Tetesi: CHADEMA chini ya Uongozi wa Lissu washindwa kuchangisha 180 million kwaajili ya uzinduzi wa mikutano nchi nzima

Tetesi: CHADEMA chini ya Uongozi wa Lissu washindwa kuchangisha 180 million kwaajili ya uzinduzi wa mikutano nchi nzima

Heshima wanajamvi.

Baada Lissu kuchaguliwa Mwenyekiti Taifa na kuunda kamati kuu yake,waliweka maazimio ya kuchangisha 180,000,000 kwaajili ya kufanya mikutano Mikoa yote ya Tanganyika.

Taarifa za uhakika mpaka leo wamekusanya kiasi cha Tshs. 1,920,000 ambazo zitaweza kufanya mkutano wa Buguruni pekee yake.

Ni wazi Lissu na team yake wameanza vibaya hawajui nini cha kufanya na kibaya zaidi bila upatanisho wa uhakika Lissu kufikia mwezi July atakuwa kachoka vibaya.

Kikao cha Kamati Wajumbe walijikuta wanakula mandazi huku wakitakiwa kujilipia.

Ngongo kwasasa Ababati.
Wewe jamaa nilikuwa nakupa heshima ya bure. Kumbe you are that much low politically. Sikutegemea una mambo ya Kiuchawa hivi. Tatizo lilianza pale ulipoacha kuishabikia Arsenal. Huenda.
 
Nilisema kable ya uchaguzi kuwa itakapofika April watu wengi watamtafuta Mbowe yupo wapi na kwa sasa Mbowe hataki kusumbuliwa.
Walimtuma Katibu Mkuu Mikocheni kuomba kuonana na Mbowe na kufanya mkutano wa pamoja.

Familia ikawajibu FAM anapumzika siasa na atasafiri nje ya nchi.

Ahadi ya Lissu kwamba atapeleka fedha mikoani nayo imeshindwa kutimizwa wajumbe wanahaha hawaoni mzigo ukishushwa chini.

Ikumbukwe Chama kinapata 107 Million kila mwezi ukiweka gharama za uendeshaji Makao Makuu labda kila Mkoa ungepata 2 million.
 
Heshima wanajamvi.

Baada Lissu kuchaguliwa Mwenyekiti Taifa na kuunda kamati kuu yake,waliweka maazimio ya kuchangisha 180,000,000 kwaajili ya kufanya mikutano Mikoa yote ya Tanganyika.

Taarifa za uhakika mpaka leo wamekusanya kiasi cha Tshs. 1,920,000 ambazo zitaweza kufanya mkutano wa Buguruni pekee yake.

Ni wazi Lissu na team yake wameanza vibaya hawajui nini cha kufanya na kibaya zaidi bila upatanisho wa uhakika Lissu kufikia mwezi July atakuwa kachoka vibaya.

Kikao cha Kamati Wajumbe walijikuta wanakula mandazi huku wakitakiwa kujilipia.

Ngongo kwasasa Ababati.
DJ alishashindwa uchaguzi. Tulieni mzoee. Zamani ulionekana mwanachadema kindakindaki kumbe mpambe wa DJ. Nakala kwa Arushaone, Erythrocyte, Chakaza, Mshana Jr, Salary Slip,
 
kama chadema ikikosa jimbo hata moja 2025
manake wawotopata ruzuku hapa ndipo mwanzo wa kifo cha chadema
Hujui chochote.
Huelewi kabisa namna ruzuku zinavyopatikana.
Sio lazima uandike kila kitu.
Tulia usome kwanza katiba.
 
Heshima wanajamvi.

Baada Lissu kuchaguliwa Mwenyekiti Taifa na kuunda kamati kuu yake,waliweka maazimio ya kuchangisha 180,000,000 kwaajili ya kufanya mikutano Mikoa yote ya Tanganyika.

Taarifa za uhakika mpaka leo wamekusanya kiasi cha Tshs. 1,920,000 ambazo zitaweza kufanya mkutano wa Buguruni pekee yake.

Ni wazi Lissu na team yake wameanza vibaya hawajui nini cha kufanya na kibaya zaidi bila upatanisho wa uhakika Lissu kufikia mwezi July atakuwa kachoka vibaya.

Kikao cha Kamati Wajumbe walijikuta wanakula mandazi huku wakitakiwa kujilipia.

Ngongo kwasasa Ababati.
TANGU LINI MNYATURU AKAWA NA NYOT YA HELA?HIYO ILIKUWA KAZI YA MBOWE SASA ATAHENYA WATU WAMEGOMA KUCHANGA SASA HIVI UTAMSIKIA YUKO UBERIGIJI
 
Heshima wanajamvi.

