4by94
JF-Expert Member
- Oct 1, 2019
- 9,214
- 8,306
waelimishwe hawajui kusoma kwann wasipewe nakala wakasome wao wenyew , kuna logarithm au sequence humo mpk mtu ashindwe kusoma mwenyew , hustuki bado kuona uhuni wa serikali na bungeKuna watu humu hamna hekima. Mnamshambulia wa nini wakati yeye kaelezea ukweli ulivyo??? Wanasheria wa bunge wapo na wao walielimishwa mkataba hauna shida. Na tunasema haina gogoro kabisa.