#COVID19 CHADEMA: Chanjo tumechanjwa sasa Kazi iendelee

Wewe ni fake CDM

CDM wanaamini kila mwananchi apewe chanjo.wewe unakataa

CDM wanaamini kwenye katiba mpya,wewe unadai unataka katiba mpya,of which i dont trust u with this.

Mimi fake wewe real taabu iko wapi?
 
Wahamasishe chadema wenzio wachanjwe kwanza acha porojo bwashee
 
Msaada kwenye tuta
Nilijiregister kwa ajili ya Chanjo.
Bahati mbaya nikaambiwa Sina vigezo nikawa nasubiri awamu nyingine.Sasa wameruhusu kila mtu kuchanja.Tatizo lililopo nikitaka kuingia kwenye akaunti Yangu nikiingiza namba ya NIDA step inayofuata naambiwa niingize Reference number.
Tatizo lipo kwenye reference namba nikijaribu kuingiza naambiwa Ni wrong number nimeikosea.Je Kuna namba ya kuwasiliana na watu wa chanjo ili nifanye booking upya na nipewe reference namba mpya?
 

Unasumbuka bure mkuu. Funga tembea mbele. Nenda kituoni wanakochanja utachanjwa na mengine huko huko mtamalizana nao.

Kwamba ulikosa vigezo? Kulikuwa na usafiri nje ya nchi, magonjwa mengine, asili ya kazi zako kukutana mno na watu.

Mote humo ulikosa maufundi?

Angalizo - udomo zege huanza pole pole.

#COVID19 - Prof. Makubi: Wananchi wote wanaofika kuomba huduma wasinyimwe Chanjo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…