Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha tabia ya kuwasemea watanzania wote....Watanzania sikuhizi maombi yao ni makali wakiamua kumshitakia Mungu
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Dodoma kimesema kuwa endapo Mwenyekiti wa CHADEMA-Taifa Freeman Mbowe asipoachiwa ifikapo saa kumi kamili jioni leo July 22, 2021, kesho wataitisha maandamano bila kikomo mpaka pale Mwenyekiti atakapoachiwa.
#MillardAyoUPDATES
Wamesema 12 jioniSasa ni saa 12
Wee mzee mzima mdini. Rudi kwenye jukwaa lako la historia unakotetea uaislam na wapigania uhuru wa kiislam!!Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Dodoma kimesema kuwa endapo Mwenyekiti wa CHADEMA-Taifa Freeman Mbowe asipoachiwa ifikapo saa kumi kamili jioni leo July 22, 2021, kesho wataitisha maandamano bila kikomo mpaka pale Mwenyekiti atakapoachiwa.
#MillardAyoUPDATES
Duh.Wanatishia kujamba tu hao, ilhali wakijua kua wanaumwa tumbo la kuhara.
Mbowe ni muuajiInashangaza sn,halafu watu si wajinga sikuhizi.Kumbambikia mtu kesi kijinga hivi ni ushamba.
Watakufa et hawa watu jamani,mbona hawajifunzi?
Watanzania sikuhizi maombi yao ni makali wakiamua kumshitakia Mungu
JisemeeBora watu wapambane hakuna namna
SawaJisemee
Sasa tunaye dictator katika maumbile ya kike ngoja tumlilie Mungu wetu manake aishatenda muujiza mkubwa juzi kati tuu.Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Dodoma kimesema kuwa endapo Mwenyekiti wa CHADEMA-Taifa Freeman Mbowe asipoachiwa ifikapo saa kumi kamili jioni leo July 22, 2021, kesho wataitisha maandamano bila kikomo mpaka pale Mwenyekiti atakapoachiwa.
#MillardAyoUPDATES
Muroto kaastafuWamejiandaaje na Kamanda Muroto 😂😂😂