CEO wa Simba tulipaza sauti mapema kabla usajili kukoma

unaposema mpaka Sasa hujamwona mchezaji wa kigeni aliyekonga nyonyo za mashabiki hadi Sasa kwani Inonga ni mtanzania?
 
Mbususu ndio chanzo cha yote haya jamani bosi gabachori kafinyiwa ndani, kaweka mchepuko kwenye litimu lake la hovyo
kwanini kila siku unaandika matusi na upuuzi tu ? Ina maana upeo wa akili yako imefikia kikomo kiasi hicho hadi kuingiza matusi kila mjadala?
 
Mtu anae penda kutumia matusi jua hawezi kujenga hoja hivyo anatumia matusi kwa maana hana facts wala hana maarifa katika jambo afanyalo
kwanini kila siku unaandika matusi na upuuzi tu ? Ina maana upeo wa akili yako imefikia kikomo kiasi hicho hadi kuingiza matusi kila mjadala?
 
Mtu anae penda kutumia matusi jua hawezi kujenga hoja hivyo anatumia matusi kwa maana hana facts wala hana maarifa katika jambo afanyalo
hata siku moja haijawahi kujadili kitu bila matusi ,comments zake ni matusi tu ,inaonyesha uwezo mdogo wa kujenga hoja
 
hata siku moja haijawahi kujadili kitu bila matusi ,comments zake ni matusi tu ,inaonyesha uwezo mdogo wa kujenga hoja
Kuna mwingine tulikua tupo tunachangia nikamjibu kuwa acha matusi aisee akaninyooshea dole ila nilifuatilia naona yy matusi ndio lugha yake. Wapo watu wanaona kutumua matusi ndio ujanja
 
Ila kwa sasa tunamuhitaji Aucho atake asitake!
 
Ila kwa sasa tunamuhitaji Aucho atake asitake!
Hakuna zaidi ya Aucho hapa Afrika au Tz?
Tuache utamaduni huu, tutafute Wakina Aucho wetu. Kama tunaviongozi wa mpira, wanashindwaje kupata wachezaji wazuri wa mpira?
 
Mbona mechi ya kwanza pale taifa hukusema haya....
 
Hakuna zaidi ya Aucho hapa Afrika au Tz?
Tuache utamaduni huu, tutafute Wakina Aucho wetu. Kama tunaviongozi wa mpira, wanashindwaje kupata wachezaji wazuri wa mpira?
Hiyo kazi ya kutafuta wachezaji ni ya Yanga, wao wanatafuta sisi tunawachukua. Kazi yetu ni kuchukua wanaowatafuta.
 
MO kawapiga na kitu kizito...Halafu kawaachia kimbususu chake mhangaike nacho...watu wazima na pu..bu mbili anawaburuza huyo pussy
 
Kama CEO yeye anasema hivi basi kuna wapigaji waling'ang'aniza kuacha na kuuza wachezaji ili wapige mzigo.
Inawekana, lakini tatizo la beki Simba lilionekana mapema Sana na lilitakiwa kufanyiwa kazi Kwa umakini kuliko sehemu nyingine. Anachokisema mleta mada ni sahihi kuhusu Wachezaji kujifunzia Simba, si rahisi kupata Wachezaji wanaofanana lakini angalau viwango vya kina Kanoute na mwenzie vingeendana hata kidogo na Chama na Miquisone.
 
CEO anahusika vp na usajili, wakati Simba Ina kamati maalumu ya usajili (iliyokuwa inaongozwa na Hanspope na sasa Kasimu Dewji), na network ya scouting dunia nzima ( ndo maana Fraga aliletwa kutokea India). Sasa hapo Babra anahusika vp hapo?
 
Simba sasaiv Wana beki wazuri wa kati, Inonga, Onyango na Kennedy. Hivyo kufungwa kwetu magoli ya kona, tatizo kubwa ni mabeki wetu wa pembeni...Kapombe na Mohamed Hussein. Inatakiwa tupate mabeki watakao kuwa na uwezo wa kuzuia kona zisipigwe hukohuko pembeni.
 
W
MO kawapiga na kitu kizito...Halafu kawaachia kimbususu chake mhangaike nacho...watu wazima na pu..bu mbili anawaburuza huyo pussy
We ni kiazi kitamu kama sio mbatata. Mo yupo simba mzee ndio mwekezaji au hujui FCC ndio imemkataza kuwa mwekezaji na mwenyeketi kwa wakati mmoja..? Lowasa alisema ELIMU, ELIMU, ELIMUUUUUUU. Nenda kwanza ukakaushe umande
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…