Baada Lissu kuchaguliwa Mwenyekiti Taifa na kuunda kamati kuu yake,waliweka maazimio ya kuchangisha 180,000,000 kwaajili ya kufanya mikutano Mikoa yote ya Tanganyika.

Taarifa za uhakika mpaka leo wamekusanya kiasi cha Tshs. 1,920,000 ambazo zitaweza kufanya mkutano wa Buguruni pekee yake.

Ni wazi Lissu na team yake wameanza vibaya hawajui nini cha kufanya na kibaya zaidi bila upatanisho wa uhakika Lissu kufikia mwezi July atakuwa kachoka vibaya.

Kikao cha Kamati Wajumbe walijikuta wanakula mandazi huku wakitakiwa kujilipia.

Ngongo kwasasa Ababati.
BIla shaka wewe ni wale akina mama wambeya wasio na faida kwa yeyote.

I
Aliyekutuma kumchafua Lisu, bila shaka naye hana akili. Mtu mwenye akili hata akiwa ana dhamira mbaya, huwatafuta wenye akili ili kutimiza hiyodhamira yake mbaya, hata inakuwa vigumu kutambua. Haiwi wazi kama hii ya kwako.
 
Sio ajabu kukwama kwa Lissu kupata pesa. Mbowe alifanya chama mali yake na alipewa ufadhili wa moja kwa moja kutoka serikalini ili kuigiza upinzani.

Kutoka kwa Mbowe chamani kunamaanisha kuondoka kwa support ya serikali kifedha CHADEMA.
Na hilo ni jambo jema sana. Ni heri chama kufa kuliko kutegemea influence ya mtu mmoja.
 
Nilisema kable ya uchaguzi kuwa itakapofika April watu wengi watamtafuta Mbowe yupo wapi na kwa sasa Mbowe hataki kusumbuliwa.
Utamtafuta wewe unayeshibia mezani kwake. Yaani bado mnaomboleza tu nyie kunguni wa Mbowe?³
 
Walimtuma Katibu Mkuu Mikocheni kuomba kuonana na Mbowe na kufanya mkutano wa pamoja.

Familia ikawajibu FAM anapumzika siasa na atasafiri nje ya nchi.

Ahadi ya Lissu kwamba atapeleka fedha mikoani nayo imeshindwa kutimizwa wajumbe wanahaha hawaoni mzigo ukishushwa chini.

Ikumbukwe Chama kinapata 107 Million kila mwezi ukiweka gharama za uendeshaji Makao Makuu labda kila Mkoa ungepata 2 million.
Joyce Mukya kubali tu matokeo
 
Heshima wanajamvi.

Baada Lissu kuchaguliwa Mwenyekiti Taifa na kuunda kamati kuu yake,waliweka maazimio ya kuchangisha 180,000,000 kwaajili ya kufanya mikutano Mikoa yote ya Tanganyika.

Taarifa za uhakika mpaka leo wamekusanya kiasi cha Tshs. 1,920,000 ambazo zitaweza kufanya mkutano wa Buguruni pekee yake.

Ni wazi Lissu na team yake wameanza vibaya hawajui nini cha kufanya na kibaya zaidi bila upatanisho wa uhakika Lissu kufikia mwezi July atakuwa kachoka vibaya.

Kikao cha Kamati Wajumbe walijikuta wanakula mandazi huku wakitakiwa kujilipia.

Ngongo kwasasa Ababati.
Wewe mpuuzi kabisa.

Lissu hata kuanza kuchangisha hajaanza. Umeona wapii hata Lissu anawaomba wanachama wachangie?

Subiri kazi ianze mpaja mtanyooka na mauongo yenu.

You are a bad loser bro!
 
Hapo kwenye hela Lissu awe na mikakati kweli kweli. Tumseme Mbowe kwa yote ila chama alikuwa anakibeba kifedha.

Kipindi Dr. Slaa anagombea uraisi na Mbowe ndio kampeni meneja, chopa ilichelewa kuruka toka Tunduma kwenda Sumbawanga kisa mafuta. Tuliambiwa wazi kwamba pesa ya wese alikuwa akitoa Mbowe chama kilikuwa hakina fedha sio tuu za kuendesha kampeni hadi mabango, alikuwa anatoa pesa mbowe. Kuna kipindi CDM walikuwa wakishona bendera kwa mafundi cherehani. Bendera hakuna, kadi hamna na bango hamna nchi nzima. Ukienda kuchukua kadi wilayani unaandikwa kwenye daftari kusubiri kadi mpaka zije. Hiki chama Mbowe kakitoa mbali, tuendelee kumshukuru.

