CHADEMA, acheni kulalamika kila muda, chukueni hatua

CHADEMA, acheni kulalamika kila muda, chukueni hatua

Kama CHADEMA wananyanyaswa mtu pekee wa kuwapa haki Yao ni mwananchi na sio polisi Wala mahakama

Lakini CHADEMA wamefeli kuwasilisha malalamiko Yao Kwa wananchi na Sasa wananchi wamekaa pembemi wanawaangalia
 
Viongozi na wafuasi wa CHADEMA wamekuwa wahanga wakubwa sana kwa manyanyaso na kila aina ya dhuluma.

Mara tu wanapofanyiwa hayo wamekuwa wakijitokeza kwenye Vyombo vya habari na kulalamikia vitendo hivyo.

Mimi nafikiri kwa sasa tutoke kwenye kulalamika na twende kwenye kuchukua hatua kali.

Ndugu zangu, kulalamika hakuwezi kusaidia chochote kile zaidi ya kujiburudisha tu.

Imefika wakati hata watesi wenu wameshawasoma kwamba, ninyi hata mfanyiwe hujuma namna gani, hamtachukua hatua yoyote ile zaidi ya kwenda kwenye Vyombo vya habari, kwa hiyo, wataendelea kuwafanyia kila aina ya hujuma kwa sababu hamna meno.

Mimi nadhani kwa sasa tuchague moja kati ya Mambo mawili. Ama tuchukue hatua kali zenye maumivu makali dhidi ya uonevu au tuachane na siasa.

Kwenda kwenye Vyombo vya habari au kwenda mahakamani hakuwezi kuleta mafanikio dhidi ya uonevu bali ni kuchukua hatua kali zenye maumivu makali.

CHADEMA mnachokifanya sasa ni kama vile unamkuta jamaa anakuibia mke wako, badala ya kumshikisha adabu, wewe unamwacha jamaa anaendelea na shughuli halafu wewe unakimbilia kwenye Vyombo vya habari kulalamika. Hizo ni akili au matope?
wao kila likitokea tatizo au tukio wanatangaza maandamano ambayo hayafanikiwi na wanatangaza kufungua ksi ambazo sijawahi kuona zimefunguliwa yaani wanai kutokana na matukio likipita hili wanatoa tamko hewa wanasubiri tuko lingine hivyohivyo mradi siku zinaenda
 
FREEDOM, REAL FREEDOM - WEWE HUONI WATU WANATEKWA? au password imeibiwa?

Unajua kwa nini vyama vya kikabila, kikanda au kidini havitakiwi?

Imani zilizomo kwenye ukabila, ukanda au udini unazijua?

Imani thabiti za kimsimgi za namna hiyo za kuwaunganisha watu wa makabila, Kanda na dini tofauti ziko wapi?
 
Kama CHADEMA wananyanyaswa mtu pekee wa kuwapa haki Yao ni mwananchi na sio polisi Wala mahakama

Lakini CHADEMA wamefeli kuwasilisha malalamiko Yao Kwa wananchi na Sasa wananchi wamekaa pembemi wanawaangalia

Wamefeli kuunda umoja wao wenyewe na hata na wananchi.

Hawajui athari za kuwaita wengine majina au kuwanyanyapaa.

Hatujifunzi hata kwa kina Kamala na kina Trump wanavyosaka uungwaji mkono na communities zote pasipo na exceptions.

Mfano: imhotep, PakiJinja, Moisemusajiografii hivi mnajua mnaowaita kobazi au wafuasi wa mnyaazi kizezeta zezeta ni wananchi na wengine ni CDM?

Au mnadhani mnapomkwaza mtu, kumbe mta share naye kipi, wapi?
 
Viongozi na wafuasi wa CHADEMA wamekuwa wahanga wakubwa sana kwa manyanyaso na kila aina ya dhuluma.

Mara tu wanapofanyiwa hayo wamekuwa wakijitokeza kwenye Vyombo vya habari na kulalamikia vitendo hivyo.

Mimi nafikiri kwa sasa tutoke kwenye kulalamika na twende kwenye kuchukua hatua kali.

