CHADEMA Dodoma: Mbowe asipoachiwa, tutaitisha maandamano bila kikomo

CHADEMA Dodoma: Mbowe asipoachiwa, tutaitisha maandamano bila kikomo

Waaanze Wao na familia zao aanze mtoto wa Mbowe
Dudley Mbowe yeye anatwit tu kama wa watoto wa zuma..kina mwaipaya na hilda ndo watakula kichapo wakipeleka pua zao mbele..uzuri hawatathubutu kuandamana
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Dodoma kimesema kuwa endapo Mwenyekiti wa CHADEMA-Taifa Freeman Mbowe asipoachiwa ifikapo saa kumi kamili jioni leo July 22, 2021, kesho wataitisha maandamano bila kikomo mpaka pale Mwenyekiti atakapoachiwa.

#MillardAyoUPDATES
kwani muda bado mbona kimya?
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Dodoma kimesema kuwa endapo Mwenyekiti wa CHADEMA-Taifa Freeman Mbowe asipoachiwa ifikapo saa kumi kamili jioni leo July 22, 2021, kesho wataitisha maandamano bila kikomo mpaka pale Mwenyekiti atakapoachiwa.

#MillardAyoUPDATES

Likifika mahakamani haitawezekana tena,

Polisi watasema suala liko mahakamani halihitaji mjadala.

This time namuona Mbowe atasota sana Mahabusu. Mlolongo wa kesi za ugaidi sote tunaujua.
Kwa kuwa ni mwanasiasa mkubwa labda kuna favour zitampitia kuepusha jumuiya za kimataifa kutusemasema.
Tuone yajayo!
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Dodoma kimesema kuwa endapo Mwenyekiti wa CHADEMA-Taifa Freeman Mbowe asipoachiwa ifikapo saa kumi kamili jioni leo July 22, 2021, kesho wataitisha maandamano bila kikomo mpaka pale Mwenyekiti atakapoachiwa.

#MillardAyoUPDATES
Msiseme, tendeni, plaster, yuso, iodine, bandage juu yangu..
 
Watanzania Sio wajinga ,na hawawezi kua wajinga ,nafikili pamoja na mabunduki yenu Kuna sehem TAIFA mwataka kulipeleka,tena kiutani tani hivi , Endeleeni tu

IMG-20210723-WA0092.jpg
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Dodoma kimesema kuwa endapo Mwenyekiti wa CHADEMA-Taifa Freeman Mbowe asipoachiwa ifikapo saa kumi kamili jioni leo July 22, 2021, kesho wataitisha maandamano bila kikomo mpaka pale Mwenyekiti atakapoachiwa.

#MillardAyoUPDATES
Hayo maneno yenu tumeyazoea sana kenge nyie.
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Dodoma kimesema kuwa endapo Mwenyekiti wa CHADEMA-Taifa Freeman Mbowe asipoachiwa ifikapo saa kumi kamili jioni leo July 22, 2021, kesho wataitisha maandamano bila kikomo mpaka pale Mwenyekiti atakapoachiwa.

#MillardAyoUPDATES
Hahahaa utamuitisha nani sasa ambae ataacha kazi zake akaandamane kwa ajili ya mbowe ambae watoto wake hawajui hata kama duniani kuna watu wanalalaga njaa maana mahela ya ruzuku yanafanya kazi hahaa
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Dodoma kimesema kuwa endapo Mwenyekiti wa CHADEMA-Taifa Freeman Mbowe asipoachiwa ifikapo saa kumi kamili jioni leo July 22, 2021, kesho wataitisha maandamano bila kikomo mpaka pale Mwenyekiti atakapoachiwa.

#MillardAyoUPDATES
Ili yawe na baraka anzieni Moshi
 
Back
Top Bottom