Chacha Maboto, Mbunge wa Bunda (CCM): Lugha ya kwenye Mkataba wa DP World sikuielewa, mnisamehe

Chacha Maboto, Mbunge wa Bunda (CCM): Lugha ya kwenye Mkataba wa DP World sikuielewa, mnisamehe

Unaweza kuwa hujui,KATIBA MBOVU ndio kiini cha yote haya yanayotendeka leo
Katiba wanabadilisha tu hawa mbwa hata iwe nzuri kiasi gani, mbona sasa wanataka kubadilisha sheria za umiliki wa ardhi watashindwa kubadilisha wanachokitaka?
 
Mbunge wa Bunda Mh.Robert Mabotto akiri mbele ya kanisa leo Mbele ya Padri baada ya padri kumaliza kusoma Waraka wa TEC kuwa hakuelewa chochote kuhusu mkataba huo kwani lugha iliyotumika ilikuwa Ni ngumu kwake kuielewa hivyo alipiga tu kura kutimiza wajibu wake...
Mbali na hilo amechukua nafasi hiyo kuomba radhi kwa Padri na waumini wote kanisani kwa kushindwa kuwawakilisha vyema kwa kutokujua kilichoandikwa

Kipande cha Video hapa chini angalia....
View attachment 2723007
"kushindwa kuwawakilisha vyema kwa kutokujua kilichoandikwa"
Yaani anawawakilisha wana kanisa? Ndio anawaomba radhi? Kwani ndio waliomchagua? Hii mpya
 
"kushindwa kuwawakilisha vyema kwa kutokujua kilichoandikwa"
Yaani anawawakilisha wana kanisa? Ndio anawaomba radhi? Kwani ndio waliomchagua? Hii mpya
Muhishimiwa Gama kwani ukishakuwa Mwana kanisa unapoteza sifa ya kuwa Raia wa Tanzania? kwa kuweza kupiga kura maana Raia wakiompigia kura miomgoni mwao wapo kanisani au na hilo nahitaji kuanza kutoa notes uelewe?
 
Ndiyo maana mambo kama haya wabunge wanatakiwa wapewe siku nyingi kabla waende wakasome vizuri, wakaombe ushauri na ufafanuzi kwa watu wenye ujuzi wa mambo husika.
Kama jambo la kisheria wakaombe kwa wanasheria, kitabibu waende kwa daktari, kiuchumi waende kwa wachumi, n.k.
Wakishapata kuelewa vizuri ndipo wakapigie kura bungeni.
 
Mbunge wa Bunda Mh.Robert Mabotto akiri mbele ya kanisa leo Mbele ya Padri baada ya padri kumaliza kusoma Waraka wa TEC kuwa hakuelewa chochote kuhusu mkataba huo kwani lugha iliyotumika ilikuwa Ni ngumu kwake kuielewa hivyo alipiga tu kura kutimiza wajibu wake...
Mbali na hilo amechukua nafasi hiyo kuomba radhi kwa Padri na waumini wote kanisani kwa kushindwa kuwawakilisha vyema kwa kutokujua kilichoandikwa

Kipande cha Video hapa chini angalia....
View attachment 2723007
Doh hii ngoma imebuma *****

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa samahani yake itabadirisha nini🤔🤔 si unafki huo 😡😡 kama hakuelewa kwa nini aliupigia kura ya ndio au ndicho kilichompeleka pale🤔🤔 huyo ni mnafki tuu
 
Ndiyo maana mambo kama haya wabunge wanatakiwa wapewe siku nyingi kabla waende wakasome vizuri, wakaombe ushauri na ufafanuzi kwa watu wenye ujuzi wa mambo husika.
Kama jambo la kisheria wakaombe kwa wanasheria, kitabibu waende kwa daktari, kiuchumi waende kwa wachumi, n.k.
Wakishapata kuelewa vizuri ndipo wakapigie kura bungeni.
Nilisikia mwanamama mmoja mbunge alipoongea muda ukaisha akaambiwa "...unga mkono hoja..." Akaunga akibabaika.

Kwahiyo, ukiacha kutopewa muda bado wanashinikizwa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbunge wa Bunda Mh.Robert Mabotto akiri mbele ya kanisa leo Mbele ya Padri baada ya padri kumaliza kusoma Waraka wa TEC kuwa hakuelewa chochote kuhusu mkataba huo kwani lugha iliyotumika ilikuwa Ni ngumu kwake kuielewa hivyo alipiga tu kura kutimiza wajibu wake...
Mbali na hilo amechukua nafasi hiyo kuomba radhi kwa Padri na waumini wote kanisani kwa kushindwa kuwawakilisha vyema kwa kutokujua kilichoandikwa

Kipande cha Video hapa chini angalia....
View attachment 2723007
Arejeshe na posho aliyochukua
 
Back
Top Bottom