Ndugu zangu, kulalamika hakuwezi kusaidia chochote kile zaidi ya kujiburudisha tu.

Imefika wakati hata watesi wenu wameshawasoma kwamba, ninyi hata mfanyiwe hujuma namna gani, hamtachukua hatua yoyote ile zaidi ya kwenda kwenye Vyombo vya habari, kwa hiyo, wataendelea kuwafanyia kila aina ya hujuma kwa sababu hamna meno.

Mimi nadhani kwa sasa tuchague moja kati ya Mambo mawili. Ama tuchukue hatua kali zenye maumivu makali dhidi ya uonevu au tuachane na siasa.

Kwenda kwenye Vyombo vya habari au kwenda mahakamani hakuwezi kuleta mafanikio dhidi ya uonevu bali ni kuchukua hatua kali zenye maumivu makali.

CHADEMA mnachokifanya sasa ni kama vile unamkuta jamaa anakuibia mke wako, badala ya kumshikisha adabu, wewe unamwacha jamaa anaendelea na shughuli halafu wewe unakimbilia kwenye Vyombo vya habari kulalamika. Hizo ni akili au matope?
Sawa hata sheria zinaruhusu haki ya kujilinda!
 
Watu kama nyie wapuuzi, hata akili zenu zimeganda. CCM wanamwaga sera, wanaruhusu Chadema wamwage sera? Si hata wakitaka kumwaga sera wanashikwa? Hata tesources, distribution mbovu, ujuavyo logistics, chadema hata wawe na billioni haitoshi kuzunguka mikoa yote ya kaskazini hayo ma V8 500 au 1000 ambayo yanaagizwa na serikali ni kwa logistics ya CCM + kuwa na watu kama nyie punguani zeros; pia inakuwa ni contributing factor. You simply don't think. All what you know is rave rage and rant!!!!!!!!!!!!!!!!!
Hatuwezi kuwa sawa kimtizamo, Fahamu hilo, utadefend upande chadema lakini chadema wana poor calculation, hawajui huu ni muda wa kufanya kipi? Kwa wakati gani?, ndio maana tunasema mwenyekiti amechoka apumzike, tafakari capability imezeeka.
 
Watu kama nyie wapuuzi, hata akili zenu zimeganda. CCM wanamwaga sera, wanaruhusu Chadema wamwage sera? Si hata wakitaka kumwaga sera wanashikwa? Hata tesources, distribution mbovu, ujuavyo logistics, chadema hata wawe na billioni haitoshi kuzunguka mikoa yote ya kaskazini hayo ma V8 500 au 1000 ambayo yanaagizwa na serikali ni kwa logistics ya CCM + kuwa na watu kama nyie punguani zeros; pia inakuwa ni contributing factor. You simply don't think. All what you know is rave rage and rant!!!!!!!!!!!!!!!!!
 

Attachments

  • FB_IMG_17295963808556702.jpg
    FB_IMG_17295963808556702.jpg
    259.9 KB · Views: 2
Nimemsikiliza kwa makini sana Kiongozi wa CHADEMA Iringa. Ametoa msimamo mkali kuhusu hujuma wanazofanyiwa Wagombea wa serikali za mitaa, huko Iringa.
Nadhani huo ndo msimamo unaotakiwa kuchukuliwa na viongozi wote Nchi nzima ambao Wagombea wao wameenguliwa.
Lakini vitendo ni muhimu zaidi.
Sasa tumeanza kuamka. Huwezi kumkuta jamaa anakuibia mke wako badala ya kum---------, wewe unakimbilia kwenye vyombo vya habari kulalamika.
Kulalamika tu bila kumshikisha adabu aliyekuhujumu ni UJINGA.
Hongera sana Kiongozi wa CHADEMA Iringa.
 
Nashindwa kuamin kama n kwel hvi vitu vipo, ila kama n kwel bas wanakuwa wanafeli maana huo n uoga kiwango Cha flyover maana kila kitu unacho wewe ila kitu kidogo unahaha,chama tawala ifikie wakati waache wananchi waamuae wao ila co kuleta ubabae
 
Back
Top Bottom