Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
My two cents from a distance.
Siyo siri kwamba naunga mkono kutokushiriki chaguzi za maigizo zinazoendeshwa na CCM.
Naunga mkono harakati karibu zote za mwenyekiti mpya wa CHADEMA za kuleta mabadiliko ya kweli.
Yote anayofanya ni sahihi kasoro hili la kusema kuwa watazuia uchaguzi kufanyika.
Hiyo kauli si sahihi kwani inaeleweka na kutafsirika kama vile kutakuwepo na harakati za kutumia nguvu kuufanya huo uchaguzi usifanyike.
Hivi CHADEMA haina wataalamu wa mawasiliano ambao kazi yao ni kuzi fine tune hizo kauli mbiu zao?
Kusema mtauzuia uchaguzi kufanyika mnawachanganya watu maana haieleweki mtauzuiaje huo uchaguzi usifanyike.
Ibadilisheni hiyo kauli mbiu.
Siyo siri kwamba naunga mkono kutokushiriki chaguzi za maigizo zinazoendeshwa na CCM.
Naunga mkono harakati karibu zote za mwenyekiti mpya wa CHADEMA za kuleta mabadiliko ya kweli.
Yote anayofanya ni sahihi kasoro hili la kusema kuwa watazuia uchaguzi kufanyika.
Hiyo kauli si sahihi kwani inaeleweka na kutafsirika kama vile kutakuwepo na harakati za kutumia nguvu kuufanya huo uchaguzi usifanyike.
Hivi CHADEMA haina wataalamu wa mawasiliano ambao kazi yao ni kuzi fine tune hizo kauli mbiu zao?
Kusema mtauzuia uchaguzi kufanyika mnawachanganya watu maana haieleweki mtauzuiaje huo uchaguzi usifanyike.
Ibadilisheni hiyo kauli mbiu.