CHADEMA, acheni kulalamika kila muda, chukueni hatua

CHADEMA, acheni kulalamika kila muda, chukueni hatua

Mushkov

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2024
Posts
357
Reaction score
686
Viongozi na wafuasi wa CHADEMA wamekuwa wahanga wakubwa sana kwa manyanyaso na kila aina ya dhuluma.

Mara tu wanapofanyiwa hayo wamekuwa wakijitokeza kwenye Vyombo vya habari na kulalamikia vitendo hivyo.

Mimi nafikiri kwa sasa tutoke kwenye kulalamika na twende kwenye kuchukua hatua kali.

Ndugu zangu, kulalamika hakuwezi kusaidia chochote kile zaidi ya kujiburudisha tu.

Imefika wakati hata watesi wenu wameshawasoma kwamba, ninyi hata mfanyiwe hujuma namna gani, hamtachukua hatua yoyote ile zaidi ya kwenda kwenye Vyombo vya habari, kwa hiyo, wataendelea kuwafanyia kila aina ya hujuma kwa sababu hamna meno.

Mimi nadhani kwa sasa tuchague moja kati ya Mambo mawili. Ama tuchukue hatua kali zenye maumivu makali dhidi ya uonevu au tuachane na siasa.

Kwenda kwenye Vyombo vya habari au kwenda mahakamani hakuwezi kuleta mafanikio dhidi ya uonevu bali ni kuchukua hatua kali zenye maumivu makali.

CHADEMA mnachokifanya sasa ni kama vile unamkuta jamaa anakuibia mke wako, badala ya kumshikisha adabu, wewe unamwacha jamaa anaendelea na shughuli halafu wewe unakimbilia kwenye Vyombo vya habari kulalamika. Hizo ni akili au matope?


Pia soma:Kuelekea 2025 - CHADEMA, mtalia mpaka lini?
 
Viongozi na wafuasi wa CHADEMA wamekuwa wahanga wakubwa sana kwa manyanyaso na kila aina ya dhuluma.

Mara tu wanapofanyiwa hayo wamekuwa wakijitokeza kwenye Vyombo vya habari na kulalamikia vitendo hivyo.

Mimi nafikiri kwa sasa tutoke kwenye kulalamika na twende kwenye kuchukua hatua kali.
Ndugu zangu, kulalamika hakuwezi kusaidia chochote kile zaidi ya kujiburudisha tu.

Imefika wakati hata watesi wenu wameshawasoma kwamba, ninyi hata mfanyiwe hujuma namna gani, hamtachukua hatua yoyote ile zaidi ya kwenda kwenye Vyombo vya habari, kwa hiyo, wataendelea kuwafanyia kila aina ya hujuma kwa sababu hamna meno.

Mimi nadhani kwa sasa tuchague moja kati ya Mambo mawili. Ama tuchukue hatua kali zenye maumivu makali dhidi ya uonevu au tuachane na siasa.

Kwenda kwenye Vyombo vya habari au kwenda mahakamani hakuwezi kuleta mafanikio dhidi ya uonevu bali ni kuchukua hatua kali zenye maumivu makali.

CHADEMA mnachokifanya sasa ni kama vile unamkuta jamaa anakuibia mke wako, badala ya kumshikisha adabu, wewe unamwacha jamaa anaendelea na shughuli halafu wewe unakimbilia kwenye Vyombo vya habari kulalamika. Hizo ni akili au matope?
Hatua ni pamoja na kuwasaka chawa nq kunguni.
 
Viongozi na wafuasi wa CHADEMA wamekuwa wahanga wakubwa sana kwa manyanyaso na kila aina ya dhuluma.

Mara tu wanapofanyiwa hayo wamekuwa wakijitokeza kwenye Vyombo vya habari na kulalamikia vitendo hivyo.

Mimi nafikiri kwa sasa tutoke kwenye kulalamika na twende kwenye kuchukua hatua kali.
Ndugu zangu, kulalamika hakuwezi kusaidia chochote kile zaidi ya kujiburudisha tu.

Imefika wakati hata watesi wenu wameshawasoma kwamba, ninyi hata mfanyiwe hujuma namna gani, hamtachukua hatua yoyote ile zaidi ya kwenda kwenye Vyombo vya habari, kwa hiyo, wataendelea kuwafanyia kila aina ya hujuma kwa sababu hamna meno.

Mimi nadhani kwa sasa tuchague moja kati ya Mambo mawili. Ama tuchukue hatua kali zenye maumivu makali dhidi ya uonevu au tuachane na siasa.

Kwenda kwenye Vyombo vya habari au kwenda mahakamani hakuwezi kuleta mafanikio dhidi ya uonevu bali ni kuchukua hatua kali zenye maumivu makali.

CHADEMA mnachokifanya sasa ni kama vile unamkuta jamaa anakuibia mke wako, badala ya kumshikisha adabu, wewe unamwacha jamaa anaendelea na shughuli halafu wewe unakimbilia kwenye Vyombo vya habari kulalamika. Hizo ni akili au matope?
Wakinukishe.
 
