CEO wa Simba tulipaza sauti mapema kabla usajili kukoma

CEO wa Simba tulipaza sauti mapema kabla usajili kukoma

Wakati muda wa dirisha la usajili kukaribia kutamatika, tulieleza kwamba Simba sio football academy ambapo wachezaji kinda wanafundishwa.

Pia, tulibainisha mapungufu ya safu ya ulinzi na namna ya kuziba nafasi zilizoachwa na kee players mliowauza. Mbali zaidi, wengine tukalaumu hatua ya kumwacha Chikwende, mchezaji mzoefu, ambaye anachezea timu yake ya Taifa kwa mafanikio. Tunamkumbuka na Kahata sasa.

Leo unatuambia hujafuraishwa na soka lililoonyeshwa na wachezaji wako kwelii?

Nani wa kulaumiwa Kama sio wewe. Sijaona mchezaji wa kigeni mpya ambaye amekonga nyoyo za mashabiki na wapenzi wa Simba Hadi sasa.

Kwa hali ya kikosi hiki, tutakuwa tunashinda kwa kutegemea kudra za Maulana.

Jitafakari
unaposema mpaka Sasa hujamwona mchezaji wa kigeni aliyekonga nyonyo za mashabiki hadi Sasa kwani Inonga ni mtanzania?
 
Mtu anae penda kutumia matusi jua hawezi kujenga hoja hivyo anatumia matusi kwa maana hana facts wala hana maarifa katika jambo afanyalo
kwanini kila siku unaandika matusi na upuuzi tu ? Ina maana upeo wa akili yako imefikia kikomo kiasi hicho hadi kuingiza matusi kila mjadala?
 
hata siku moja haijawahi kujadili kitu bila matusi ,comments zake ni matusi tu ,inaonyesha uwezo mdogo wa kujenga hoja
Kuna mwingine tulikua tupo tunachangia nikamjibu kuwa acha matusi aisee akaninyooshea dole ila nilifuatilia naona yy matusi ndio lugha yake. Wapo watu wanaona kutumua matusi ndio ujanja
 
Jamaa najua ni mtu smart na ni mwerevu ila sijajua kwann mwaka huu amekua mwanasiasa kiasi iki kuna siku et anaongea kabisa hawakumuitaji aucho kwa mchezaji kama yule kuongea kaur ata kama propaganda ila ni zalau kwa wanasimba sisi tunawategemea wao tumewapa dhamana ya kuijenga timu iwe bora zaid mashabik wanafanya kaz yao vyema tu wanaenda viwanjan wananunua jez kila wanachofanya watu wanasupot kwa mapenz zaid kama viongoz jukum lao kusimamia yote ni pamoja na kuleta wachezaj wazur ikitokea kiongoz anaongea kaur za ovyo kwa mtu ambae kila mmoja anaona uwezo wako ni kutiana ujinga ni bora ukae kimya na kujua tumekosea baadae ujipange zaid ufanye usajil bora sasa iv simba wachezaji nyota anakua hd au benard ni vzur ila kama viongoz wanatakiwa wajitathamin aina uficho kujua kwamba kuna sehem wamekosea ktk usajil
Ila kwa sasa tunamuhitaji Aucho atake asitake!
 
Ila kwa sasa tunamuhitaji Aucho atake asitake!
Hakuna zaidi ya Aucho hapa Afrika au Tz?
Tuache utamaduni huu, tutafute Wakina Aucho wetu. Kama tunaviongozi wa mpira, wanashindwaje kupata wachezaji wazuri wa mpira?
 
Wakati muda wa dirisha la usajili kukaribia kutamatika, tulieleza kwamba Simba sio football academy ambapo wachezaji kinda wanafundishwa.

Pia, tulibainisha mapungufu ya safu ya ulinzi na namna ya kuziba nafasi zilizoachwa na kee players mliowauza. Mbali zaidi, wengine tukalaumu hatua ya kumwacha Chikwende, mchezaji mzoefu, ambaye anachezea timu yake ya Taifa kwa mafanikio. Tunamkumbuka na Kahata sasa.

