Eti wametoa onyo[emoji38]
Nimecheka Sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ningependa Sana nione wanavyoandamanaChama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Dodoma kimesema kuwa endapo Mwenyekiti wa CHADEMA-Taifa Freeman Mbowe asipoachiwa ifikapo saa kumi kamili jioni leo July 22, 2021, kesho wataitisha maandamano bila kikomo mpaka pale Mwenyekiti atakapoachiwa.
#MillardAyoUPDATES https://t.co/44zS5iooq7
Wanatishia kujamba tu hao, ilhali wakijua kua wanaumwa tumbo la kuhara.Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Dodoma kimesema kuwa endapo Mwenyekiti wa CHADEMA-Taifa Freeman Mbowe asipoachiwa ifikapo saa kumi kamili jioni leo July 22, 2021, kesho wataitisha maandamano bila kikomo mpaka pale Mwenyekiti atakapoachiwa.
#MillardAyoUPDATES https://t.co/44zS5iooq7
[emoji38][emoji38][emoji38]Polisi wanawaangalia kama hivi
Nye nye nyeee jaribuni muone[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1863489
Pole sana kwa BAN Mkuu.Wamejiandaaje na Kamanda Muroto πππ
Asante mkuuPole sana kwa BAN Mkuu.
Hahahah atakuwa hayupo Dodoma huyoWewe unajitoa kwenye mapambano mkuu?
Muroto haraka arudishwe kazini π€£π€£π€£Muroto yupo nyumbani muda huu! Anasubiria mafao yake. Ameshastaafu kwa mujibu wa sheria.
[emoji3][emoji3][emoji23][emoji3][emoji3] we jamaa dahAnaupiga mwingi .
Tulia mama akomeshe Sukuma Gang.
Anasubiri mafao sasa, sare za jeshi ni kumbukumbu kwa wajukuu.Wamejiandaaje na Kamanda Muroto πππ
muroto kastaafu na sukari kibao mwilini! atakufa mdomo wazi siku si nyingi Mburundi huyuWamejiandaaje na Kamanda Muroto πππ
wataandamana kwenye mitandao.Ningependa Sana nione wanavyoandamana
Dah kweli cheo dhamanaAnasubiri mafao sasa, sare za jeshi ni kumbukumbu kwa wajukuu.
Dah muombe uzima mzee wetu bana yulemuroto kastaafu na sukari kibao mwilini! atakufa mdomo wazi siku si nyingi Mburundi huyu