digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Brother kahangaikie mkate wa familia na ukoo wako,hakika utajuta ukiyapuuza haya nikuambiayo!!!Hatupaswi kutishwa na vijamaa vyenye ID za vipindi.
Mtu katuma posts 639 kwa miaka 11 how possible?
Hawatutishi hao. Wakawaambie wanaowatuma, bila tume huru we belong to the jails. For which we are happy.
Brother kahangaikie mkate wa familia na ukoo wako,hakika utajuta ukiyapuuza haya nikuambiayo!!!
Chadema Hamna tofauti na mzee yusuph mwimbaji be wa taarabu,nyimbo za nini ??? nyie ingieni mitaani mkaidai hiyo katiba utadhani mitaani ndo Kuna watu wanaohusika kuandaa hiyo katiba mnayoitaka.
Ila niwaambieni tu kuwa badala ya kusisitiza serikali ipanue magereza, mngewahimiza wafuasi wenu wapate Bima ya afya kwanza pamoja na pesa za kuendeshea misiba,nawambie kuwa kitakacho wakuta hakika hakijawahi kutokea katika nchi hii.
Msiseme kuwa sikuwaonya.
I salute and support the idea. Let's move.Lilikuwa jambo la msingi kusimama kwa muda kupisha zoezi la chanjo kuanza bila ya kutatizika.
Muda wa kuitumia karata ya wingi wetu vizuri ili kuyajaza magereza yao sawa sawa umewadia.
Ni muhimu sana tukawaweka wazi wakatuelewa pasi na shaka kuwa:
"hatuogopi kukamatwa na tuko tayari mno kukamatwa kuliko hata kubakia majumbani mwetu."
Huu pia ni muda muafaka wa kuziweka tofauti zetu ndogo ndogo pembeni na wote wenye uhitaji wa katiba mpya kama sisi.
Tuombane misamaha faraghani na hadharani. Tanzania ni muhimu zaidi kuliko yeyote mwenye akili zake kichwani.
Tushirikiane sote, tuyashirikishe makundi na vyama vyote tunavyoweza kushirikiana navyo. Hayupo mmoja mwenye umuhimu zaidi kwenye mpambano mtakatifu huu kuliko mwingine.
Aboubakar Mbowe atafarijika mno kusikia tunaendelea kwa kasi ile ile.
Mkakati wa kuwahami wahanga ni wa muhimu sana. Umekuwa ukiombwa huu kwa muda sasa pasipo na mrejesho.
Ifahamike kuwa ni muhimu mapambano ya kudai katiba mpya yakaeleweka kuwa ni kwa kujitolea kwa hali na mali. Hii isifanywe kuwa fursa na mtu yeyote na kwa namna yoyote (hasa na mawakili).
Miito ya kujitolea iwe wazi kwa wote wakiwamo Sirro na serikali kwa ujumla wao. Wajue kuwa tunataka tume huru sasa na si vinginevyo.
Ni Lazima kuwapo uratibu wa karibu ili kuhakikisha wahanga wanatunzwa sawa sawa kama askari wetu mashujaa wa mstari wa mbele.
Wananchi wako tayari wanachohitaji ni organization na uongozi thabiti kuendelea na mapambano muda wote bila kujali nani watakuwa wamekamatwa. Wananchi hawawezi kuamka kama mvua bila uongozi uliodhamiria.
Uongozi una gharama ni muhimu wenye hofu wakaachia ngazi sasa. Hizi ni zama mpya.
Ifahamike mafanikio ya Zambia au uwepo wa nchi marafiki hakutatusaidia lolote kama tutaendelea kutegeana.
Habari hii iwafikie kwa ufasaha pale ufipa kabla uvumilivu wetu haujafika mwisho.
Ninawasilisha.
I salute and support the idea. Let's move.
Ma pro government bana,majinga sana
Chanjo milioni moja wananchi wapo milioni 60,eti tumechanjwa wote?
Nigga stop this masterbation
Waliochanjwa ni 1.7% ya wananchi wote
Kuna salio la wananchi 98.3% hawajachanjwa
Mbigirisi nyie
No such strategy...
You are all lying to yourselves like fools do!
Mzee wangu unapoteza muda wako, kama unataka kuelewa maana ya ile kauli "watanzania hawataki katiba mpya" anzisha movement yoyote barabarani, uajikuta upo peke yako, utapigwa virungu na kuwekwa ndani na itakayohangaika na kuumia ni wewe na familia yako.
