Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kwanini wasikatae?Nilisikia mwanamama mmoja mbunge alipoongea muda ukaisha akaambiwa "...unga mkono hoja..." Akaunga akibabaika.
Kwahiyo, ukiacha kutopewa muda bado wanashinikizwa!
Sent using Jamii Forums mobile app