Pre GE2025 CHADEMA chini ya Lisu; Watanzania wana matumaini makubwa sana na nyie, mlete ajenda nzito nzito

Pre GE2025 CHADEMA chini ya Lisu; Watanzania wana matumaini makubwa sana na nyie, mlete ajenda nzito nzito

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Gabeji

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2024
Posts
1,530
Reaction score
1,903
Bila shaka wote ni wazima wa afya njema.
Watanzania wengi matumaini yao yapo kwa chadema chini ya mh Tundu Lisu, nasikia mmejifungia chumbani mlete ajenda nzito nzito kweli kweli zidi ya wapinzani wenu.
Rushwa
Ufisadi
Ajira kwa vijana hii iwe ajenda kubwa sana
Kutowajibika kwa viongozi
Umasikini
Vifaa vya ujenzi kupanda bei
Utitili wa Tozo na kodi
Uzwaji wa mali ya za uma,kama bandari,ngorongoro
MB: fanyeni utafiti zaidi juu ya changamoto zidi ya wananchi, lakini toeni elimu zaidi kwa WANANCHI elimu ya kirai, kizalendo, na kuonesha maovu yote yanayofanywa na serikali, mzunguke nchi mzima wambieni wananchi ukweli kuwa ADUI namba moja wa taifa hili ni CHAMA cha ...........,
NB 2, watumieni vzr sana walimu na polisi ,wapeni elimu ya kizalendo watawasidie ktk kuleta mabadiliko ya fikra na mitizamo chanya .
Mungu ibariki Tanzania.

Soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
 
No reforms no election na new constitution ....zito zito au nyepesi
 
hapo hapo wakizunguka mikoa yote au Kanda zao zote wakapiga misumari ya kwann no reforms no election and new constitution ccm chama changu kitakuwa hoi sana
Kabisa mkuu nchi ipo hoi sana
 
Ajenda nzito nzito ni mabeberu kuchukua madini yetu na kusafirisha mpaka mchanga.

Ushoga na usagaji kuenea kwa kasi kinyume na utamaduni wetu.

Lissu aanze na kushughulikia hizo ajenda kama sio tapeli wa Miga.
 
Bila shaka wote ni wazima wa afya njema.
Watanzania wengi matumaini yao yapo kwa chadema chini ya mh Tundu Lisu, nasikia mmejifungia chumbani mlete ajenda nzito nzito kweli kweli zidi ya wapinzani wenu.
Rushwa
Ufisadi
Ajira kwa vijana hii iwe ajenda kubwa sana
Kutowajibika kwa viongozi
Umasikini
Vifaa vya ujenzi kupanda bei
Utitili wa Tozo na kodi
Uzwaji wa mali ya za uma,kama bandari,ngorongoro
MB: fanyeni utafiti zaidi juu ya changamoto zidi ya wananchi, lakini toeni elimu zaidi kwa WANANCHI elimu ya kirai, kizalendo, na kuonesha maovu yote yanayofanywa na serikali, mzunguke nchi mzima wambieni wananchi ukweli kuwa ADUI namba moja wa taifa hili ni CHAMA cha ...........,
NB 2, watumieni vzr sana walimu na polisi ,wapeni elimu ya kizalendo watawasidie ktk kuleta mabadiliko ya fikra na mitizamo chanya .
Mungu ibariki Tanzania.
Kikokotoo kipya cha mafao ya Wazee wetu wastaafu. Hakiko sawa. Iingizwe kama agenda
 
Kwa kweli.
Wahakikishe wanatafuta kuongozwa na Mungu kwa kila jambo na kwa kila hatua.
Waombe hekima ya Mungu iwaongoze kwa kila jambo.
 
Ajenda nzito nzito ni mabeberu kuchukua madini yetu na kusafirisha mpaka mchanga.

Ushoga na usagaji kuenea kwa kasi kinyume na utamaduni wetu.

Lissu aanze na kushughulikia hizo ajenda kama sio tapeli wa Miga.
fangasi ccm, term ya LISu mtatibiwa mtapona
 
Toa neno 'Watanzania' weka neno sahihi la 'nyumbu'. Watanzania sio malafa wa kuletewa hizo mambo.
 
Back
Top Bottom