Nilipiga sana kelele kwa chadema, nikiwaamsha ya kuwa achaneni na ujinga wa maandamano ya kipuuzi yasiyo na faida, oneni wenzenu wanavyo mwaga sera zao, chadema ikawa bize kwa kukasikiliza kadada poa cha USA, Ona sasa "CHADEMA INAKWENDA KUANGUKA VIBAYA SANA" Haijapata kutokea.
 
Mimi nafikiri kwa sasa tutoke kwenye kulalamika na twende kwenye kuchukua hatua kali.
Hatua zipi mkuu?
Dola ni yao, mahakama ni yao, wananchi ni mbumbumbu.

Mahakama na jeshi la wapinzani huwa ni "wananchi walioamka" kama gen Z wa Kenya. Sasa watanganyika wamelala fofofo, chadema watanyaje?
 
Viongozi na wafuasi wa CHADEMA wamekuwa wahanga wakubwa sana kwa manyanyaso na kila aina ya dhuluma.

Mara tu wanapofanyiwa hayo wamekuwa wakijitokeza kwenye Vyombo vya habari na kulalamikia vitendo hivyo.

Mimi nafikiri kwa sasa tutoke kwenye kulalamika na twende kwenye kuchukua hatua kali.

Ndugu zangu, kulalamika hakuwezi kusaidia chochote kile zaidi ya kujiburudisha tu.

Imefika wakati hata watesi wenu wameshawasoma kwamba, ninyi hata mfanyiwe hujuma namna gani, hamtachukua hatua yoyote ile zaidi ya kwenda kwenye Vyombo vya habari, kwa hiyo, wataendelea kuwafanyia kila aina ya hujuma kwa sababu hamna meno.

Mimi nadhani kwa sasa tuchague moja kati ya Mambo mawili. Ama tuchukue hatua kali zenye maumivu makali dhidi ya uonevu au tuachane na siasa.

Kwenda kwenye Vyombo vya habari au kwenda mahakamani hakuwezi kuleta mafanikio dhidi ya uonevu bali ni kuchukua hatua kali zenye maumivu makali.

CHADEMA mnachokifanya sasa ni kama vile unamkuta jamaa anakuibia mke wako, badala ya kumshikisha adabu, wewe unamwacha jamaa anaendelea na shughuli halafu wewe unakimbilia kwenye Vyombo vya habari kulalamika. Hizo ni akili au matope?
Ulishiriki maandamano ya Chadema ya juzi au na wewe ulikuwa kwenye mfungo kama Katibu Mkuu Mnyika? Ahahahahaha!!!
 
Viongozi na wafuasi wa CHADEMA wamekuwa wahanga wakubwa sana kwa manyanyaso na kila aina ya dhuluma.

Mara tu wanapofanyiwa hayo wamekuwa wakijitokeza kwenye Vyombo vya habari na kulalamikia vitendo hivyo.

Mimi nafikiri kwa sasa tutoke kwenye kulalamika na twende kwenye kuchukua hatua kali.

Ndugu zangu, kulalamika hakuwezi kusaidia chochote kile zaidi ya kujiburudisha tu.

Imefika wakati hata watesi wenu wameshawasoma kwamba, ninyi hata mfanyiwe hujuma namna gani, hamtachukua hatua yoyote ile zaidi ya kwenda kwenye Vyombo vya habari, kwa hiyo, wataendelea kuwafanyia kila aina ya hujuma kwa sababu hamna meno.

Mimi nadhani kwa sasa tuchague moja kati ya Mambo mawili. Ama tuchukue hatua kali zenye maumivu makali dhidi ya uonevu au tuachane na siasa.

Kwenda kwenye Vyombo vya habari au kwenda mahakamani hakuwezi kuleta mafanikio dhidi ya uonevu bali ni kuchukua hatua kali zenye maumivu makali.

CHADEMA mnachokifanya sasa ni kama vile unamkuta jamaa anakuibia mke wako, badala ya kumshikisha adabu, wewe unamwacha jamaa anaendelea na shughuli halafu wewe unakimbilia kwenye Vyombo vya habari kulalamika. Hizo ni akili au matope?
Mimi nilikwisha washauri twende na kanuni ya JINO KWA JINO, JICHO KWA JICHO NA CHUBUKO KWA CHUBUKO. Kama akiumizwa mwana Chadema mmoja waumizwe wana CCM kumi, akiuwawa Chadema mmoja ua wana CCM wawili, huu upuuzi ungekoma.
 
Viongozi na wafuasi wa CHADEMA wamekuwa wahanga wakubwa sana kwa manyanyaso na kila aina ya dhuluma.

Mara tu wanapofanyiwa hayo wamekuwa wakijitokeza kwenye Vyombo vya habari na kulalamikia vitendo hivyo.

Mimi nafikiri kwa sasa tutoke kwenye kulalamika na twende kwenye kuchukua hatua kali.

