CHADEMA badilisheni hiyo kauli mbiu ya "No Reforms, No Elections"

CHADEMA badilisheni hiyo kauli mbiu ya "No Reforms, No Elections"

Kuna mambo yanashangaza sana
unaogopa maandamano et yataleta vurugu
at the same time hutaki mabadiliko yaan maanake umekubali kunyonywa na watawala walioamua kukutawala milele kwa kukukandamiza haki zako za msingi..

Kama kutumia vurugu kudai haki yangu kikatiba ni kosa basi kwangu ni njia sahihi.
Uwe sehemu ya hizo vurugu kama Kenya walivyo na utayari kwa lolote, wabongo wengi tukishaandika maneno ya kijasiri yenye kufanana na hayo ya kwako siku ya maandamano tunajificha vyumbani mwetu huku tukifungulia mtandao wa instagram kuangalia zile video mpya za kinachoendelea mitaani.

Mikia inakuwa imesharudi tumboni kwa uoga tunaokuwa nao siku hiyo.
 
My two cents from a distance.

Siyo siri kwamba naunga mkono kutokushiriki chaguzi za maigizo zinazoendeshwa na CCM.

Naunga mkono harakati karibu zote za mwenyekiti mpya wa CHADEMA za kuleta mabadiliko ya kweli.

Yote anayofanya ni sahihi kasoro hili la kusema kuwa watazuia uchaguzi kufanyika.

Hiyo kauli si sahihi kwani inaeleweka na kutafsirika kama vile kutakuwepo na harakati za kutumia nguvu kuufanya huo uchaguzi usifanyike.

Hivi CHADEMA haina wataalamu wa mawasiliano ambao kazi yao ni kuzi fine tune hizo kauli mbiu zao?

Kusema mtauzuia uchaguzi kufanyika mnawachanganya watu maana haieleweki mtauzuiaje huo uchaguzi usifanyike.

Ibadilisheni hiyo kauli mbiu.
Kuzuia si kuwaambia watu wasishiriki. Kwani unazani kuna lipi lingine,kwahiyo kutakuwa na wale wanaosema tutashiriki na wale wale wanaosema hatutashiriki. kwahiyo wale watakao kuwa wengi ndiyo washindi. Ila swala la uchaguzi ni swala la muafaka siyo swala la kuvutana maswalaa ya mivutano inazaa migogoro na migogoro izaa kudorola kwa uchumi na uchumi ukiwa mbovu inasababisha watu kuichukia serikali yao hapo ndipo kunakuja kuibuka pande kuu zinazizovutana na maadui wanapata mwanya wakupesheza sumu. Mimi nishauri kuwe na muafaka wakitaifa swala la uchaguzi lakini ccm ikitegemea kujaza masanduku ya kura kura feki ikiwa watu hawatajitookeza itegemee kuongoza ktk hali ngumu sanac, kwasababu kilavmtu hata yule aliye piga kura mambo yakiwa magumu naye atajiunga na wale ambao hawakuupiga nakusema mimi sikuwapigia.
 
My two cents from a distance.

Siyo siri kwamba naunga mkono kutokushiriki chaguzi za maigizo zinazoendeshwa na CCM.

Naunga mkono harakati karibu zote za mwenyekiti mpya wa CHADEMA za kuleta mabadiliko ya kweli.

Yote anayofanya ni sahihi kasoro hili la kusema kuwa watazuia uchaguzi kufanyika.

Hiyo kauli si sahihi kwani inaeleweka na kutafsirika kama vile kutakuwepo na harakati za kutumia nguvu kuufanya huo uchaguzi usifanyike.

Hivi CHADEMA haina wataalamu wa mawasiliano ambao kazi yao ni kuzi fine tune hizo kauli mbiu zao?

Kusema mtauzuia uchaguzi kufanyika mnawachanganya watu maana haieleweki mtauzuiaje huo uchaguzi usifanyike.

Ibadilisheni hiyo kauli mbiu.
Mtu mwenye akili unaweza kuzingatia kauli za hao nyumbu? You must be crazy. Nchi hii kuna vyama vingi na vimeshatangaza wagombea wao. Hao hawana specialty yoyote kutokushiriki ni uamuzi wao ila wasije kujaribu kusumbua wengine watajua kwanini kuku hakojoi. Wasiseme "no election" waseme "we'll not participate"
 
Ukio
Naona sasa mnajenga mnara wa Babeli. Mmeanza kukataana wenyewe kwa wenyewe. Ni mwendo wa Lugha gongana tu.
Ukiona watu wa chama kimoja cha siasa wanakubaliana Kwa kila kitu miaka nenda miaka rudi ujue kunashida sehemu fulani ndani ya chama hicho. Ukiona wanapingana kwa hoja ujue wapo katika mstari.
 
Back
Top Bottom