KingCobra95
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,249
- 5,863
Location ya maandamano ni wapi leo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kastaafu Muroto!Wamejiandaaje na Kamanda Muroto 😂😂😂
Yani acha tu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haki Tanzania Kuna vituko[emoji23]
Dudley Mbowe yeye anatwit tu kama wa watoto wa zuma..kina mwaipaya na hilda ndo watakula kichapo wakipeleka pua zao mbele..uzuri hawatathubutu kuandamanaWaaanze Wao na familia zao aanze mtoto wa Mbowe
Maza ameharibu nchi mapema sn
kwani muda bado mbona kimya?Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Dodoma kimesema kuwa endapo Mwenyekiti wa CHADEMA-Taifa Freeman Mbowe asipoachiwa ifikapo saa kumi kamili jioni leo July 22, 2021, kesho wataitisha maandamano bila kikomo mpaka pale Mwenyekiti atakapoachiwa.
#MillardAyoUPDATES
Nyerere square saa 9Location ya maandamano ni wapi leo?
😄 karibuniNyerere square saa 9
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Dodoma kimesema kuwa endapo Mwenyekiti wa CHADEMA-Taifa Freeman Mbowe asipoachiwa ifikapo saa kumi kamili jioni leo July 22, 2021, kesho wataitisha maandamano bila kikomo mpaka pale Mwenyekiti atakapoachiwa.
#MillardAyoUPDATES
Msiseme, tendeni, plaster, yuso, iodine, bandage juu yangu..Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Dodoma kimesema kuwa endapo Mwenyekiti wa CHADEMA-Taifa Freeman Mbowe asipoachiwa ifikapo saa kumi kamili jioni leo July 22, 2021, kesho wataitisha maandamano bila kikomo mpaka pale Mwenyekiti atakapoachiwa.
#MillardAyoUPDATES
Watanzania Sio wajinga ,na hawawezi kua wajinga ,nafikili pamoja na mabunduki yenu Kuna sehem TAIFA mwataka kulipeleka,tena kiutani tani hivi , Endeleeni tu
Sawa twende tu ,
Hayo maneno yenu tumeyazoea sana kenge nyie.Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Dodoma kimesema kuwa endapo Mwenyekiti wa CHADEMA-Taifa Freeman Mbowe asipoachiwa ifikapo saa kumi kamili jioni leo July 22, 2021, kesho wataitisha maandamano bila kikomo mpaka pale Mwenyekiti atakapoachiwa.
#MillardAyoUPDATES
Ndo wanaweka bando sahivi,wataanzia maandamano tweeterVipi maandamano yamefikia wapi?
Hahahaa utamuitisha nani sasa ambae ataacha kazi zake akaandamane kwa ajili ya mbowe ambae watoto wake hawajui hata kama duniani kuna watu wanalalaga njaa maana mahela ya ruzuku yanafanya kazi hahaaChama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Dodoma kimesema kuwa endapo Mwenyekiti wa CHADEMA-Taifa Freeman Mbowe asipoachiwa ifikapo saa kumi kamili jioni leo July 22, 2021, kesho wataitisha maandamano bila kikomo mpaka pale Mwenyekiti atakapoachiwa.
#MillardAyoUPDATES
Ili yawe na baraka anzieni MoshiChama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Dodoma kimesema kuwa endapo Mwenyekiti wa CHADEMA-Taifa Freeman Mbowe asipoachiwa ifikapo saa kumi kamili jioni leo July 22, 2021, kesho wataitisha maandamano bila kikomo mpaka pale Mwenyekiti atakapoachiwa.
#MillardAyoUPDATES
Maandamano wanayaweza wa sauzi tuu.Sijaona kizazi Cha kufanya maandamano nchi hii!