Ndugu zangu, kulalamika hakuwezi kusaidia chochote kile zaidi ya kujiburudisha tu.

Imefika wakati hata watesi wenu wameshawasoma kwamba, ninyi hata mfanyiwe hujuma namna gani, hamtachukua hatua yoyote ile zaidi ya kwenda kwenye Vyombo vya habari, kwa hiyo, wataendelea kuwafanyia kila aina ya hujuma kwa sababu hamna meno.

Mimi nadhani kwa sasa tuchague moja kati ya Mambo mawili. Ama tuchukue hatua kali zenye maumivu makali dhidi ya uonevu au tuachane na siasa.

Kwenda kwenye Vyombo vya habari au kwenda mahakamani hakuwezi kuleta mafanikio dhidi ya uonevu bali ni kuchukua hatua kali zenye maumivu makali.

CHADEMA mnachokifanya sasa ni kama vile unamkuta jamaa anakuibia mke wako, badala ya kumshikisha adabu, wewe unamwacha jamaa anaendelea na shughuli halafu wewe unakimbilia kwenye Vyombo vya habari kulalamika. Hizo ni akili au matope?

Tuko busy bega kwa bega na taifa teule kwanza
 
Viongozi na wafuasi wa CHADEMA wamekuwa wahanga wakubwa sana kwa manyanyaso na kila aina ya dhuluma.

Mara tu wanapofanyiwa hayo wamekuwa wakijitokeza kwenye Vyombo vya habari na kulalamikia vitendo hivyo.

Mimi nafikiri kwa sasa tutoke kwenye kulalamika na twende kwenye kuchukua hatua kali.

Ndugu zangu, kulalamika hakuwezi kusaidia chochote kile zaidi ya kujiburudisha tu.

Imefika wakati hata watesi wenu wameshawasoma kwamba, ninyi hata mfanyiwe hujuma namna gani, hamtachukua hatua yoyote ile zaidi ya kwenda kwenye Vyombo vya habari, kwa hiyo, wataendelea kuwafanyia kila aina ya hujuma kwa sababu hamna meno.

Mimi nadhani kwa sasa tuchague moja kati ya Mambo mawili. Ama tuchukue hatua kali zenye maumivu makali dhidi ya uonevu au tuachane na siasa.

Kwenda kwenye Vyombo vya habari au kwenda mahakamani hakuwezi kuleta mafanikio dhidi ya uonevu bali ni kuchukua hatua kali zenye maumivu makali.

CHADEMA mnachokifanya sasa ni kama vile unamkuta jamaa anakuibia mke wako, badala ya kumshikisha adabu, wewe unamwacha jamaa anaendelea na shughuli halafu wewe unakimbilia kwenye Vyombo vya habari kulalamika. Hizo ni akili au matope?
Kweli kabisa, naunga mkono:
SOMETIMES YOU NEED TO FIGHT TO BE A MAN
 
We kwl ni popoma, hyo hatua mkachukue majumbani mwenu siyo kwa gharama ya wananchi. Mtu ukichoka kuishi usitake kufa na wenzako, kajimalize mwenyewe. Tayari m/kiti anajulikana ni gaidi ila hp Tz hamtakaa mfanikiwe
Nyerere alipokwenda kwa John Rupia kuomba nauli Kwenda UNO kudai Uhuru watu kama wewe mlikuwepo.
Mandela alipokuwa --bin Island kafungwa na kudai haki watu kama wewe mlikuwepo
Dunia nzima watu kama wewe mpo; waache wanaume wafanye kazi wewe ni mfu
 
Viongozi wa juuu wa chadema wanasiri mzito sana
 
Nilipiga sana kelele kwa chadema, nikiwaamsha ya kuwa achaneni na ujinga wa maandamano ya kipuuzi yasiyo na faida, oneni wenzenu wanavyo mwaga sera zao, chadema ikawa bize kwa kukasikiliza kadada poa cha USA, Ona sasa "CHADEMA INAKWENDA KUANGUKA VIBAYA SANA" Haijapata kutokea.
Watu kama nyie wapuuzi, hata akili zenu zimeganda. CCM wanamwaga sera, wanaruhusu Chadema wamwage sera? Si hata wakitaka kumwaga sera wanashikwa? Hata tesources, distribution mbovu, ujuavyo logistics, chadema hata wawe na billioni haitoshi kuzunguka mikoa yote ya kaskazini hayo ma V8 500 au 1000 ambayo yanaagizwa na serikali ni kwa logistics ya CCM + kuwa na watu kama nyie punguani zeros; pia inakuwa ni contributing factor. You simply don't think. All what you know is rave rage and rant!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Ushauri mzuri
Kwa kuanzia pigeni njia ya MIGoMO BARIDI
Mf
I.Walk to work..yule jamaa wa Uganda aliitumia sana hii
II. Kuvaa nguo nyeusi
III.Kuendelea kuvitumia vyombo vya habari vikubwa, Aljazira CNN, BBC + kuinvest kwenye media zenu..muwe very strategic + focused
 
Back
Top Bottom