Haya mambo ya kimila watu wanatumia nguvu sana hata mimi nilisimikwa uchifu uchagani na hata si jambo kubwa kivile mpaka watu wamsumbue mama. Hata wewe unaweza kuwa chief. .
Mbali na kuwa chief hakuna anayeheshimu madaraka yangu. Viongozi wa kimila wanaheshimika zaid yang 😔 😟 🙁