CGTN documentary ni channel bora kabisa kwa nchi za kiafrika na kwa waafrika

CGTN documentary ni channel bora kabisa kwa nchi za kiafrika na kwa waafrika

Mamia ya watoto wa kichina wanafundishwa vipindi kupitia Screen kubwa na wataalamu wakitoa mafunzo kutoka anga za juu .. Huku kule Tanzania watoto wenye umri sawa wakiwa wanakaa chini na kumsoma kinjekitile gware
Umekwiva hii channel inavitu konki daah ukitazama programmes zao kuna vitu tupo nyuma wanafunza mengi.

Nimekuwa mlevi wa programmes zao napenda kujifunza vitu bora kadiri niwezavyo.
 
Kwa hiyo kutoangalia TV ndiyo uanaume? Huo ni ujinga pia, jifunze mambo, usidharau mtu.
Changamoto sana.

Watu humu wanafikiri kila anaengalia programme mbalimbali kwenye TV basi anakesha kutizama upuuzi kumbe kuna mengi ya kujifunza hata habari mbalimbali pia kwenye TV zinapatikana.
 
Bandiko safi sana mtoa mada, startimes nilichekigi week flani 2-3years back advancement za china kuanzia reli za kasi , operation za bandari na utunzaji mazingira. Ilikua fresh sana hii ctgn nitaanza pia
Yes wana programmes nzuri sana za kujifunza.

kama ulivyosema kuhusu reli za kasi , operation za bandari, utunzaji mazingira pia kuna masuala ya anga za mbali, utamaduni, governance, namna wanavyo kabiliana na umasikini, magonjwa ya milipuko, tafiti za kisayansi, kilimo cha kisasa, ujenzi wa miundombinu kama madaraja katika maeneo yasiyo fikika, utalii inshort ni programmes nyingi sana za kufundisha wanazo
 
The Quest for space: China's Manned Space Missions
 
Hivi mwanaume kamili hua anatoa wapi muda wa kuangalia vipindi kwenye TV...??🤔
MKuu sio tu vipindi vya tv, pale korea kuna series inaitwa "Jang Yeoung-sil" inamuongelea mwanasayansi huyu wa kikorea wa miaka ya 1400 pale Korea (Joseon dynasty) katika uvumbuzi wa vitu mbalimbali kama clocks na vitu vya unajimu, nataja hii japo ni wakorea lakini mule ndani wameonyesha kwamba alienda china ambao walikua advanced akaongeza ujuzi na pia kuacha skills zake chache kwenye ile series site zote mwisho wa kila episode zinaelezewa kwa kigupi na majengo yametunzwa na kuboredhwa mpaka leo hii,

So kwenye Tv ni ww inategemea unaangalia nini kwa manufaa gani

Nimeweka hili kwa sababu ukicheki hiyo miaka ya 1400 alafu leo hii hapa kwetu pale Bakwata wanajadili na serikali kupata vifaa vya kufatilia muandamo wa mwezi 2023 huoni kama tupo nyuma kwa vitu vingi , ili kujua kama tupo nyuma lazima ujifunze kwa programs kama hizi
 
Wanajitahidi, lakini embu lipia kingamuzi achana na channel za bure...
Sio Channel ya bure hiyo king'amuzi kikikata na yenyewe inazima.

King'amuzi kinalipiwa kwa sababu ya hiyo channel na nyengine international news channels na National geography channels.
 
MKuu sio tu vipindi vya tv, pale korea kuna series inaitwa "Jang Yeoung-sil" inamuongelea mwanasayansi huyu wa kikorea wa miaka ya 1400 pale Korea (Joseon dynasty) katika uvumbuzi wa vitu mbalimbali kama clocks na vitu vya unajimu, nataja hii japo ni wakorea lakini mule ndani wameonyesha kwamba alienda china ambao walikua advanced akaongeza ujuzi na pia kuacha skills zake chache kwenye ile series site zote mwisho wa kila episode zinaelezewa kwa kigupi na majengo yametunzwa na kuboredhwa mpaka leo hii,

So kwenye Tv ni ww inategemea unaangalia nini kwa manufaa gani

Nimeweka hili kwa sababu ukicheki hiyo miaka ya 1400 alafu leo hii hapa kwetu pale Bakwata wanajadili na serikali kupata vifaa vya kufatilia muandamo wa mwezi 2023 huoni kama tupo nyuma kwa vitu vingi , ili kujua kama tupo nyuma lazima ujifunze kwa programs kama hizi
Asante kwa kutoa elimu hii.

Unachosema ni sahihi kabisa kwenye TV kuna programmes bora kabisa kulingana na wewe binafsi unataka nini na unatazama nini kwa malengo gani ? Bila hivyo utaona TV na vipindi vyake haina maana kumbe mengi ya kujifunza yapo.

Na kweli hawa wenzetu wapo mbali kabisa ukifuatilia programmes kama hizi kuonesha walipo toka na waliopo na wanapo enda na wanafanya nini kuna mengi sana ya kujifunza.

Mimi mwanzo nilikuwa nadhani umiliki wa teknolojia ulikuwa kwa wazungu pekee kumbe China teknolojia na biashara kaanza kufanye kale kabisa hivi vipindi vimenisaidia kujua mengi na tamaduni nyingi na mfumo wa maisha wa hawa jamaa
 
MKuu sio tu vipindi vya tv, pale korea kuna series inaitwa "Jang Yeoung-sil" inamuongelea mwanasayansi huyu wa kikorea wa miaka ya 1400 pale Korea (Joseon dynasty) katika uvumbuzi wa vitu mbalimbali kama clocks na vitu vya unajimu, nataja hii japo ni wakorea lakini mule ndani wameonyesha kwamba alienda china ambao walikua advanced akaongeza ujuzi na pia kuacha skills zake chache kwenye ile series site zote mwisho wa kila episode zinaelezewa kwa kigupi na majengo yametunzwa na kuboredhwa mpaka leo hii,

So kwenye Tv ni ww inategemea unaangalia nini kwa manufaa gani

Nimeweka hili kwa sababu ukicheki hiyo miaka ya 1400 alafu leo hii hapa kwetu pale Bakwata wanajadili na serikali kupata vifaa vya kufatilia muandamo wa mwezi 2023 huoni kama tupo nyuma kwa vitu vingi , ili kujua kama tupo nyuma lazima ujifunze kwa programs kama hizi
Asante kwa kunieleza somo mtambuka kihana, maana bila hivyo minajua huku kijijini kwetu mpigamiti hautujui hayo makorea 1400 mkuu...🤨
 
Back
Top Bottom