Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Yeah wanapelekewa tu na kuanguka ndiyoooooKwahyo unamaanishs wanayopigia kura mingi hawaielewi [emoji16][emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah wanapelekewa tu na kuanguka ndiyoooooKwahyo unamaanishs wanayopigia kura mingi hawaielewi [emoji16][emoji16]
Wabunge wote wa ccm walishiriki kupitisha huo mkatabaSafi sana mbunge. Kuomba radhi ni uungwana. Unganeni sasa mumtoe huyo Maushungi aliyeanzisha hili deal.
Ni kweli. Ni wajinga jana leo na hata milele. Nimetaka tu kuongeza kuni jikoni ile wazee wa kobazi wapate kichefuchefu kama wana ujauzito wa mwarabu.Wabunge wote wa ccm walishiriki kupitisha huo mkataba
Katiba wanabadilisha tu hawa mbwa hata iwe nzuri kiasi gani, mbona sasa wanataka kubadilisha sheria za umiliki wa ardhi watashindwa kubadilisha wanachokitaka?Unaweza kuwa hujui,KATIBA MBOVU ndio kiini cha yote haya yanayotendeka leo
"kushindwa kuwawakilisha vyema kwa kutokujua kilichoandikwa"Mbunge wa Bunda Mh.Robert Mabotto akiri mbele ya kanisa leo Mbele ya Padri baada ya padri kumaliza kusoma Waraka wa TEC kuwa hakuelewa chochote kuhusu mkataba huo kwani lugha iliyotumika ilikuwa Ni ngumu kwake kuielewa hivyo alipiga tu kura kutimiza wajibu wake...
Mbali na hilo amechukua nafasi hiyo kuomba radhi kwa Padri na waumini wote kanisani kwa kushindwa kuwawakilisha vyema kwa kutokujua kilichoandikwa
Kipande cha Video hapa chini angalia....
View attachment 2723007
Wafungwe kwa kulitia taifa matopeniLakini amekiri kutokujua kilichoandikwa na kama yeye kakiri bhasi huenda wapo wengi ambao hawakuelewa pia WASAMEHEWE
Muhishimiwa Gama kwani ukishakuwa Mwana kanisa unapoteza sifa ya kuwa Raia wa Tanzania? kwa kuweza kupiga kura maana Raia wakiompigia kura miomgoni mwao wapo kanisani au na hilo nahitaji kuanza kutoa notes uelewe?"kushindwa kuwawakilisha vyema kwa kutokujua kilichoandikwa"
Yaani anawawakilisha wana kanisa? Ndio anawaomba radhi? Kwani ndio waliomchagua? Hii mpya
Wangekuwa wanaelewa tusingekuwa na mikataba ya hovyo kama iliyopo.Kwahyo unamaanishs wanayopigia kura mingi hawaielewi 😁😁
Doh hii ngoma imebuma *****Mbunge wa Bunda Mh.Robert Mabotto akiri mbele ya kanisa leo Mbele ya Padri baada ya padri kumaliza kusoma Waraka wa TEC kuwa hakuelewa chochote kuhusu mkataba huo kwani lugha iliyotumika ilikuwa Ni ngumu kwake kuielewa hivyo alipiga tu kura kutimiza wajibu wake...
Mbali na hilo amechukua nafasi hiyo kuomba radhi kwa Padri na waumini wote kanisani kwa kushindwa kuwawakilisha vyema kwa kutokujua kilichoandikwa
Kipande cha Video hapa chini angalia....
View attachment 2723007
Mimi simlaumu maana kigezo ni KKKNdo maana mimi naona kuna haja ya kuangalia vipengele vya namna jinsi gani wabunge wanapatikana. Maana elimu ni muhimu na maarifa ni muhimu zaidi
Nilisikia mwanamama mmoja mbunge alipoongea muda ukaisha akaambiwa "...unga mkono hoja..." Akaunga akibabaika.Ndiyo maana mambo kama haya wabunge wanatakiwa wapewe siku nyingi kabla waende wakasome vizuri, wakaombe ushauri na ufafanuzi kwa watu wenye ujuzi wa mambo husika.
Kama jambo la kisheria wakaombe kwa wanasheria, kitabibu waende kwa daktari, kiuchumi waende kwa wachumi, n.k.
Wakishapata kuelewa vizuri ndipo wakapigie kura bungeni.
Arejeshe na posho aliyochukuaMbunge wa Bunda Mh.Robert Mabotto akiri mbele ya kanisa leo Mbele ya Padri baada ya padri kumaliza kusoma Waraka wa TEC kuwa hakuelewa chochote kuhusu mkataba huo kwani lugha iliyotumika ilikuwa Ni ngumu kwake kuielewa hivyo alipiga tu kura kutimiza wajibu wake...
Mbali na hilo amechukua nafasi hiyo kuomba radhi kwa Padri na waumini wote kanisani kwa kushindwa kuwawakilisha vyema kwa kutokujua kilichoandikwa
Kipande cha Video hapa chini angalia....
View attachment 2723007
Ndiyo hawa hawa waliopitisha kipindi kile cha JK, sheria ya gesi kwa hati ya dharura! Na mpaka leo hii gesi yetu ni mali ya mabeberu.Wabunge wa ccm hawajawahi kuwa na ueledi wa mambo yanayohitaji kutumia akili