Chacha Maboto, Mbunge wa Bunda (CCM): Lugha ya kwenye Mkataba wa DP World sikuielewa, mnisamehe

Chacha Maboto, Mbunge wa Bunda (CCM): Lugha ya kwenye Mkataba wa DP World sikuielewa, mnisamehe

Kuna watu humu hamna hekima. Mnamshambulia wa nini wakati yeye kaelezea ukweli ulivyo??? Wanasheria wa bunge wapo na wao walielimishwa mkataba hauna shida. Na tunasema haina gogoro kabisa.
waelimishwe hawajui kusoma kwann wasipewe nakala wakasome wao wenyew , kuna logarithm au sequence humo mpk mtu ashindwe kusoma mwenyew , hustuki bado kuona uhuni wa serikali na bunge
 
ilibid mkataba uingizwe mtaan , madiwan waongee na wananchi hlf wapeleke maoni ndipo bunge lipitie kipengelee kwa kipengele , Rais kwenye hili kam haki ikifuatwa inabid ajiuzulu tu , kaharibu sana
Ndiyo anatakiwa kujiudhuru maana kapoteza imani kwa kiasi kikubwa sana kwa wananchi. Vinginevyo nchi inaweza kuingia kwenye machafuko kwa sababu ya mambo ya kijinga kijinga kama haya!
 
Wa bungeni pamoja na katibu wa bunge wanafanya kazi kwa maslahi ya mhimili wa serikali zaidi. Hao ni mkono wa serikali ndani ya bunge.
Siyo hivyo. Wapo kwa ajili ya bunge na wabunge.
 
We mbunge Bora ungepiga kimya unajiaibisha Sana,yaani unakaa kwenye chombo Cha maamuzi halafu kumbe ni maimuna! Looooooh! Na kesi tunazoshindwa huko nje na kulipa mapesa ya faini kumbe mfumo ndiyo huu huu.kwa hivyo kumbe akina mwabukusi wako sahihi!
Huko bungeni mliwatisha na kupitisha Kwa nguvu
 
Watu wa Mbeya mjini wanaweza wampe mtu adhabu ambayo hataisahau jinsi mambo yanavyoenda.
 
Kwa ninawajua wanachama wa chama hicho kesho ataomba radhi chama na kusema maneno aliyoyatoa yalitokana na kulewa soda ya tangawizi
 
Mbunge wa Bunda Mh.Robert Mabotto akiri mbele ya kanisa leo Mbele ya Padri baada ya padri kumaliza kusoma Waraka wa TEC kuwa hakuelewa chochote kuhusu mkataba huo kwani lugha iliyotumika ilikuwa Ni ngumu kwake kuielewa hivyo alipiga tu kura kutimiza wajibu wake...
Mbali na hilo amechukua nafasi hiyo kuomba radhi kwa Padri na waumini wote kanisani kwa kushindwa kuwawakilisha vyema kwa kutokujua kilichoandikwa

Kipande cha Video hapa chini angalia....
View attachment 2723007
Tulia ndo aliwqburaza mpaka
 
Back
Top Bottom