CGTN documentary ni channel bora kabisa kwa nchi za kiafrika na kwa waafrika

CGTN documentary ni channel bora kabisa kwa nchi za kiafrika na kwa waafrika

Kinachowatoa hawa jamaa ni kupenda kazi. Wanapiga kazi na mfumo wao unawasukuma kuwa hivyo sababu hawavumilii uzembe.
Nadhani hii spirit wameitoa kwa wajapan nao wako hivi. Yaani ukimkabidhi kazi anaifanya sawa sawa.
Tofauti na kwetu ni kwamba huwa tunaweka malengo lakini hatuna njia ya Kufuatilia kama Kila mmoja Katika nafasi yake anatenda ili kuyatimiza.
Mfano tuna vision 2025 ambayo ilikuwa inatutaka kufika 2025 tuwe tumefika uchumi wa kati.
Hii vision imeandikwa 2000 lakini mpk 2013 ikiwa tayari tumetumia nusu ya muda wake ndio tunagundua hatujafanya lolote la maana.
Ndio kuanza kuikata kwenye vipindi vya miaka mitano mitano lakini mpk leo hii haijatimia.
Mbaya zaidi tunaandaa nyingine ya mpk 2050 wakati hatujatadhmini kwa nini hii ya 2025 haikufanikiwa.
Tatizo hatuna watu wazuri kwenye mipango na mbinu za kuitekeleza.
Tunapaswa kuamua kufanya kwa lengo la kutoka hapa tulipo na sio kuandaa sera zibaki kwenye makaratasi yaani kama formality tu bila kuleta impact.
 
Wachina[emoji122][emoji122][emoji122][emoji119][emoji119],,,Huo Bridge in ChinaView attachment 2773973

Wuhan, China

20231006_224137.jpg
 
Kweli kabisa DStv waling'oa ktk kingamuzi chao nikawapigia simu wakadai watafanyia kazi miezi sasa kimya
 
Safi sana wakuu wa makala, Kwanza nitoe pongezi kwa kuona tunafatilia project nyingi, kwa namna hii jamii zetu zikiadapt kujifunza nchi mbalimbali vile vinapambana hii itasaidia kugungua akili na kuona namna serikali yetu inatuletea maigizo toka uhuru mpaka leo hii, hivyo itasaidia kushinikiza kuanza kuiwajinisha serikali


La mwisho kwa usiku huu muda umeenda sana ila nimeona imetajwa huawei hapo juu kubuni chip ndogo zaidi , nataka niseme Huawei anaproject flani pale kwenye bandari ya Tianjin ya smart port nimashine tu zinapiga kazi in real time huku wafanya kazi kadhaa wakiwa control tower wanasimamia operation ndogondogo na hii imekua powered na 5G network (naimani miaka inavozidi kwenda ataongeza hii system kwenye ports nyingi zaidi)

Kwaleo acha niweke nukta
 
Safi sana wakuu wa makala, Kwanza nitoe pongezi kwa kuona tunafatilia project nyingi, kwa namna hii jamii zetu zikiadapt kujifunza nchi mbalimbali vile vinapambana hii itasaidia kugungua akili na kuona namna serikali yetu inatuletea maigizo toka uhuru mpaka leo hii, hivyo itasaidia kushinikiza kuanza kuiwajinisha serikali


La mwisho kwa usiku huu muda umeenda sana ila nimeona imetajwa huawei hapo juu kubuni chip ndogo zaidi , nataka niseme Huawei anaproject flani pale kwenye bandari ya Tianjin ya smart port nimashine tu zinapiga kazi in real time huku wafanya kazi kadhaa wakiwa control tower wanasimamia operation ndogondogo na hii imekua powered na 5G network (naimani miaka inavozidi kwenda ataongeza hii system kwenye ports nyingi zaidi)

Kwaleo acha niweke nukta
Saafi sana.
 
Baada ya dstv kuondoa channel pendwa ya CGTN documentary naona mbadala wake ni NHK world channel iko DStv channel number 431. Iko na almost the same features na CGTN documentary ila tofauti ni kuwa hii ni ya Japan.
 
Back
Top Bottom