CEO wa Simba tulipaza sauti mapema kabla usajili kukoma

CEO anahusika vp na usajili, wakati Simba Ina kamati maalumu ya usajili (iliyokuwa inaongozwa na Hanspope na sasa Kasimu Dewji), na network ya scouting dunia nzima ( ndo maana Fraga aliletwa kutokea India). Sasa hapo Babra anahusika vp hapo?
Ndiyo maana wakikuletea chikwende,akili mbofu mbofu

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Makolokolo FC aka Mikia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…