Ww leo ndio uko zamu kuhusu cdm nini? Naona kila baada ya dakika chache ni uzi wa cdm! Na umepangiwa kuweka nyuzi ngapi kwa leo? Je utakuwa na uzi mwingine wa kuongelea chama kingine cha upinzani, au nogwa ya ccm ni cdm tu?Chadema jaribuni kupunguza matumizi ya anasa ili mjenge chama;
1: Mikutano ya kamati kuu inafanyika kwenye hotel zenye hadhi ya nyota tano.
2: Viongozi wakuu kutembelea magari ya anasa.
3: Kipngozi mkuu kuomba michango watanzania ili anunue gari ya anasa
4:Viongozi wa chama kukesho mitandaoni kutukana tu (Mdude na Lema)
Cc:Benjamin NetanyahuChadema jaribuni kupunguza matumizi ya anasa ili mjenge chama;
1: Mikutano ya kamati kuu inafanyika kwenye hotel zenye hadhi ya nyota tano.
2: Viongozi wakuu kutembelea magari ya anasa.
3: Kipngozi mkuu kuomba michango watanzania ili anunue gari ya anasa
4:Viongozi wa chama kukesho mitandaoni kutukana tu (Mdude na Lema)
toa mifano y hayo uliyoyaandika.Chadema jaribuni kupunguza matumizi ya anasa ili mjenge chama;
1: Mikutano ya kamati kuu inafanyika kwenye hotel zenye hadhi ya nyota tano.
2: Viongozi wakuu kutembelea magari ya anasa.
3: Kipngozi mkuu kuomba michango watanzania ili anunue gari ya anasa
4:Viongozi wa chama kukesho mitandaoni kutukana tu (Mdude na Lema)
Chadema jaribuni kupunguza matumizi ya anasa ili mjenge chama;
1: Mikutano ya kamati kuu inafanyika kwenye hotel zenye hadhi ya nyota tano.
2: Viongozi wakuu kutembelea magari ya anasa.
3: Kipngozi mkuu kuomba michango watanzania ili anunue gari ya anasa
4:Viongozi wa chama kukesho mitandaoni kutukana tu (Mdude na Lema)
Chadema jaribuni kupunguza matumizi ya anasa ili mjenge chama;
1: Mikutano ya kamati kuu inafanyika kwenye hotel zenye hadhi ya nyota tano.
2: Viongozi wakuu kutembelea magari ya anasa.
3: Kipngozi mkuu kuomba michango watanzania ili anunue gari ya anasa
4:Viongozi wa chama kukesho mitandaoni kutukana tu (Mdude na Lema)
Hivi wewe makamu mwenyekiti ulichangia kweli?sisi ambao sio chadema tulimchangia kwa maana ni Mtanzania mwenzetu pia hata kama anaropoka sana pamoja na kuwa anazo akili nyingi pia.toa mifano y hayo uliyoyaandika.
By the way CCM sera yenu ni Umasikini kwa wote, chadema is not in that belief!
Waasisi wote wa CHADEMA walikuwa ni Mabilionea tangu enzi za Nyerere
Waasisi wa CCM ni Wakulima na Wafanyakazi
Sidhani kama utaelewa 😂
Mdude kapotelea wapi sijuiChadema jaribuni kupunguza matumizi ya anasa ili mjenge chama;
1: Mikutano ya kamati kuu inafanyika kwenye hotel zenye hadhi ya nyota tano.
2: Viongozi wakuu kutembelea magari ya anasa.
3: Kipngozi mkuu kuomba michango watanzania ili anunue gari ya anasa
4:Viongozi wa chama kukesho mitandaoni kutukana tu (Mdude na Lema)
Hivi wewe makamu mwenyekiti ulichangia kweli?sisi ambao sio chadema tulimchangia kwa maana ni Mtanzania mwenzetu pia hata kama anaropoka sana pamoja na kuwa anazo akili nyingi pia.
5: Wanaiga mfumo wa kuendesha chama mfano Bawacha ambao wemejeuka kuwa vibaka wa kuchoma nguo hadharani🙆♂️🙆♂️🙆♂️5.
6.
7.
9
8.
9.
10 .
Endelea kujaza namba hapo juu maana umeandika mambo manne tu mkuu ..ongezea ongezea
UWT mpka mpate akili wajinga nyieChadema jaribuni kupunguza matumizi ya anasa ili mjenge chama;
1: Mikutano ya kamati kuu inafanyika kwenye hotel zenye hadhi ya nyota tano.
2: Viongozi wakuu kutembelea magari ya anasa.
3: Kipngozi mkuu kuomba michango watanzania ili anunue gari ya anasa
4:Viongozi wa chama kukesho mitandaoni kutukana tu (Mdude na Lema)
Bora umweleweshe chawa mwenzakoWaasisi wote wa CHADEMA walikuwa ni Mabilionea tangu enzi za Nyerere
Waasisi wa CCM ni Wakulima na Wafanyakazi
Sidhani kama utaelewa 😂
Aibu sn..gari la kinyesi la Mwenyekiti wako pia tumechangia kwa kodi zetu.
Na wewe upo zamu ya kujibu mashambulizi ulipwa bei gani Kwa kila jibu?Ww leo ndio uko zamu kuhusu cdm nini? Naona kila baada ya dakika chache ni uzi wa cdm! Na umepangiwa kuweka nyuzi ngapi kwa leo? Je utakuwa na uzi mwingine wa kuongelea chama kingine cha upinzani, au nogwa ya ccm ni cdm tu?
Mimi siwezi kulipwa maana sijipendekezi.Na wewe upo zamu ya kujibu mashambulizi ulipwa bei gani Kwa kila jibu?
Dharau kubwa sn kwa wapiga kura mpk anunuliwa gari la kujisadia hata Biden hana..Mwenyekiti wa chama dola ana msafara wa V8 kama 50, pamoja na gari la kinyesi.
Hawa UWT ni hovyo snMimi siwezi kulipwa maana sijipendekezi.