Unahangaika na wanafiki tu, chama chenye mamilioni ya wafuasi, anakamatwa Mwenyekiti wao, tunaambiwa ni makosa ya kubambikiwa, lakini wanakosekana hata viongozi wa kuwaongoza watu elfu kumi wa kushinikiza aachiwe ama kesi isikilizwe kwa haki na haraka.
Kusoma na kuelewa ninavyotaka mimi na sio wewe ni jukumu langu,unanipangia tena?
Wewe umeandika,wasomaji ni sisi,na tunasoma na kuelewa tunavyotaka sisi na sio wewe unavyotaka
Kama umeona jibu ambalo hulipendi,too bad for you!Jiandikie majibu unayopenda ujisomee ukenue mimeno binafsi yako
Nimeelewa au sijaelewa,nimedandia kwa mbele au kwa nyuma kwendana na mtazamo wako ywewe,thats your business not mine!
Kwahiyo wewe ni whiteman?
You are a black man,a nigga!
I called you exact who you are,a black man,a nigga...I dont call black people white men,I call them niggas,exactly!
How do you know this?
Walikuambia?
Au ni ubongo wako umejituma na kujiambia unachohisi kuhusu CDM?
Again,Im not a white man
Im a black man,you are talking to a wrong person!
Find yourself a whiteman and talk this nonsense to him!
Only 1.8% is vaccinated,bado 98.2%
Wewe kusema hakuna cha vaccination tena unawasemea 98.2% wamekutuma tangu lini?
Unatoa maamuzi ya watu milioni 59 wewe kama nani?
Au umejituma pekee yako?
Got it wrong again
Mimi sio dada,mimi ni kaka
Address people properly walao wakuelewe what nonsense you have been spewing!
Wewe ni mwana CCM,umekuja na makala ya contraction hapa kujifanya eti wewe ni pro CDM wakati your makala kiini chake ni unafiki kuhusu CDM
Chadema wanataka Chanjo mpaka watu wote 60mil waishe,wewe unakuja na hoja eti hao milioni 1 wanatosha
Contradiction!
Halafu unadhani hatutakustukia?
nashindwa kukuelewa
wanaotaka chanjo ni milioni 60,chanjo zimekuja 1mil
watu milioni 59 bado,wewe unafunga mlango kama nani?
sisi tunamsikiliza rais maana walao wananchi milioni 59 ndio wamempa mamlaka ya kuwasemea sio wewe....
1mil ni ya watu wachache sana..bado hao wengine
Stupid ni wewe mtu mweusi unapokasirika pale unapoitwa mtu mweusi kwa jina lingine linaloitwa "nigga" lenye maana hiyo hiyo ya "mtu mweusi"
My interpretation is mine not yours..
Wewe ndio unaforce watu waelewe unavyotaka wewe wakati sio kazi yako ni yao
Stupid indeed kujipa kazi zisizokuhusu
Yaani mtoa uzi na wewe hapo hapo ni judge wa kupitisha hukumu
Yaani unapitisha hukumu kwenye reactions za hadhira kwenye uzi wako
Yaani wewe ulitaka reactions ziwe unavyotaka wewe
Huna haja ya kua na watu kutoa reactions zao,ungeandika uzi halafu ujichatishe mwenyewe kama member usome majibu unayataka wewe binafsi
Utterly ridiculous mofo!
Nigga ni term of endearment among blacks
You didnt know,now you know
Hapa vita ya mwenyewe na ignorant usiejua chochote!
Jombi ni mavi gani?
Hebu tumia Kiswahili fasaha,hii lugha ya chooni huko ndio inafanya watu wanakuona kichaa tu na usie serious.
Umepelekwa shule kusoma Kiswahili,hiki ndio ulichotoka nacho shule?Like,really?
Kukataa chanjo umeunganisha na katiba
Nigga you are so confused.
Nigga ni term of endearment among blacks
You didnt know,now you know
Hapa vita ya mwenyewe na ignorant usiejua chochote!
Jombi ni mavi gani?
Hebu tumia Kiswahili fasaha,hii lugha ya chooni huko ndio inafanya watu wanakuona kichaa tu na usie serious.
Umepelekwa shule kusoma Kiswahili,hiki ndio ulichotoka nacho shule?Like,really?
Kukataa chanjo umeunganisha na katiba
Nigga you are so confused.
Kwahiyo watu 207+ elfu waliochanjwa ni wanachama wa Chadema eehhhh?
Mjihamasishe mchanje wote ili mkikinukisha wakose Cha kuwasingizia mko salama yaani nyie.