Leo unatuambia hujafuraishwa na soka lililoonyeshwa na wachezaji wako kwelii?

Nani wa kulaumiwa Kama sio wewe. Sijaona mchezaji wa kigeni mpya ambaye amekonga nyoyo za mashabiki na wapenzi wa Simba Hadi sasa.

Kwa hali ya kikosi hiki, tutakuwa tunashinda kwa kutegemea kudra za Maulana.

Jitafakari
Mbona mechi ya kwanza pale taifa hukusema haya....
 
Hakuna zaidi ya Aucho hapa Afrika au Tz?
Tuache utamaduni huu, tutafute Wakina Aucho wetu. Kama tunaviongozi wa mpira, wanashindwaje kupata wachezaji wazuri wa mpira?
Hiyo kazi ya kutafuta wachezaji ni ya Yanga, wao wanatafuta sisi tunawachukua. Kazi yetu ni kuchukua wanaowatafuta.
 
Ndio kwanza simba inafanya vzr. Hivi utopolo mnawashwa na nini..? Kila mara Mo Mo kazi aliyoifanya Mo unadhani ni nyepesi hakuna mtu mweusi nchi hii au mtz yoyotr nchi hii ambae angedhubutu kuwekeza pesa bila faida kama dewj. Leo simba ina heshimika Africa ni juhudi za dewj sio propaganda. Unakuja unakosoa tu bila kujitafakari unaandika mambo yapo biased kinoma. Tupende kutoa vibanzi kwenye macho yetu kabla ya kuangalia boriti kwenye macho ya wengine. Anaeponda hivyo ukute hata hachangii hata 100 mle simba. Hakuna timu duniani inayokua kwenye form kila wakati wachezaji wamesajiliwa tuwape muda. Waliouzwa ni wawili chama na luis. Waliowaleta ndio wamewauza na wakaleta wengine jutafakarini kabla ya kutoa chambuzi zisizo na macho
MO kawapiga na kitu kizito...Halafu kawaachia kimbususu chake mhangaike nacho...watu wazima na pu..bu mbili anawaburuza huyo pussy
 
Kama CEO yeye anasema hivi basi kuna wapigaji waling'ang'aniza kuacha na kuuza wachezaji ili wapige mzigo.
Inawekana, lakini tatizo la beki Simba lilionekana mapema Sana na lilitakiwa kufanyiwa kazi Kwa umakini kuliko sehemu nyingine. Anachokisema mleta mada ni sahihi kuhusu Wachezaji kujifunzia Simba, si rahisi kupata Wachezaji wanaofanana lakini angalau viwango vya kina Kanoute na mwenzie vingeendana hata kidogo na Chama na Miquisone.
 
CEO anahusika vp na usajili, wakati Simba Ina kamati maalumu ya usajili (iliyokuwa inaongozwa na Hanspope na sasa Kasimu Dewji), na network ya scouting dunia nzima ( ndo maana Fraga aliletwa kutokea India). Sasa hapo Babra anahusika vp hapo?
 
Simba sasaiv Wana beki wazuri wa kati, Inonga, Onyango na Kennedy. Hivyo kufungwa kwetu magoli ya kona, tatizo kubwa ni mabeki wetu wa pembeni...Kapombe na Mohamed Hussein. Inatakiwa tupate mabeki watakao kuwa na uwezo wa kuzuia kona zisipigwe hukohuko pembeni.
 
W
MO kawapiga na kitu kizito...Halafu kawaachia kimbususu chake mhangaike nacho...watu wazima na pu..bu mbili anawaburuza huyo pussy
We ni kiazi kitamu kama sio mbatata. Mo yupo simba mzee ndio mwekezaji au hujui FCC ndio imemkataza kuwa mwekezaji na mwenyeketi kwa wakati mmoja..? Lowasa alisema ELIMU, ELIMU, ELIMUUUUUUU. Nenda kwanza ukakaushe umande
 
Back
Top Bottom