waelimishwe hawajui kusoma kwann wasipewe nakala wakasome wao wenyew , kuna logarithm au sequence humo mpk mtu ashindwe kusoma mwenyew , hustuki bado kuona uhuni wa serikali na bungeKuna watu humu hamna hekima. Mnamshambulia wa nini wakati yeye kaelezea ukweli ulivyo??? Wanasheria wa bunge wapo na wao walielimishwa mkataba hauna shida. Na tunasema haina gogoro kabisa.
Ndiyo anatakiwa kujiudhuru maana kapoteza imani kwa kiasi kikubwa sana kwa wananchi. Vinginevyo nchi inaweza kuingia kwenye machafuko kwa sababu ya mambo ya kijinga kijinga kama haya!ilibid mkataba uingizwe mtaan , madiwan waongee na wananchi hlf wapeleke maoni ndipo bunge lipitie kipengelee kwa kipengele , Rais kwenye hili kam haki ikifuatwa inabid ajiuzulu tu , kaharibu sana
Siyo hivyo. Wapo kwa ajili ya bunge na wabunge.Wa bungeni pamoja na katibu wa bunge wanafanya kazi kwa maslahi ya mhimili wa serikali zaidi. Hao ni mkono wa serikali ndani ya bunge.
Walishatia kibindoni mabilionHuko sahv wabunge wote wanashindana kununua land-cruser vxr tu
Ova
Duuuh[emoji1787]
Huko bungeni mliwatisha na kupitisha Kwa nguvuWe mbunge Bora ungepiga kimya unajiaibisha Sana,yaani unakaa kwenye chombo Cha maamuzi halafu kumbe ni maimuna! Looooooh! Na kesi tunazoshindwa huko nje na kulipa mapesa ya faini kumbe mfumo ndiyo huu huu.kwa hivyo kumbe akina mwabukusi wako sahihi!
Ndio amechagua, kuwa nasiBora akae upande wa wananchi na moyo wake utulie kuliko kukaa kwenye chama huku nafsi ikikusuta.
Mavi ya mbuzi mbwa wewe, tena natafuta vile vilivyokauka na kuwa kama golori ili utelezeNahitaji sana mavi yako
Naona wewe umeng'ang'ania neno hili hili tu!Kwa Wassira?!
Kanisa Moja Takatifu La Mitume [emoji3]
We ndio umeng'ang'ania Kusoma hili hili tu🤣🤣Naona wewe umeng'ang'ania neno hili hili tu!
😂😂😂🤣🤣 duh, kwa elimu hii john tutabaki hapa hapa miaka yoteWe ndio umeng'ang'ania Kusoma hili hili tu🤣🤣
Usilirudie tena!We ndio umeng'ang'ania Kusoma hili hili tu[emoji1787][emoji1787]
Tulia ndo aliwqburaza mpakaMbunge wa Bunda Mh.Robert Mabotto akiri mbele ya kanisa leo Mbele ya Padri baada ya padri kumaliza kusoma Waraka wa TEC kuwa hakuelewa chochote kuhusu mkataba huo kwani lugha iliyotumika ilikuwa Ni ngumu kwake kuielewa hivyo alipiga tu kura kutimiza wajibu wake...
Mbali na hilo amechukua nafasi hiyo kuomba radhi kwa Padri na waumini wote kanisani kwa kushindwa kuwawakilisha vyema kwa kutokujua kilichoandikwa
Kipande cha Video hapa chini angalia....
View attachment 2723007