Pre GE2025 CHADEMA chini ya Lisu; Watanzania wana matumaini makubwa sana na nyie, mlete ajenda nzito nzito

Pre GE2025 CHADEMA chini ya Lisu; Watanzania wana matumaini makubwa sana na nyie, mlete ajenda nzito nzito

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Rushwa
Ufisadi
Ajira kwa vijana hii iwe ajenda kubwa sana
Kutowajibika kwa viongozi
Umasikini
Vifaa vya ujenzi kupanda bei
Utitili wa Tozo na kodi
Uzwaji wa mali ya za uma,kama bandari,ngorongoro
Antipasu alipoulizwa juu ya namna atakavyodhibiti Rushwa ndani ya Chadema alijibunkuwa ataiagiza Kamati kuu ishughulikie. Hakutoa majibu Hata kwa mujibu wa katiba ya Chadema, kuwa atakayekutwa na hatia atafanywa nini!!!

Kwa maneno mengine, Antipasu anajificha kwenye kauli ambazo hataki Baadaye abanwe kuhusu kutimiza ahadi....kwa kesi hii kawasukimizia Kamati Kuu ya Chadema!!!Kwa hiyo, Kuna udhahiri wa huyu ndugu Antipasu kuwa "liability" badala ya "Asset"
 
Bila shaka wote ni wazima wa afya njema.
Watanzania wengi matumaini yao yapo kwa chadema chini ya mh Tundu Lisu, nasikia mmejifungia chumbani mlete ajenda nzito nzito kweli kweli zidi ya wapinzani wenu.
Rushwa
Ufisadi
Ajira kwa vijana hii iwe ajenda kubwa sana
Kutowajibika kwa viongozi
Umasikini
Vifaa vya ujenzi kupanda bei
Utitili wa Tozo na kodi
Uzwaji wa mali ya za uma,kama bandari,ngorongoro
MB: fanyeni utafiti zaidi juu ya changamoto zidi ya wananchi, lakini toeni elimu zaidi kwa WANANCHI elimu ya kirai, kizalendo, na kuonesha maovu yote yanayofanywa na serikali, mzunguke nchi mzima wambieni wananchi ukweli kuwa ADUI namba moja wa taifa hili ni CHAMA cha ...........,
NB 2, watumieni vzr sana walimu na polisi ,wapeni elimu ya kizalendo watawasidie ktk kuleta mabadiliko ya fikra na mitizamo chanya .
Mungu ibariki Tanzania.

Soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Zaidi ya kulalamika Katiba Mpya umewahi sikia hao watu Wana ajenda tofauti na hiyo?
 
Bila shaka wote ni wazima wa afya njema.
Watanzania wengi matumaini yao yapo kwa chadema chini ya mh Tundu Lisu, nasikia mmejifungia chumbani mlete ajenda nzito nzito kweli kweli zidi ya wapinzani wenu.
Rushwa
Ufisadi
Ajira kwa vijana hii iwe ajenda kubwa sana
Kutowajibika kwa viongozi
Umasikini
Vifaa vya ujenzi kupanda bei
Utitili wa Tozo na kodi
Uzwaji wa mali ya za uma,kama bandari,ngorongoro
MB: fanyeni utafiti zaidi juu ya changamoto zidi ya wananchi, lakini toeni elimu zaidi kwa WANANCHI elimu ya kirai, kizalendo, na kuonesha maovu yote yanayofanywa na serikali, mzunguke nchi mzima wambieni wananchi ukweli kuwa ADUI namba moja wa taifa hili ni CHAMA cha ...........,
NB 2, watumieni vzr sana walimu na polisi ,wapeni elimu ya kizalendo watawasidie ktk kuleta mabadiliko ya fikra na mitizamo chanya .
Mungu ibariki Tanzania.

Soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Labda mamaako
 
Antipasu alipoulizwa juu ya namna atakavyodhibiti Rushwa ndani ya Chadema alijibunkuwa ataiagiza Kamati kuu ishughulikie. Hakutoa majibu Hata kwa mujibu wa katiba ya Chadema, kuwa atakayekutwa na hatia atafanywa nini!!!

Kwa maneno mengine, Antipasu anajificha kwenye kauli ambazo hataki Baadaye abanwe kuhusu kutimiza ahadi....kwa kesi hii kawasukimizia Kamati Kuu ya Chadema!!!Kwa hiyo, Kuna udhahiri wa huyu ndugu Antipasu kuwa "liability" badala ya "Asset"
Ngoja tusubili mkuu, mda utasema
 
Bila shaka wote ni wazima wa afya njema.
Watanzania wengi matumaini yao yapo kwa chadema chini ya mh Tundu Lisu, nasikia mmejifungia chumbani mlete ajenda nzito nzito kweli kweli zidi ya wapinzani wenu.
Rushwa
Ufisadi
Ajira kwa vijana hii iwe ajenda kubwa sana
Kutowajibika kwa viongozi
Umasikini
Vifaa vya ujenzi kupanda bei
Utitili wa Tozo na kodi
Uzwaji wa mali ya za uma,kama bandari,ngorongoro
MB: fanyeni utafiti zaidi juu ya changamoto zidi ya wananchi, lakini toeni elimu zaidi kwa WANANCHI elimu ya kirai, kizalendo, na kuonesha maovu yote yanayofanywa na serikali, mzunguke nchi mzima wambieni wananchi ukweli kuwa ADUI namba moja wa taifa hili ni CHAMA cha ...........,
NB 2, watumieni vzr sana walimu na polisi ,wapeni elimu ya kizalendo watawasidie ktk kuleta mabadiliko ya fikra na mitizamo chanya .
Mungu ibariki Tanzania.

Soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Ukweli kabisa umeona mbali
 
Saizi inatakiwa waje na ajenda nzito haswa
Hawana Chama kimejaa wanasheria sana sana watakuja kulalamika kwamba Samia anauza mali za Tanganyika.

Kwa mtu mwenye akili anajua hao ni wapuuzi tuu.
 
Hawana Chama kimejaa wanasheria sana sana watakuja kulalamika kwamba Samia anauza mali za Tanganyika.

Kwa mtu mwenye akili anajua hao ni wapuuzi tuu.
Inaoneka wanasheria wanamisimamo imara ukilinganisha na kada zingine kama walimu, nk
 
Back
Top Bottom