Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Sasa mbona wanagonga sana meza ?Nani alikwambia kuwa wabunge wa ccm huwa wanaelewaga mikataba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mbona wanagonga sana meza ?Nani alikwambia kuwa wabunge wa ccm huwa wanaelewaga mikataba?
Basi yeye na DP World hawatakiwi kulaumiana, ni ndugu mojaHao hao maana ni musoma team
Wakiwaga mule ndani sionagi tofauti na kiwanda Cha Khanga.Hatuna imani na bunge
Kumbuka maneno ya mbunge aliyekuwa wa ccm ndugu Ole Medei kuwa wabunge wote wa ccm huwa wanaandikiwa nini cha kuongeaTusisahau, sifa ya kuwa mbunge hapa Tanzania ni kujua kusoma na kuandika na usiwe chini ya la saba..!!! Sasa la saba wetu wa shule ya msingi Nanguruwe unategemea ajuwe kiingereza kilichoandikwa kwenye mkataba wa DPW na Tanzania?
Mishahara na posho zishuke kwa 70%Ubunge imekuwa ni biashara badala ya uwakilishi wa kweli wa wananchi.
Rushwa na gharama kubwa kwenye uchaguzi inathibitisha hilo.
Ili kupata uwakilishi wa kweli wa wananchi, wabunge wawe watu wa kujitolea kwa gharama sawa na watumishi waandamizi wa serikali.
Pili, sifa iwe uwezo wa kujenga hoja, ushirikiano, uelewa wa jamii na eneo analowakilisha.
AahaaaaaMbunge wa Bunda Mh.Robert Mabotto akiri mbele ya kanisa leo Mbele ya Padri baada ya padri kumaliza kusoma Waraka wa TEC kuwa hakuelewa chochote kuhusu mkataba huo kwani lugha iliyotumika ilikuwa Ni ngumu kwake kuielewa hivyo alipiga tu kura kutimiza wajibu wake...
Mbali na hilo amechukua nafasi hiyo kuomba radhi kwa Padri na waumini wote kanisani kwa kushindwa kuwawakilisha vyema kwa kutokujua kilichoandikwa
Kipande cha Video hapa chini angalia....
View attachment 2723007
Kabisa au vikao vya chama pale lumumbaWakiwaga mule ndani sionagi tofauti na kiwanda Cha Khanga.
Ni kweli aseeKumbuka maneno ya mbunge aliyekuwa wa ccm ndugu Ole Medei kuwa wabunge wote wa ccm huwa wanaandikiwa nini cha kuongea
Kugonga sana meza hakuhitaji sana kisomoSasa mbona wanagonga sana meza ?
Wataelewaje wakati Spika aliwapitishia vimemo toka kwa M/K Taifa wa chama chao kabla ya mkataba wenyewe?.Wangekuwa wanaelewa tusingekuwa na mikataba ya hovyo kama iliyopo.
Mbunge wa Bunda
Hapo ndiyo ujue wabunge wengi wa ccm ni patupuTaratibu mmoja mmoja wanajitokeza kuwa hawakujua maeneo ya nchi yatakaliwa na kampuni za serikali ya UAE .
Hapo ni wapi?
Kwani kujua Kiingereza ni kigezo cha kugombea ubunge?!Bora kukaa kimya, anajiabisha zaidi, unagombeaje ubunge kama lugha rasmi hujui?
Katiba itatupa fursa ya kuwang'oa CCM madarakaniKatiba wanabadilisha tu hawa mbwa hata iwe nzuri kiasi gani, mbona sasa wanataka kubadilisha sheria za umiliki wa ardhi watashindwa kubadilisha wanachokitaka?
BundaHapo ni wapi?
Wabunge wa ccm n majangaKwani kujua Kiingereza ni kigezo cha kugombea ubunge?!
Ninachojua ili uwe mbunge sharti ujue kusoma na kuandika. Na bahati nzuri au mbaya haijainishwa ujue kusoma na kuandika lugha ipi!
Mbunge anatakiwa awe na staffs wake na wanasheria wake mwenyewe binafsi.Kuna watu humu hamna hekima. Mnamshambulia wa nini wakati yeye kaelezea ukweli ulivyo??? Wanasheria wa bunge wapo na wao walielimishwa mkataba hauna shida. Na tunasema haina gogoro kabisa.