Ni kweli Mbowe aling'ang'ania madaraka ila fedha alikuwa akitoa za kwake kufadhili chama. Kitu ambacho Lissu kitampa changamoto sio kidogo.
Ni kama vile kusema kuwa ccm au Rais aliyepo madarakani anajenga hospitali kwa fedha yake au fedha za ccm.


Wabunge walikuwa wanakatwa asilimia ya mishahara yao na fedha hizo anabaki nazo Mbowe ili baadae aje kusema kama hivi kuwa alikuwa anatumia fedha zake mwenyewe
 
Ni sawa na watoto, wanakuta chakula mezani hawajui baba kahangaikaje kukipata. Ndio Lissu alikuwa anyone Mbowe anasaka fedha huku na kule, yeye akawa anamdhihaki.

Na huu muda wa uchaguzi serikali iongeze makali kudhibiti fedha kutoka nje ya nchi
 
Dah! Kama ni hivyo basi Chadema Ina wakati mgumu hapo Oktoba
Heshima wanajamvi.

Baada Lissu kuchaguliwa Mwenyekiti Taifa na kuunda kamati kuu yake,waliweka maazimio ya kuchangisha 180,000,000 kwaajili ya kufanya mikutano Mikoa yote ya Tanganyika.

Taarifa za uhakika mpaka leo wamekusanya kiasi cha Tshs. 1,920,000 ambazo zitaweza kufanya mkutano wa Buguruni pekee yake.

Ni wazi Lissu na team yake wameanza vibaya hawajui nini cha kufanya na kibaya zaidi bila upatanisho wa uhakika Lissu kufikia mwezi July atakuwa kachoka vibaya.

Kikao cha Kamati Wajumbe walijikuta wanakula mandazi huku wakitakiwa kujilipia.

Ngongo kwasasa Ababati.
 
Heshima wanajamvi.

Baada Lissu kuchaguliwa Mwenyekiti Taifa na kuunda kamati kuu yake,waliweka maazimio ya kuchangisha 180,000,000 kwaajili ya kufanya mikutano Mikoa yote ya Tanganyika.

Taarifa za uhakika mpaka leo wamekusanya kiasi cha Tshs. 1,920,000 ambazo zitaweza kufanya mkutano wa Buguruni pekee yake.

Ni wazi Lissu na team yake wameanza vibaya hawajui nini cha kufanya na kibaya zaidi bila upatanisho wa uhakika Lissu kufikia mwezi July atakuwa kachoka vibaya.

Kikao cha Kamati Wajumbe walijikuta wanakula mandazi huku wakitakiwa kujilipia.

Ngongo kwasasa Ababati.


Hata ccm kama hakina serikali na hakina wabunge watakuwa kama walivyo chadema sasa hivi

Vyama vya upinzani havina ela

Mbowe alikuwa anatoa Hela zake
 
Nilisema kable ya uchaguzi kuwa itakapofika April watu wengi watamtafuta Mbowe yupo wapi na kwa sasa Mbowe hataki kusumbuliwa.
Walimtuma Katibu Mkuu Mikocheni kuomba kuonana na Mbowe na kufanya mkutano wa pamoja.

Familia ikawajibu FAM anapumzika siasa na atasafiri nje ya nchi.

Ahadi ya Lissu kwamba atapeleka fedha mikoani nayo imeshindwa kutimizwa wajumbe wanahaha hawaoni mzigo ukishushwa chini.

Ikumbukwe Chama kinapata 107 Million kila mwezi ukiweka gharama za uendeshaji Makao Makuu labda kila Mkoa ungepata 2 million.
Wewe mpuuzi kabisa.

Lissu hata kuanza kuchangisha hajaanza. Umeona wapii hata Lissu anawaomba wanachama wachangie?

Subiri kazi ianze mpaja mtanyooka na mauongo yenu.

You are a bad loser bro!
Sawa lakini Lissu na team yake wanaweza kufanya mkutano mmoja tu.
 
Heshima wanajamvi.

Baada Lissu kuchaguliwa Mwenyekiti Taifa na kuunda kamati kuu yake,waliweka maazimio ya kuchangisha 180,000,000 kwaajili ya kufanya mikutano Mikoa yote ya Tanganyika.

Taarifa za uhakika mpaka leo wamekusanya kiasi cha Tshs. 1,920,000 ambazo zitaweza kufanya mkutano wa Buguruni pekee yake.

Ni wazi Lissu na team yake wameanza vibaya hawajui nini cha kufanya na kibaya zaidi bila upatanisho wa uhakika Lissu kufikia mwezi July atakuwa kachoka vibaya.

Kikao cha Kamati Wajumbe walijikuta wanakula mandazi huku wakitakiwa kujilipia.

Ngongo kwasasa Ababati.
Uharo
 
Back
Top Bottom