Akasankara
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 4,210
- 5,752
Wamekuhujumu nini?ni wahujumu wa kila nyanja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamekuhujumu nini?ni wahujumu wa kila nyanja
Tuombe Mungu mkutano huo usifungiwe.MKUTANO WA HADHARA
CHADEMA Arusha inapenda kutangazia wananchi wote wa Arusha na viunga vyake kuwa,tutakuwa na mkutano wa hadhara tarehe 4/7/2023 siku ya Jumanne eneo la Soko Kuu Arusha kuanzia saa nane mchana.
Viongozi mbalimbali watahutubia na kuweka wazi ufisadi wa serikali hii,pamoja na ufisadi katika jiji la Arusha
Wananchi wote mnakaribishwa!
Samia hayuko hivyo unajua pia kuna presha kali za Sukuma gang juu yake ili ajitoe kwenye maridhiano na sisi Chadema lakini amewapotezea.Tuombe Mungu mkutano huo usifungiwe.
Mkuu turekebishie tareheMKUTANO WA HADHARA
CHADEMA Arusha inapenda kutangazia wananchi wote wa Arusha na viunga vyake kuwa,tutakuwa na mkutano wa hadhara tarehe 4/7/2023 siku ya Jumanne eneo la Soko Kuu Arusha kuanzia saa nane mchana.
Viongozi mbalimbali watahutubia na kuweka wazi ufisadi wa serikali hii,pamoja na ufisadi katika jiji la Arusha
Wananchi wote mnakaribishwa!
PorojoMKUTANO WA HADHARA
CHADEMA Arusha inapenda kutangazia wananchi wote wa Arusha na viunga vyake kuwa,tutakuwa na mkutano wa hadhara tarehe 4/7/2023 siku ya Jumanne eneo la Soko Kuu Arusha kuanzia saa nane mchana.
Viongozi mbalimbali watahutubia na kuweka wazi ufisadi wa serikali hii,pamoja na ufisadi katika jiji la Arusha
Wananchi wote mnakaribishwa!