya. he is never in the spot light. yeye ndo kaandika source code ya telegram. inshort huyu wa France ni useless playboy
Shida ni internet na sio TelegramHata mimi jana Telegram imenisumbua. Pavel amekamatwa kwa makosa ya Telegram kuchapisha maudhui yanakokinzana na haki za binadamu na makosa ya jinai. Telegram hamna regulation hata wauza madawa wapo, sexual traffickers wapo.
Sidhani kama ni makosa makubwa sana kwake, angekamatwa kwao Urusi ndio ana kesi kubwa ila cha ajabu serikali ya Urusi inaitumia sana Telegram maana raia hawaziamini sana source rasmi za serikali.
Yes, hauna mipasho ya BICHWA KOMWE -Wee semaa kweliii?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uongo hahaaWe si unanikazia pia 😅
Top for B anahitaji back up 😆Abeeeeeeh dear, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
unaipangusa, na wewe unaitafuna.. namna hiyoHaina makombo hiyo bwashee.